Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Mungu Mlinde Dr. Slaa Aiokoe Tanzania

Naomba tutoke nje ya hapa tuzungumzie swala la uwepo wa Mungu au la, ndio la msingi kwa upande wangu, nakwenda Great Thinkers forum kuanzisha, nakukaribisha.

Unaanzisha thread nyingine kwa suala lililo katika thread hii tayari.

Nani anaenda "out of context" hapa?

Unataka kulitenganisha suala la imani ya mungu na context yake katika thread hii.

Halafu wewe ndo unalalamika mimi niko out of context!

Endeleza mpira hapahapa.

Imani ya mungu ni kati ya vitu vinavyoendeleza umasikini na utegemezi Tanzania.

Kama kilimo chetu kinahitaji maji na mvua zinakosekana, suluhisho si kuomba mungu tupate mvua, suluhisho ni kuangalia mbadala kama umwagiliaji, kupanda miti etc.

Mungu ni wazo la kikandamizaji, wanamapinduzi hawatakiwi kumtegemea mungu.
 
Nimekuwa mwana CCM maisha yangu yote. Nakiri kwamba chama changu kimeleta umasikini na matatizo ya kutisha kwa Watanzania. CCM imekuwa ni hatari kuliko hata Ukimwi, kwani inawaua na kuwatesa raia wake bila huruma. CCM na serikali yake inatumia Polisi kungoa watu kucha bila ganzi. Wokovu tulionao leo, ni Dr Slaa au Mwakyembe. Katika dhoruba tuliyonayo ndani ya CCM, Dr. Mwakyembe hana ujanja kuweza kuliongoza nchi. Nyangumi ndani ya CCM watammeza. Tafadhalini watanzania wapenda amani. Tushirikiane, kuakikisha Dr. Slaa tunamlinda asidhuriwe na CCM.

Amina, maana huyu ndio rais wa mioyo ya watanzania.
 
Unaanzisha thread nyingine kwa suala lililo katika thread hii tayari.

Nani anaenda "out of context" hapa?

Unataka kulitenganisha suala la imani ya mungu na context yake katika thread hii.

Halafu wewe ndo unalalamika mimi niko out of context!

Endeleza mpira hapahapa.

Imani ya mungu ni kati ya vitu vinavyoendeleza umasikini na utegemezi Tanzania.

Kama kilimo chetu kinahitaji maji na mvua zinakosekana, suluhisho si kuomba mungu tupate mvua, suluhisho ni kuangalia mbadala kama umwagiliaji, kupanda miti etc.

Mungu ni wazo la kikandamizaji, wanamapinduzi hawatakiwi kumtegemea mungu.

Ukweli ulio katika maelezo yako ni kwamba, Ni kweli utegemezi wa Mungu ni sehemu kubwa ya umasikini wetu, na ni kwa sababu karibia asilimia mia ya watanzania wanaamini Mungu ambaye siye, kwa hiyo hata matemegeo yao kama ambavyo wanayanukuu kutoka kwenye Biblia kwa mfano hayamaterialize kwa sababu ile ile,wanafanya reference kwa Mungu ambaye sio aliyeandika Biblia.

Hili ndio tatizo ulilonalo wewe pia, huyo Mungu unayesema hayupo, kama ni huyo ambaye Mamillioni ya watu wanasema wanamuabudu basi na wewe umepotea na uko sawa kwa maana moja tu, kwamba huyo mungu hayupo.

Ninaweza kuthibitisha bila shaka tena kisayansi kwamba Mungu yupo, Na ndio maana nakuita mjinga.una macho lakini hauoni, na masakio unayo lakini hausikii.
 
Ukweli ulio katika maelezo yako ni kwamba, Ni kweli utegemezi wa Mungu ni sehemu kubwa ya umasikini wetu, na ni kwa sababu karibia asilimia mia ya watanzania wanaamini Mungu ambaye siye, kwa hiyo hata matemegeo yao kama ambavyo wanayanukuu kutoka kwenye Biblia kwa mfano hayamaterialize kwa sababu ile ile,wanafanya reference kwa Mungu ambaye sio aliyeandika Biblia.

Mungu aliyeandika biblia ni yupi? Na huyu ndiye wa kweli? Na kwa nini huyu ndo awe wa kweli na si aliyeandika Bhagavad Gita, Upanishads, Dhammapada, Rig Vedas, Egyptian Book of The Dead, au Appeal To The League of Nations ?


Hili ndio tatizo ulilonalo wewe pia,
Hili lipi?

huyo Mungu unayesema hayupo, kama

Kama? Kama? Unasema umeona tatizo halafu huna hata uhakika kama umeliona kweli au unafikiri tu, inakubidi uandike "kama"?

Nani mwenye tatizo hapa? Mimi au wewe?

ni huyo ambaye Mamillioni ya watu wanasema wanamuabudu basi na wewe umepotea na uko sawa kwa maana moja tu, kwamba huyo mungu hayupo.

Hujaua namsema mungu gani usharukia kunihukumu? Hata hujaniuliza naongelea mungu gani!

Nani ana tatizo hapa?

Ninaweza kuthibitisha bila shaka tena kisayansi kwamba Mungu yupo,

Mungu anayeweza kuthibitishika kisayansi si mungu, hiyo itakuwa sayansi tu.

Hebu tuthibitishie basi.

Na ndio maana nakuita mjinga.

Mjinga nani? Kati yangu mimi nianyesema mungu hayupo, na wewe unayesema unaweza kumthibitisha mungu kisayansi - bila kujua kwamba kumthibitisha "mungu" kisayansi tayari kutakuwa ni kumthibitisha kwamba si mungu nani mjinga?

Go read some Popper and see the conundrum you have quagmired yourself in.

una macho lakini hauoni, na masakio unayo lakini hausikii.

Wewe uliye ji contradict kwamba unaweza ku disprove uwepo wa mungu kwa kum prove scientifically ndiye unayeona na kusikia vizuri sana.
 
Nitaamini kuwa mna lengo la kuhakikisha maisha bora siku mtakapokamata wale wezi wa EPA! wale wa meremeta! na kumkamata kinana kwa ujangili. Siku mtakapomuuliza Jk kwa nini anawekeza kwa Rithiwani badala ya kujitokeza kama marais wengine! Siku mtakapokamata waliotorosha fedha zetu na kuziweka mabenki ya nje wakiwaacha watanzania masikini! siku mtakayovunja mtandao wa wauza madawa ya kulevya! siku hiyo ikitimia nitachukua kadi ya CCM!!!!!!

Wewe ni mtu wa ushabiki kama unataka kujua maendeleo ya kesi za EPA muulize kiongozi wako Mabere Marando; yeye ni mmoja wa mawakili katika kesi hizo.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
mungu ondoa wezi wa wake za watu katika ardhi yako takatifu
unafikiri kwa akili yako ungeandika nini hasa!!!!????halafu haita saidia hata mngetafuta sababu za tangu alipo kuwa kichanga.pia unapo andika hili usimsahau nape.
 
jambo gani zuri alilo fanya.kachunga kondoo matokeo yake kapotea yeye.
wewe uko sawa??? ninamashaka na uelewa wako hilo la upadre linawawasha sanaaaa.mnakazi kwa kweli kwa kifuatilia maisha ya DR.RAIS MTARAJIWA SLAA
 
Back
Top Bottom