Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mkuu Kiranga amekuuliza ushawahi kufa?

Na Mimi nakuuliza ulikuwa unajitambua kabla hujazaliwa?

Na ulivyo zaliwa ulimjua Mungu au Miungu kabla hujaelezwa ngano zake na watu?
Kabla ya kuzaliwa nilikuwa najitambua,na nilikuwa naenjoy maisha ndani ya maji nikiwa tumboni mwa mama,nilikuwa consious tatizo lilikuja nilipozaliwa maana kuzaliwa kwa mtoto ni kifo cha ke wakati anapita kwenye njia ya uzazi anapata kitu kinaitwa birth trauma kumbukumbuku zote zinajificha kwenye unconsious state anasahau maisha ya tumboni ya miezi tisa na yale mengine yote ambayo aliyaishi kwenye dunia hii hii kabla ya kifo kikuu/mwanzo upya.

Nilipokuwa nazaliwa pale nilikuwa nakufa kutoka maisha ya tumboni na kuingia kwenye maisha ya duniani nikapata na kuvuta pumzi yangu ya kwanza nikalia na kuanza kuishi,sasa hii ni kwa watu wote duniani,hawakumbuki chochote maana walipitia kifo(birth trauma)maumivu makali sana ambayo yalikuwa yanatokea unavyofanyiwa rebirth from one dimension to another na hapo ndipo kumbukumbu hujichimbia deep core kwenye unconscious state na kujihifadhi.

Sasa nakuja tu kushtuka nipo duniani hapo naanza kupata uelewa kuwa nipo mazingira tofauti ,yani nikama nimeibuka tu pah ,taa kwenye ubongo imewashwa on,naanza kujiuliza hapa ni wapi,nafanya nini,nini hiki nakiona hiyo hypothetical thinking najihoji pasipo maarifa yoyote yale bali nachoshuhudia na kukiishi,naanza ndoto yangu mpya nikiwa na jina la kupewa,naanza kuishi,kusoma,kudanganywa,kupewa sifa hizi na zile,kuambiwa mambo ya dini n.k ambayo kwangu naona kabisa hayana mantiki zaidi ya kunywa chai,kula,kulala,kwenda chooni na kuishi kuenjoy mandhari za paradiso,kuexperience mateso ,upendo,raha,uchungu,joto baridi n.k.


Sasa ukitaka kukumbuka maisha yote ya leo baada ya kifo kikuu jiue kifo cha awali na utashuhudia yote hata wakati wa kifo,kipende kifo maana ukikichukia unayachukia maisha hivyo hauta ishi utakuwa tu na mawazo na mwisho wasiku utashuhudia tanuri la moto maana kifo kinasema pita hapa ukazaliwa pale ,wewe unasema sitaki kufa nataka kuishi hivyo unavunja law of universe,your natural state,unaingia kwenye vita uliyojitakia yani Hell.

Na siku ukifa hautashudia kama hukujiua maana akili siku zote inataka tu kuishi tuuuu kumbe wewe hufi upo eternal unabadilika tu form,unakumbuka hata unavyokuwa inakuwaje si unajikuta ushakuwa tu,ndo hivyo everything inajiendesha we ishi ,ndo maana ukifa hutojua kama vile ambavyo hukumbuki umefikaje duniani zaidi ya kuhadithiwa kama wazazi walivyohadithiwa.


Anyways tumia busara tu kuelewa nilicho andika halafu ishi maisha,maana hakuna kesho na hutaka uione utashuhudia sasa tu na sasa ndo uwepo wa Mungu forget about desire,goals,future just live only that, we kula ukitaka kula,lala ukitaka kulala we fanya kazi ukitaka kufanya,cheza,imba we ishi,kuishi sasa ndo kujitambua maana hakuna kipya nje ya sasa,kesho ni illusion tu.nimeandika kama kichaa eeeh hahaha ila ndani yake kuna siri,ifungue na kula bata.
 
Ina maana hujui mechanism inavyofanya kazi?

Hujui kwa nini nyota ufa?

Hujui kwa nini zinazaliwa?
Mind you hakuna uhusiano na kutiana ili apatikane mtoto

Hujui kwa nini Kuna galaxy?

Hujui chochote

Wewe ni mjinga

Unahitaji elimu ili uelewe na uelimike

Nenda kajifunze bing bang theory, singularity theory
Ikiwezekana fika mpaka theory of everything.
Quantum theory

N.B kama kila kitu kimedesigniwa basi jua designer basi naye amedesigniwa
Nyota inazaliwaje na kufaje, baba yake na mama wa nyota anamzaaje usikimbilie kuwaita watu wajinga
 
Nyota inazaliwaje na kufaje, baba yake na mama wa nyota anamzaaje usikimbilie kuwaita watu wajinga
Hao wamekuwa indoctrinated kama wote tulivyokuwa awali kabla ya kujitambua.maana kujitambua ni kukubali unachoshuhudia sio kukichunguza ambacho kipo kwasababu ukikichunguza utajitengenezea majibu yako,utaridhika na kukiua kile kitu hivyo utasema nakijua halafu hutaona uzuri wake,utajaza ujinga kichwani,kama hawa wanaomtafuta Mungu upepo na sauti tu wameshindwa kuviona huyu Mungu watamwonea wapi au kumjulia wapi maana wanafanya umoja,ujumla uwe kama kitu ama mtu na wajue watakesha,ukitaka kufahamu jishushe kuwa mjinga utajifunza na kujua ila si kujaza makarabrasha ambayo haya maana kichwani.
 
Kwani wapi mimi nilisema roho ipo?

Nikishindwa kuthibitisha vyote hivyo ulivyovitaja, hilo linathibitisha Mungu yupo?

Mimi sikujui, you did not register in my mind as a notable individual.

Nitakukimbia vipi wakati sikujui kama una exist dunia hii?
Thibitisha uwepo wa;

1. Uhai/roho.

2. Sauti.

3. Hewa au upepo physically/tangible na visible (mwonekano wa macho ya Kibinadamu).

4. Akili.
 
Hao wamekuwa indoctrinated kama wote tulivyokuwa awali kabla ya kujitambua.maana kujitambua ni kukubali unachoshuhudia sio kukichunguza ambacho kipo kwasababu ukikichunguza utajitengenezea majibu yako,utaridhika na kukiua kile kitu hivyo utasema nakijua halafu hutaona uzuri wake,utajaza ujinga kichwani,kama hawa wanaomtafuta Mungu upepo na sauti tu wameshindwa kuviona huyu Mungu watamwonea wapi au kumjulia wapi maana wanafanya umoja,ujumla uwe kama kitu ama mtu na wajue watakesha,ukitaka kufahamu jishushe kuwa mjinga utajifunza na kujua ila si kujaza makarabrasha ambayo haya maana kichwani.
Nauhakika hana uwezo wa kuprove nyota zinazaliwaje na kufaje, kwenye maisha mambo mengi sana tunafanya kwa Iman na sio kujua kwa kukuprove

Hata hao wanascience wanaweza kuprove mambo mengi ambayo yapo Ila sio kukuonyesha original
 
Thibitisha uwepo wa;

1. Uhai/roho.

2. Sauti.

3. Hewa au upepo physically/tangible na visible (mwonekano wa macho ya Kibinadamu).

4. Akili.
Kwani wapi mimi nilisema roho ipo?

Nikishindwa kuthibitisha vyote hivyo ulivyovitaja, hilo linathibitisha Mungu yupo?
 
Thibitisha uwepo wa;

1. Uhai/roho.

2. Sauti.

3. Hewa au upepo physically/tangible na visible (mwonekano wa macho ya Kibinadamu).

4. Akili.
Hapo kwenye point ya Kwanza hakuna mtu yeyote anajua na mechanism ipi pumzi ya uhai inavyoingia kwa mtoto na baada ya mda inaondoka tunasema mtu amekufa, mwanadamu akijua hii mechanism hakuna mtu atakayekufa
 
Hapo kwenye point ya Kwanza hakuna mtu yeyote anajua na mechanism ipi pumzi ya uhai inavyoingia kwa mtoto na baada ya mda inaondoka tunasema mtu amekufa, mwanadamu akijua hii mechanism hakuna mtu atakayekufa
Hatanaivyo uwepo wa mtu haufi unazunguka tu,mwili ndo unakufa
 
Hatanaivyo uwepo wa mtu haufi unazunguka tu,mwili ndo unakufa
Kwa ambao tunaamin mambo ya rohoni na Mungu, ili uishi Dunia lazima uwe na mwili ambao una pumzi ya uhai- Spirit au Roho ni illegal kuishi dunian ndo maana ili ziishi Dunia zinahitaji mwili wenye pumzi ya uhai
 
Kwa ambao tunaamin mambo ya rohoni na Mungu, ili uishi Dunia lazima uwe na mwili ambao una pumzi ya uhai- Spirit au Roho ni illegal kuishi dunian ndo maana ili ziishi Dunia zinahitaji mwili wenye pumzi ya uhai
Duniani roho zinaishi ndani ya nyumba zao mwili,mwili ni temple ya roho,ni circle tu but roho zipo eternally hazifi ni form tu za temple ndo zinachange but its nature remains the same in a timeless state,so dont bother enjoy life.
 
Duniani roho zinaishi ndani ya nyumba zao mwili,mwili ni temple ya roho,ni circle tu but roho zipo eternally hazifi ni form tu za temple ndo zinachange but its nature remains the same in a timeless state,so dont bother enjoy life.
Unacomplicated mambo hakuna sehemu nimesema Roho inakufa
 
Kisichokuwepo hakithibitiki kitu ambacho hakipo huwezi kukithibitisha kuwepo kwake kwa kuwa hakipo ww unaesema kipo ndio unatakiwa uthibitishe kuwepo kwake mfano mm nikisema Dar es salam hakuna mlima na ww ukasema Dar es salm kuna mlima hapa anaetakiwa athibitishe kama Dar es salam kuna mlima ni yule anaesema upo yule anaesema hakuna haititaji kuthibitisha
Hivyo mnaosema kuna mungu ndio mthibitishe kama yupo kwakuwa sisis hatuhitaji kuthibitisha kwakuwa hayupo
 
Kisichokuwepo hakithibitiki kitu ambacho hakipo huwezi kukithibitisha kuwepo kwake kwa kuwa hakipo ww unaesema kipo ndio unatakiwa uthibitishe kuwepo kwake mfano mm nikisema Dar es salam hakuna mlima na ww ukasema Dar es salm kuna mlima hapa anaetakiwa athibitishe kama Dar es salam kuna mlima ni yule anaesema upo yule anaesema hakuna haititaji kuthibitisha
Hivyo mnaosema kuna mungu ndio mthibitishe kama yupo kwakuwa sisis hatuhitaji kuthibitisha kwakuwa hayupo
Mungu si mlima[emoji23][emoji23]hawezi thibitishwa kwa logic ni illogical unafeel presence yake huwezi kumuona kama hiyo avatar yako[emoji16]
 
Mungu si mlima[emoji23][emoji23]hawezi thibitishwa kwa logic ni illogical unafeel presence yake huwezi kumuona kama hiyo avatar yako[emoji16]
Simaanishi nimuone namaanisha ajithibitishe kwa logic tu sasa ukiangalia mungu anajipinga sana kujipinga kwake kunafanya tuone hayupo at all
 
Nyota inazaliwaje na kufaje, baba yake na mama wa nyota anamzaaje usikimbilie kuwaita watu wajinga
Soma maelezo hayo kwa lugha ya mfalme Charles III
Screenshot_20221226-204437.jpg
Screenshot_20221226-204546.jpg
 
Simaanishi nimuone namaanisha ajithibitishe kwa logic tu sasa ukiangalia mungu anajipinga sana kujipinga kwake kunafanya tuone hayupo at all
Mungu kaumba logic sasa logic itawezaje kumthibitisha?Mungu ni sisi pamoja na vyote ni totallity,ni sawa sawa na kujithibitisha wewe source yako ni ipi(humans),God is whole,is us all ,everything in total and at the same time nothingness,Mungu ni pale vinavyoonekana vinapokutana na visivyoonekana(threshold)hapo ndo mlango wa majibu wanayotafuta watu humu kila kukicha na hawawezi kuyapata ni bora uwe kama mti,upo kimya,unakuwa,unakula upepo una enjoy life maana hata mti unajua God is just living and experiencing nature dats all
 
Kwa ambao tunaamin mambo ya rohoni na Mungu, ili uishi Dunia lazima uwe na mwili ambao una pumzi ya uhai- Spirit au Roho ni illegal kuishi dunian ndo maana ili ziishi Dunia zinahitaji mwili wenye pumzi ya uhai
Hakuna Cha pumzi ya uhai au roho

Process kuhusu human embryo ndio hivyo kuhusu kifaranga Cha ndege, Mbuzi na Kobe.

Ukitaka kujua hivyo vitu havina uhalisia na concept za jamii tu basi kumbuka cloning technology.

Seli ya binadamu ya kwenye ngozi Ina taarifa zote kuhusu mwili wa binadamu.

Leo hii viumbe vyote ukiitoa mimea inaweza kufanyiwa cloning na kutoka kopi yako bila kutumia mfumo wa viunga vya uzazi.

Human cloning ilifanyika mwaka 2002 na kufanikiwa hivyo inaondoa dhana kuhusu pumzi na roho.
 
Mungu kaumba logic sasa logic itawezaje kumthibitisha?Mungu ni sisi pamoja na vyote ni totallity,ni sawa sawa na kujithibitisha wewe source yako ni ipi(humans),God is whole,is us all ,everything in total and at the same time nothingness,Mungu ni pale vinavyoonekana vinapokutana na visivyoonekana(threshold)hapo ndo mlango wa majibu wanayotafuta watu humu kila kukicha na hawawezi kuyapata ni bora uwe kama mti,upo kimya,unakuwa,unakula upepo una enjoy life maana hata mti unajua God is just living and experiencing nature dats all
Maelezo yanaonyesha mungu unaemuelezea ww ni tofauti na mungu wa dini umeligundua hili kupitia maelezo yako
 
Back
Top Bottom