RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,824
- Thread starter
- #241
Hizo ulizotaja sizifahamu kiundani, ila in general Nissan zimetulia barabarani na upande wa spares ni ghali kulinganisha na za Toyota lakini ni spares imara.Sawa mkuu.
Naona wewe una uelewa na magari.
Naomba niambie zaidi kuhusu NISSAN JUKE esp ya 2010 or 2011....hasahasa kwenye matumizi yake hasa hapa bongo....fuel economy....spea availability....kutembea masafa marefu na mambo mengine mengi.
Pia naomba uicompare na NISSAN QASHQAI.
Thanks Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
QASHQAI=DUALIS