Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Pengine umekuwa ukidharau wazazi wako na kuanza kuitupa mbali ile amri aliotumba mungu
wetu waheshibu baba na mamako upate kuishi miaka mmingi,....wapo watoto wa leo wanazaliwa
wanapata kazi tena kwa wazazi wao kuhangaika na wengine hata kuuza nyumba na mali nyingine
mbali yawezekana waliuza visivyouzika leo umepata maisha mazuri umeanza dharau
hii sio poa mungu apendi kabisa kama umekuwa na haka kamchezo wacha
nakwamabia ukweli unachowafanyia wazazi wako unapoza mtoo wako anajibu yote uliomfanyia
kifupi mungu wa sasa anajibu ujanani asubiri uzeeke ati ndio uanze kujibiwa a ma kuyapata yale uliokuwa
ukimtendea /watendea wazazi wako acha hako kamchezo
muheshimu baba na mama yako upate heri na maisha marefu duniani
alamsiki kama aujampeleka mwanao chanjo anza nenda sasa jaali mwanao pls
wetu waheshibu baba na mamako upate kuishi miaka mmingi,....wapo watoto wa leo wanazaliwa
wanapata kazi tena kwa wazazi wao kuhangaika na wengine hata kuuza nyumba na mali nyingine
mbali yawezekana waliuza visivyouzika leo umepata maisha mazuri umeanza dharau
hii sio poa mungu apendi kabisa kama umekuwa na haka kamchezo wacha
nakwamabia ukweli unachowafanyia wazazi wako unapoza mtoo wako anajibu yote uliomfanyia
kifupi mungu wa sasa anajibu ujanani asubiri uzeeke ati ndio uanze kujibiwa a ma kuyapata yale uliokuwa
ukimtendea /watendea wazazi wako acha hako kamchezo
muheshimu baba na mama yako upate heri na maisha marefu duniani
alamsiki kama aujampeleka mwanao chanjo anza nenda sasa jaali mwanao pls