GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 20,061
Ulikua na mawazo kama yangu. Yani dingi imebidi awe kimbaumbau. Chezea watoto sita wa mpigokweli kulea kazi mpaka baba amekonda..
Ulikua na mawazo kama yangu. Yani dingi imebidi awe kimbaumbau. Chezea watoto sita wa mpigokweli kulea kazi mpaka baba amekonda..
Mbn mama watoto wala hakui ila vitoto vinakuaSiamini.
swiss meMapacha wakiwa wawili wanaitwa twins,sasa hao sita kwa kizungu wanaitwaje?
Sio Sixtuplets?Wanaitwa sextuplets
Follow Sextuplets Who Became Famous Six Years Ago : P..Habari yote
Haina maelezo ni wa wapi?
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji115] [emoji115]Duh kama ni kweli basi hawa ni baba na mama wa mwendokasi, bila shaka huyo mama alifunga na kizazi kabisa.
Asante kwa kunipunguzia ukilaza.Sio ni sextuplets
Hata mmHii picha mwanzoni nilidhani ni photoshop
Ni Raia wa Marekani..wanaishi kwao Marekanihata sasa inaweza kuwa photoshop...
labda sasa tungepata kujua ki-ukweli wanaishi wapi ili kujiridhisha kabisa kuwa ni KWELI