Maisha yameanza 3.5 billion
Kwenye mazingira ambayo kwa Sasa yamefutika.
Somehow ni ngumu kujua first single cell ilikuwaje kuwaje ila hii haidhiirishi Kuna superbeing alifanya.
Somehow sikupingi
Tutaendelea kutofautiana mitazamo ila Kuna vitu tunakubaliana kwa kutokubaliana.
Unatazama asili Kama Alfa na omega





Na sayansi ni kujifunza asili
Ila hakuna Cha Siri ya kifo Wala nini?
Kufa ni seli nyingi zimekufa kuliko zilizo hai
Wanasayansi kinachowasumbua kwa Sasa ni kuumaster mfumo wa fahamu ambao ndio complex.
Kuzuia kuzeeka(ageing) ambao kisayansi ni ugonjwa
Na kifo
Wakimaliza hapo hujue miaka mingi ijayo binadamu ataweza kuishi miaka mingi kadri itakavyo wapendeza.
Ila Mimi na wewe tutakuwa tumekufa