Muonekano wa Geita mpya

Muonekano wa Geita mpya

Umezaliwa wapi? Unajua kama hii geita ni wilaya? Ni juzi tu ndo imepewa hadhi ya kuwa mkoa?

Wenzio wanakwambia imebadilika siyo kama zaman wewe nawe unakuja na shobo dundo hapa

Uliwahi fika geita miaka ya 2010?

Punguza shobo au una stress?
Ishu iliyopo hapa ni kusifia mkoa umebadilika...!kwetu ni usukumani..!sijui km pameendelea coz sijazaliwa huko...una jingine??
 
Kwa hiyo hapo round about ndio kigezo cha kusifia mji kukua. Nilidhani ungeleta mapicha ya mji yalivyo ya maana. MBAFUUU KABISA
 
Umezaliwa wapi? Unajua kama hii geita ni wilaya? Ni juzi tu ndo imepewa hadhi ya kuwa mkoa?

Wenzio wanakwambia imebadilika siyo kama zaman wewe nawe unakuja na shobo dundo hapa

Uliwahi fika geita miaka ya 2010?

Punguza shobo au una stress?


Poa...!
 
Kwenu ni usukuman sehemu gan na kama wewe ukiwa msukuma mimi nitahama kabila sijawahi ona msukuma kama wewe mtu wa kudandia kila kitu kilicho mbele yake

Msukuma gan kajanja kajanja kama wewe
Ishu iliyopo hapa ni kusifia mkoa umebadilika...!kwetu ni usukumani..!sijui km pameendelea coz sijazaliwa huko...una jingine??
 
Wewe kwenu wapi ? Ulitaka maji ya mvua yapande milima ? Hujui kuwa maji hufuata mkondo ? Pole sana.
Wakuu npo geitaa usiombe mvua inyeshe n mji wa hovyoo munooo maj yote mliman yanakujaa twn yaan geita yaa kawaidaa sn
 
Mkuu tupe fursa za kupata pesa GEITA,soon ntakuja huko.

Inshallah
Geita mpya inaonekana kupendeza kweli kweli kama inavyoonekana kwenye picha.Pongezi kwa Mhe, Rais Dr.John Pombe Magufuli kwa kusimamia vyema rasilimali za nchi yetu ili zituletee maendeleo vile vile pongezi kwa Mheshimiwa Contantine John Kanyasu mbunge wa Geita Mjini na naibu waziri Mali asili na utali kwa kazi nzuri anazo zifanya jimboni kwake.

Hata hivyo kuna kazi kubwa inafanywa na viongozi walio site hivyo nampongeza mkuu wa mkoa wa Geita Engineer Robert Gabriel Luhumbika,kwa kazi nzuri ya usimamizi wa rasilimali fedha na kuhakikisha zinafanya kazi iliyokusudiwa bila kumsahau mkurungezi mtendaji wa Geita Mji.
 
Naungana na mleta uzi Geita pamebadlika kiasi chake, mim nimezaliwa na kukulia geita toka miaka ya 90s, Elim yang ya msingi nimesoma hapo pia

Kipind hiko hakukua na soko zuri kama linalojengwa sasa,hakukua na maji kama sasa wala miundombinu ya barabara haikua rafk sana. Ilituchua hadi masaa manne kutembea kwa basi la Lushanga au Nyehunge toka Mwanza mpk Geita umbal wa km90 tu

Zaman mji uliishia Maili moja (Gerage ya Lushanga) upande wa kaskazin na Mbugani upande wa kusini ila kwa sasa ni habari nyingne kabisa

Kaz bado ipo kipind hiki ambacho imekua Mkoa maendeleo ya kijamii yanapaswa kufanana na yale tunayo yaona mikoa mingne mipya kama Njombe na Simiyu/Bariadi
 
Mbona sijaelewa, unataka kumaanisha kwamba Bariadi ni mji mkubwa kuliko Geita. Nadhani kwa siku za karibuni hujafika Geita.
Naungana na mleta uzi Geita pamebadlika kiasi chake, mim nimezaliwa na kukulia geita toka miaka ya 90s, Elim yang ya msingi nimesoma hapo pia

Kipind hiko hakukua na soko zuri kama linalojengwa sasa,hakukua na maji kama sasa wala miundombinu ya barabara haikua rafk sana. Ilituchua hadi masaa manne kutembea kwa basi la Lushanga au Nyehunge toka Mwanza mpk Geita umbal wa km90 tu

Zaman mji uliishia Maili moja (Gerage ya Lushanga) upande wa kaskazin na Mbugani upande wa kusini ila kwa sasa ni habari nyingne kabisa

Kaz bado ipo kipind hiki ambacho imekua Mkoa maendeleo ya kijamii yanapaswa kufanana na yale tunayo yaona mikoa mingne mipya kama Njombe na Simiyu/Bariadi
 
Badala ya kuweka sanamu ya ng'ombe au burungutu la almasi mnakwenda kuweka machine ya kale aliyovumbua mjerumani, hivi nyie hamna ya kwenu ya kujivunia?
Pombe ni pombe haiwezi kuwa juice, ata Mobutu alijenga kwao lakini sasa ivi ni magofu.
 
Back
Top Bottom