Kwani nyie Mnashindwa kituMsije tu mkasema msiba umetengenezwa ili kuepusha mafuriko ya mapokezi ya tobo lenu manake nyie hamnaga dogo
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwani nyie Mnashindwa kituMsije tu mkasema msiba umetengenezwa ili kuepusha mafuriko ya mapokezi ya tobo lenu manake nyie hamnaga dogo
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hawa Jamaa hawaaminiki na hawajawahi kuaminika........Nami nimewaza kama wewe
Mwana kulitafuta mwana kulipataAmani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
No hate No fearMwana kulitafuta mwana kulipata
Watanyooka tu mwaka huu!!Hawa Jamaa hawaaminiki na hawajawahi kuaminika........
True! Hakika ni wazzo zuriAmani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kofi cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
Biharamulo anafanyako nini?Unaweza kuta mtoa post yuko zake biharamulo huko 😂😂😂😂
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Mtakamatwa na polisi kwa kuandamana bila kibali
Apokelewe kutoka wapi?
Hii Tabia ya kuwasemea watanzania ikome!
Hii Tabia ya kuwahusisha watanzania na Mambo ya kihuni na muhuni wenu mkome!
Lisu ni na Nani nchi hii?
wana kulitafuta wana kulipata mnakaribishwa
Unaweza kuta mtoa post yuko zake biharamulo huko 😂😂😂😂
Ila Mungu ahusishwe katika matendo ya kudhurumu haki ya watu kuishi.
Niko Ruvuma ila jumapili naingia Dar kwa ajili ya kumpokea Tundu Lissu hapo Dar es Salaam
Tafadhali mwendo Mdogo, Mdogo.Tuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......
Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
punguza kiherehere wewe Wapiga kura ndio tutaamuaMungu alimponya na risasi zenu ili aje kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020
Na wapiga kura ndo tumeshaamuapunguza kiherehere wewe Wapiga kura ndio tutaamua
Tuwe pamoja ndugu iyo jumatatu.Biharamulo anafanyako nini?
Tulitekeleze kwa amani yote nduguTrue! Hakika ni wazzo zuri
\
Tutalala nao mbele ni uchaguzi wa kufa na kuponaWatanyooka tu mwaka huu!!
Amka mkuu utakojoa kitandani bure!Mungu alimponya na risasi zenu ili aje kuwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania hapo October 2020
LISSU atosha kua Rais wa watz hatutaki huyu mkurupukaji aliyeharibu uchumi wa nchi ndani ya miaka 5 tu......
Kuhusu ilo usitie shaka. Amejiandaa vya kutosha. Amekwiva vya kutosha na amepata exposure ya kutosha kuweza kuifikisha Tanzania pale inapotakiwa kuwa.