Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.


​Napenda kuuliza, Slaa ni dini gani ?
 
Wewe ndio mdini mkubwa ni ugonjwa utafutie tiba kabla haujakudhuru! Nimeshakuambia sina muda wa kumjadili slaa kwa kutumia misingi ya udini; nitapoteza muda wangu bure kumjadili mtu kama slaa ambaye hata dini yenyewe haijui kwa akili nitajifunza kutoka kwa slaa?

Chama
Gongo la mboto DSM

amlinde tu lakini yeye hana jipya la kutupatia........hana sifa ya kuongoza taifa hili...

Sijawahi hona mwanamke ana halalisha mumewe hawe na wake wengi kama unavyo sema wewe kupitia mfano wako wa Suleiman.

Hii ina dhihilisha wewe huna mapenzi ya kweli kwa DR SLAA ndio maana huna wivu nae sema uko hapo kwa umaskini wako (OPPORTUNIST).

Mungu amlinde DR WA UKWELI aweze kukujua ili akutimulie mbali mnafiki wa wapenzi wewe.

Kwa hiyo wewe ndie mzinzi uliyetubu au huyo mchumba'ko ndie mzinzi aliyetubu?


AF ndio unategemewa kuja kuwa 1st Lady.....

aka..wake za watu watakua salama kweli...mhhh....aka

Kama wewe unavyomuendesha Dr na chama chake.

Udini sasa umekomaa.
 
Udini sasa umekomaa.

Wewe kichaa wa kurogwa, udini uko wapi kwenye hizo combined posts?

Mtafute aliye kuroga akufungue macho maana kila unacho kiona unaona udini tu.

Shame on you and whoever raise you.
 
Wewe kichaa wa kurogwa, udini uko wapi kwenye hizo combined posts?

Mtafute aliye kuroga akufungue macho maana kila unacho kiona unaona udini tu.

Shame on you and whoever raise you.

Mmmh ..Bangi!
 
Wewe ndio mdini mkubwa ni ugonjwa utafutie tiba kabla haujakudhuru! Nimeshakuambia sina muda wa kumjadili slaa kwa kutumia misingi ya udini; nitapoteza muda wangu bure kumjadili mtu kama slaa ambaye hata dini yenyewe haijui kwa akili nitajifunza kutoka kwa slaa?

Chama
Gongo la mboto DSM

Zuzu.....!
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu,
ondoeni kwanza boriti ndani ya vibanzi vyenu,kisha muhukumu wengine.

Nawahakikishia hata neno lenu moja halitasitisha maamuzi ya Mungu juu ya watu wake.

TunaMungu na Tutaendelea kuwa na Mungu.

Heri mzinzi aliyetubu kuliko mwizi,mnyangaji na fisadi anayejihesabia haki.

Jumapili njema.

Mpaka lini mtaendelea kuutetea ufalme uliokataliwa.
Mfalme Selemani alikuwa na wake wangapi?Mungu alimheshimu kwakuwa alifanya agano nae.

what matters is the purpose of God in His Life.

Ben Saanane like this..... !
 
CHAMA ndiyo senior fellow wa NAPE ndiye mlipaji wa walinzi wa majangili na majambazi wa CCM
Mimi ni mtanzania kama wewe mwenye uhuru wa kuamua itikadi gani ya kisiasa siabudu binadamu; Nape ni mwanaCCM kama mimi tunasimamia na kupigania misingi ya chama kwa lengo moja tu kuhakikisha watanzania wanapata maisha bora
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.
Kuhusu kaka yangu Mwakyembe sidhani, historia yake siikumbuki vizuri kwamba ile ccj yeye pamoja na nape na sitta wanaweza kututafsilia na kutupa majibu ya kina kuwa ni kwanini wao baada ya kuileta ccj wakaitelekeza na kurejea ccm ambako wametunukiwa vyeo.
 
Silivio B. wa Italy, Bill Clinton, Sorkozi, wote nchi zao ziko juu tofauti na mwizi. Mwizi atahamisha mali zote na anaweza akatuuza hata sisi.
 
Mimi ni mtanzania kama wewe mwenye uhuru wa kuamua itikadi gani ya kisiasa siabudu binadamu; Nape ni mwanaCCM kama mimi tunasimamia na kupigania misingi ya chama kwa lengo moja tu kuhakikisha watanzania wanapata maisha bora
Chama
Gongo la mboto DSM

Watanzania gani wanaopiganiwa na akina Nape ili wapate maisha bora. Hamuoni hata aibu kidogo tangu mwaka 2005 mnaimba wimbo huo huo wa maisha bora kwa kila mtanzania lakini kila uchao inakuwa afadhali ya jana.

Kilicho wazi ni kuwa kinachofanywa na watawala ndani ya ccm na wapiga debe wao ni kuendeleza ukwapuaji wa rasilimali za nchi na sio kudanganya kuwa mnapigania maisha bora ya watanzania.
 
Dalili mojawapo ya kufilisika kimawazo ni pamoja na kutumia lugha chafu/matusi na kushindwa kujibu hoja ya msingi. Kwa matusi ndiyo mnajiaminisha kuwa mnapigania maisha bora ya watanzania ama ndiyo njia sahihi kwako ya kujihakikishia buku saba za hapo lumumba.
 
Ndugu zangu,
ondoeni kwanza boriti ndani ya vibanzi vyenu,kisha muhukumu wengine.

Nawahakikishia hata neno lenu moja halitasitisha maamuzi ya Mungu juu ya watu wake.

TunaMungu na Tutaendelea kuwa na Mungu.

Heri mzinzi aliyetubu kuliko mwizi,mnyangaji na fisadi anayejihesabia haki.

Jumapili njema.

Mpaka lini mtaendelea kuutetea ufalme uliokataliwa.
Mfalme Selemani alikuwa na wake wangapi?Mungu alimheshimu kwakuwa alifanya agano nae.

what matters is the purpose of God in His Life.
Kwani Babu keshatubu!?
 
Not to be a Red comrade or anything.

Mentality nzima ya "Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania" ina matatizo lukuki, neno kwa neno.

Ukianza kwa mungu tu una deal na a hoax. Mungu hayupo. Kwa hiyo habari nzima ya mungu kutoa ulinzi ni ushairi shayiri tu.

Tanzania ina umaskini mkubwa kwa sababu ya kukataa uchunguzi na kwenda na imani imani tu, mojawapo ya msingi kabisa inayotufanya tuwe masikini ni hii ya mungu.

Watu wanaoamini kuwapo kwa mungu ni rahisi zaidi kukubali kuwa katika utawala dhalili usioheshimu haki za msingi za binadamu, kuliko wale ambao hawaamini kuwapo kwa mungu. Mungu analeta excuses kibao za kukubali udhalili. Kuanzia "utapewa malipo peponi" mpaka "watiini watawala maana wamewekwa na mungu".

Kwa hiyo kama unataka Tanzania iendelee ondoa habari za mungu katika mawazo kwanza. Mungu ni tatizo Tanzania, si suluhisho.

Mlinde? Of course kama mungu hayupo hawezi kumlinda, lakini hata kama angekuwapo. Asipomlinda - short of against death- na kumpa majaribu zaidi ndo tutamjua kama ni kiongozi bora au anaelea kwa sababu ya hali nzuri tu. Ayubu hakuthibitisha imani yake na uthabiti kwa kulindwa na mungu, alithibitisha hayo kwa kutolindwa na mungu.

Aiokoe? Kwa nini Tanzania itake mtu wa kuiokoa? Huyu Dr. Slaa ni nani mpaka aiokoe Tanzania? Yeye ni Masiha au Mahdi gani huyu?

Uongozi wetu hauhitaji charismatic figures wa kutuokoa, hatuhitaji top down leadership. Hii ina introduce a single point of failure. We have been there, done that, bought the T-Shirt to show. It is written "Nyerere, baba wa Taifa" aka Mchonga aka Haambiliki.

Kwa nini tutake strongman mwingine badala ya kutaka a grassroots empowerment? Kwa nini tusitake ushirikishwaji wa umma zaidi? Kwa nini tusitake wabunge machachari zaidi wanaohuishwa na jumuiya thabiti zenye uelewa wa mamabo zaidi?

ningekua na uwezo ningekushawishi uwe unani tags kwenye kila post yako.!!!
napenda sana aina ya uchangiaji wako.!!
 
Back
Top Bottom