DSN
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 2,837
- 1,674
MUNGU NDANI YA KATIBA YA WATANZANIA HONGERA JUDGE SAMATA
My hope sasa Mungu anajibu kupitia wazee wachache wenye BUSARA, kama Judge Samata.Nilikua napata shida sana ni jinsi gani MUNGU tusivyomshirikisha kwenye nchi yetu.
Eti serikali yetu aina dini,ukweli uwa nikisikia kauri hii inaniumiza sana sana sana sanaaaaaaaaaa.Sawa yaweza kua iliwekwa kwa ajili ya kuvuka hatua fulani na si forever kwa hilo sina utata nalo.
Hivyo kwa ujio wa katiba mpya ni wakati sasa wa kuandika maneno kama Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watu wake wanaamini katika MUUMBA.
Aijarishi muslim or Christian kila mmoja wao anaamini katika muumba.Hivyo kwa kutaja hivyo dhamira ya kushitakiwa na nafsi kwa wale wote wanaopata viapo kupitia katiba watafungwa kiroho na dhamira pindi wanapokiuka katiba kwa kuwatend wananchi na nchi ndivyo sivyo kwa matendo yasiyo na UTU. Kumcha mungu ni chanzo cha maarifa.
Hakika Mungu anasikia, pole zangu kwa wale wote wasiotaka kusikia maono ya watu kama Judge Samata. Gharama yao kwa kuyapuuza maono hayo itakua kubwa kwao wao na vizazi vyao waanze mapema kwa kusikiliza kilio cha katiba mpya kama Kongamano lilivyoongea.
Deus Spes Nostra.
My hope sasa Mungu anajibu kupitia wazee wachache wenye BUSARA, kama Judge Samata.Nilikua napata shida sana ni jinsi gani MUNGU tusivyomshirikisha kwenye nchi yetu.
Eti serikali yetu aina dini,ukweli uwa nikisikia kauri hii inaniumiza sana sana sana sanaaaaaaaaaa.Sawa yaweza kua iliwekwa kwa ajili ya kuvuka hatua fulani na si forever kwa hilo sina utata nalo.
Hivyo kwa ujio wa katiba mpya ni wakati sasa wa kuandika maneno kama Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania watu wake wanaamini katika MUUMBA.
Aijarishi muslim or Christian kila mmoja wao anaamini katika muumba.Hivyo kwa kutaja hivyo dhamira ya kushitakiwa na nafsi kwa wale wote wanaopata viapo kupitia katiba watafungwa kiroho na dhamira pindi wanapokiuka katiba kwa kuwatend wananchi na nchi ndivyo sivyo kwa matendo yasiyo na UTU. Kumcha mungu ni chanzo cha maarifa.
Hakika Mungu anasikia, pole zangu kwa wale wote wasiotaka kusikia maono ya watu kama Judge Samata. Gharama yao kwa kuyapuuza maono hayo itakua kubwa kwao wao na vizazi vyao waanze mapema kwa kusikiliza kilio cha katiba mpya kama Kongamano lilivyoongea.
Deus Spes Nostra.