Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Wewe mwanafunzi wa Ilunga ndio umeshadadia udini; mimi nmjadili mwanasiasa laghai slaa; sasa wewe kama una hisia zako za kidini huo mpango wako hapa mimi siasa tupu udini hauna nafasi katikaa ubongo wangu.
Chama
Gongo la mboto DSM

Udini unakusumbua.
 
Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.

"Your dream, our nightmare.."
 
Udini unakusumbua.

Wewe ndio mdini mkubwa ni ugonjwa utafutie tiba kabla haujakudhuru! Nimeshakuambia sina muda wa kumjadili slaa kwa kutumia misingi ya udini; nitapoteza muda wangu bure kumjadili mtu kama slaa ambaye hata dini yenyewe haijui kwa akili nitajifunza kutoka kwa slaa?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Duh!!!! yaani mzinifu Mungu amlinde!!?

Ndugu zangu,
ondoeni kwanza boriti ndani ya vibanzi vyenu,kisha muhukumu wengine.

Nawahakikishia hata neno lenu moja halitasitisha maamuzi ya Mungu juu ya watu wake.

TunaMungu na Tutaendelea kuwa na Mungu.

Heri mzinzi aliyetubu kuliko mwizi,mnyangaji na fisadi anayejihesabia haki.

Jumapili njema.

Mpaka lini mtaendelea kuutetea ufalme uliokataliwa.
Mfalme Selemani alikuwa na wake wangapi?Mungu alimheshimu kwakuwa alifanya agano nae.

what matters is the purpose of God in His Life.
 
Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.

amlinde tu lakini yeye hana jipya la kutupatia........hana sifa ya kuongoza taifa hili...
 
Heri mzinzi aliyetubu kuliko mwizi,mnyangaji na fisadi anayejihesabia haki.
Kwa hiyo wewe ndie mzinzi uliyetubu au huyo mchumba'ko ndie mzinzi aliyetubu?
Mfalme Selemani alikuwa na wake wangapi?Mungu alimheshimu kwakuwa alifanya agano

AF ndio unategemewa kuja kuwa 1st Lady.....
 
Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.

Viongozi kama Mwakyembe au Magufuli sio rahisi kupitishwa na wenye ccm kugombea urais. Wataharibu deal.
Hata hivyo hata hawa kwa kuwa wamekuwa wakiwasifu wezi na wauaji wa ccm, sina imani nao kama wanaweza kuibadilisha ccm iliyooza mwa muda mfupi. kuondoa element za wizi wa sasa ndani ya chama hicho itachukua miaka kadhaa. My only hope is on Dr Slaa.
 
Wewe ndio mdini mkubwa ni ugonjwa utafutie tiba kabla haujakudhuru! Nimeshakuambia sina muda wa kumjadili slaa kwa kutumia misingi ya udini; nitapoteza muda wangu bure kumjadili mtu kama slaa ambaye hata dini yenyewe haijui kwa akili nitajifunza kutoka kwa slaa?

Chama
Gongo la mboto DSM

Akili yako inarudi reverse badala ya kusonga mbele. Mungu akusaidie.
 
Last edited by a moderator:
Sijawahi hona mwanamke ana halalisha mumewe hawe na wake wengi kama unavyo sema wewe kupitia mfano wako wa Suleiman.

Hii ina dhihilisha wewe huna mapenzi ya kweli kwa DR SLAA ndio maana huna wivu nae sema uko hapo kwa umaskini wako (OPPORTUNIST).

Mungu amlinde DR WA UKWELI aweze kukujua ili akutimulie mbali mnafiki wa wapenzi wewe.


Ndugu yangu.

sina mda wa kujibizana na wewe.

ubongo wako umesoma na ujumbe umekufikia.
Ni lazima Vijana wenye utindio wa akili kama wewe,mfike mwisho wa mawazo yenu finyu.

Nchi hii inamatatizo mengi,jadili umasikini unaoisumbua familia na ukoo wako.
 
Ndugu zangu,
ondoeni kwanza boriti ndani ya vibanzi vyenu,kisha muhukumu wengine.

Nawahakikishia hata neno lenu moja halitasitisha maamuzi ya Mungu juu ya watu wake.

TunaMungu na Tutaendelea kuwa na Mungu.

Heri mzinzi aliyetubu kuliko mwizi,mnyangaji na fisadi anayejihesabia haki.

Jumapili njema.

Mpaka lini mtaendelea kuutetea ufalme uliokataliwa.
Mfalme Selemani alikuwa na wake wangapi?Mungu alimheshimu kwakuwa alifanya agano nae.

what matters is the purpose of God in His Life.

aka..wake za watu watakua salama kweli...mhhh....aka
 
Sijawahi hona mwanamke ana halalisha mumewe hawe na wake wengi kama unavyo sema wewe kupitia mfano wako wa Suleiman.

Hii ina dhihilisha wewe huna mapenzi ya kweli kwa DR SLAA ndio maana huna wivu nae sema uko hapo kwa umaskini wako (OPPORTUNIST).

Mungu amlinde DR WA UKWELI aweze kukujua ili akutimulie mbali mnafiki wa wapenzi wewe.

Amtimue akuoe wewe?
 
WanaJF,

Tulipofika leo,sio swala la nani Rais,swala ni CCM iondoke maana imeshindwa kutuondoa katika hali duni tuliyomo.

mnajivunia barabara,zimechangia nini kuondoa umasikini.

Tunaitaji huduma bora za jamii,tuaiaji maji,nishati ya umeme wa uhakika.
Tunahitaji rasilimali zetu ziwe ni bidhaa hadimu duniani.

Mwisho tumechoka nchi kuendeshwa na kamati ya Ufundi.
 
Chadema tunamtegemea mungu hakika tutashinda kwa nguvu za mungu
 
Mungu nilinde kwanza mimi kabla ya Dr Slaa (maana ataishi kwa sababu umemchagua) ili nisife kaba ya kuona anachokwenda kuifanyia ccm (wakoloni weusi) mwaka 2015.. Nikishashuhudia tu Tanzania ikipata ukombozi wa kweli,,, basi I don care hata nikifa
 
Back
Top Bottom