Beberu huyo katangulia, Aliuza nyumba za serikali akishirikiana na yesu wenuUSIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Beberu huyo katangulia, Aliuza nyumba za serikali akishirikiana na yesu wenuUSIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Hawajui hawa wamejaa ushabiki maandazi tu!! CCM ni laana kwa hii nchi, saivi masaki na oysterbay zinakuwa kama Sinza tu. Ni uchafu mtupuBeberu huyo katangulia, Aliuza nyumba za serikali akishirikiana na yesu wenu
ushauri wangu binafsi.
"LISU ARUDI AGOMBEE UBUNGE".
kwa urais BADO
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Hivi mabeberu kazi yao si kutenda? Yaani kupandikiza mbegu.USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Fanya mchongo na wewe upigwe risasi hata moja tu ya mguuni uone kama utachangiwa hata na unaowatumikia.Pumbavu wewe huyu bwege si mungu angempa kila kitu,ni msaliti akapata alichokitaka.
Yuko hapa Antwerp anakula bia kwa hela za ukimbizi na ruzuku we fala umebaki huko unaskia ma video tu,huyo haji. kinachofuata kwako ukapigwe kiberiti km wafuasi wa kibwetere ndo utie akili ww kima.kibuyu
Mhuni ni yule aliekufa kifo cha laana baada ya kuuwa wazanzibar 2001USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Unaweza kuta alishakufa siku nyingi wakasubir ujio wa mwambaTuko pamoja mkuu.... Ila nadhani huu msiba umetengenezwa na ccm ili kuvuruga mapokezi muhimu sana ya mh Tundu LISSU......
Ccm chama na serikali yake ya kishetani hawashindwi
Lissu ndo anaenda kulupasua hili Jiwe la tumbawe vipande vipande.USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Mwambie lissu a cancel ndege ya j3 tutamlipia aje baada ya msiba, kwani tiketi shngapi?Amani iwe nanyi wadau wote!
Najua Tanzania tuko na msiba mzito wa mzee wetu Benjamin William Mkapa na pia siku ya Jumatatu tutakuwa na tukio kubwa na la kipekee la kumpokea shujaa yetu, mtu wetu na nuru iliyoletwa kwetu na Mungu. Si mwingine bali ni Tundu Antipas Lissu.
Hivyo basi katika siku Hii ni mapendekezo yangu kuwa watu wengi tujitokeze kwa wingi kumpokea huyu shujaa wetu pale uwanja wa ndege kuanzia Majira ya asubuhi kwa ajili ya kumpokea.
Pia kutokana na siku hii kuwa pia na huu msiba mzito napendekeza watanzania wote siku hiyo tuvae nguo nyeupe na nyeusi kwa sababu kuu mbili.
Nguo nyeupe zitaashiria alama ya Nuru kutokana na kuja kwa Tundu Lissu anayewakilisha Nuru kwa watanzania.
Nguo nyeusi zitaashiria kuomboleza kwetu kutokana na Kifo cha mzee wetu Benjamin William Mkapa.
Kama watanzania tukifanya hivi tutakuwa tumeheshimu msiba wa mzee wetu na mapokezi makubwa ya Nuru iliyotumwa kwetu na Mungu Tundu Antipas Lissu.
Tumpokee wa wingi shujaa wetu Tundu antipas Lissu huku tukimuomboleza mzee wetu Mkapa.
Maandamano ya kumpokea Lissu yatakuwa ya amani na hakutakuwa na fujo yeyote.
No Hate No Fear
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Thubutu!!! Hana uwezo huo na hatokuwa nao kamwe!!Fanya mchongo na wewe upigwe risasi hata moja tu ya mguuni uone kama utachangiwa hata na unaowatumikia.
Bahati yake alitubu kwenye kitabu chake. Ila kusema ukweli mzee aliua sana wazanzibar 2001Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.Pumbavu wewe huyu bwege si mungu angempa kila kitu,ni msaliti akapata alichokitaka.
Yuko hapa Antwerp anakula bia kwa hela za ukimbizi na ruzuku we fala umebaki huko unaskia ma video tu,huyo haji. kinachofuata kwako ukapigwe kiberiti km wafuasi wa kibwetere ndo utie akili ww kima.kibuyu
Beberu ameshakutia mimba ngapi?USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Umri wa kugombea urais ni 42+, na Lissu kashavuka hapo. Au una maana nyingine?
Maandalizi ya kuwa rais.
Bora apige mitano mingine ya ubunge..
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Bila shaka mkuu.... M
Chunga maneno yako dogo! Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.USIMUHUSISHE MUNGU NA UHUNI WENU NA HUYO TUNDU LISU WENU MNAMCHOSHA SASA HUYO ANA NURU GANI BEBERU MKUBWA HUYO
Hawaaminiki kabisa hawa mbwa ccmUnaweza kuta alishakufa siku nyingi wakasubir ujio wa mwamba
Mungu Fundi, Mkapa sasa akakutane na wapemba aliodhulumu haki zao za kuishi huko.Apokelewe kutoka wapi?