Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Muongozo: Mapokezi ya Lissu

Beberu huyo katangulia, Aliuza nyumba za serikali akishirikiana na yesu wenu
Hawajui hawa wamejaa ushabiki maandazi tu!! CCM ni laana kwa hii nchi, saivi masaki na oysterbay zinakuwa kama Sinza tu. Ni uchafu mtupu
 
Pumbavu wewe huyu bwege si mungu angempa kila kitu,ni msaliti akapata alichokitaka.
Yuko hapa Antwerp anakula bia kwa hela za ukimbizi na ruzuku we fala umebaki huko unaskia ma video tu,huyo haji. kinachofuata kwako ukapigwe kiberiti km wafuasi wa kibwetere ndo utie akili ww kima.kibuyu
Fanya mchongo na wewe upigwe risasi hata moja tu ya mguuni uone kama utachangiwa hata na unaowatumikia.
 
Tuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......

Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Unaweza kuta alishakufa siku nyingi wakasubir ujio wa mwamba
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Lissu ndo anaenda kulupasua hili Jiwe la tumbawe vipande vipande.
Huyo ndo atawakomboa watanzania toka kwa haya manyang'au yasiyo na huruma.
 
Amani iwe nanyi wadau wote!

Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.

Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.

Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.

Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.

Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kifo cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.

Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.

Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.

Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.

No Hate No Fear
Mwambie lissu a cancel ndege ya j3 tutamlipia aje baada ya msiba, kwani tiketi shngapi?
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.
 
Pumbavu wewe huyu bwege si mungu angempa kila kitu,ni msaliti akapata alichokitaka.
Yuko hapa Antwerp anakula bia kwa hela za ukimbizi na ruzuku we fala umebaki huko unaskia ma video tu,huyo haji. kinachofuata kwako ukapigwe kiberiti km wafuasi wa kibwetere ndo utie akili ww kima.kibuyu
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.
 
USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Chunga maneno yako dogo! Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.
 
Back
Top Bottom