Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Acheni Mambo ya kisanii
Tangu lini risasi ikapigwa upande wa kushoto maumivu yakatokea upande wa kulia!
Alafu dereva Jana hata kovu!
Ngoja she, tena she na dereva wake ndiyo mtajua nchi haichezewi
Ndo mjue ni kwa jinsi gani Mungu ni mkubwa
 
Tuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......

Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Wafuasi wa Lisu na akili imejaa matope!
 
Amani iwe nanyi wadau wote!

Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.

Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.

Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.

Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.

Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.

Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.

Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.

Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.

No Hate No Fear

Mbona hujatuambia kuwa tusisahau kubeba na Maji ya Kunawa Usoni, tuvae Raba, tuwe wepesi Kukimbia na tuvijue Vichochoro vyote Muhimu?
 
Ni vema makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu atakapowasili siku ya jumanne 28/7/2020 apokelewe kimya kimya kwa sababu siku hiyo kutakuwa na shughuli ya kitaifa ya kumuaga mpendwa wetu mzee Mkapa.

Ni angalizo tu......Uungwana ni vitendo.

Maendeleo hayana vyama!


Mmeamua kutengeneza msiba ili kupunguza moto.
 
Hivi hizo nguo zinagawiwa wapi? Nasikia watazigawa CHADEMA - ila sijui watakuwa wapi!
Chadema sio CCM wawe wanagawa nguo kama CCM mnavogawa tshirt na kanga. Wananchi tutatafuta nguo nyeupe na nyeusi kuonyesha support yetu kwa Tundu Lissu na Mzee wetu Mkapa
 
Mbona hujatuambia kuwa tusisahau kubeba na Maji ya Kunawa Usoni, tuvae Raba, tuwe wepesi Kukimbia na tuvijue Vichochoro vyote Muhimu?
Mapokezi ni ya amani kama tu ilivyokuwa kwenye mapokezi ya Hussein Mwinyi kule UNGUJA na Pemba bwashee. Hakuna haja ya kubeba maji na vitambaa . Tuaenda kufanya kama wana CCM walivyomfanyia Hussein Mwinyi kule Zanzibar
 
Amani iwe nanyi wadau wote!

Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.

Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.

Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.

Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.

Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.

Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.

Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.

Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.

No Hate No Fear
Naunga mkono hoja
 
Amani iwe nanyi wadau wote!

Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.

Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.

Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.

Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.

Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.

Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.

Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.

Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.

No Hate No Fear
Acha kudandia treni kwa mbele! Wakristo wamezoea kuvaa nyeusi na nyeupe msibani hivyo usije ukajifanya baadaye kuwa nilisema.

Pili mlikuwa na Tahirts zenu jitahidini kuzifua mvae, pia hizo mlizochapisha zivaeni maisha yaendelee.

Mwisho kama kawaida wazee wa kuandamana mitandaoni tunawatakia kila lakheri. Vidole na macho vitaendelea kudumu kwenye keybords zenu.

Pumzika kwa Amani Mzee wetu Benjamin William Mkapa. Tunaheshimu msiba wako na atakaeleta fyoko imekula kwake.

Queen Esther
 
Back
Top Bottom