Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Una ushahid gani alichoandika ni kweli huoni kama ni nadharia tu kama zile zilizoko kwenye bible leta formula sio theory mambo ya sayansi yanaendana na formula
mbona Dunia imeona sio miaka mingi kwa kutuma chombo huko kwenye magimba.

Inaonekana hufuatilii
Screenshot_20221226-232141.jpg
 
Hakuna Cha pumzi ya uhai au roho

Process kuhusu human embryo ndio hivyo kuhusu kifaranga Cha ndege, Mbuzi na Kobe.

Ukitaka kujua hivyo vitu havina uhalisia na concept za jamii tu basi kumbuka cloning technology.

Seli ya binadamu ya kwenye ngozi Ina taarifa zote kuhusu mwili wa binadamu.

Leo hii viumbe vyote ukiitoa mimea inaweza kufanyiwa cloning na kutoka kopi yako bila kutumia mfumo wa viunga vya uzazi.

Human cloning ilifanyika mwaka 2002 na kufanikiwa hivyo inaondoa dhana kuhusu pumzi na roho.
Hawa clones wanatumia mafuta ya diesel ama maji ya battery?halafu cloning si kawaida tu kama testtube babies,si idea tu ya identical twins,science isnt magical is just trying to discover what already exists na wakishachoka kujua ,they kill the idea na kuendelea na mengine they are exploring nature wakichoka ndo kama hivi macyborg,AI robotics,bio-electrical species and so forth ila inshort wanakimbia nature wanaunda field ya artificial life of which it wont change anything it will create society of controlled humans who are lesser intelligent and their master will be a machine.
 
Hawa clones wanatumia mafuta ya diesel ama maji ya battery?halafu cloning si kawaida tu kama testtube babies,si idea tu ya identical twins,science isnt magical is just trying to discover what already exists na wakishachoka kujua ,they kill the idea na kuendelea na mengine they are exploring nature wakichoka ndo kama hivi macyborg,AI robotics,bio-electrical species and so forth ila inshort wanakimbia nature wanaunda field ya artificial life of which it wont change anything it will create society of controlled humans who are lesser intelligent and their master will be a machine.
Kawaida?
Unadhani ni rahisi kama test tube baby ambao inakuwa kama artificial womb.

Kuchukua yai na mbegu kulipandikiza maabara.
Wakati huo huo mbegu na Yao ziko specialized kwenye reproduction process.

Hapa inachukuliwa seli mfano ya ngozi ambayo Ina kazi nyingine bila kuchanganya chromosomes na jinsia nyingine.

Unadhani hii utafananisha na test tube baby.

Halafu inakuwa develope mpaka binadamu anakamilika.
Hii inaondoa Ile dhana sijui pumzi sijui roho.
Tunaishi kwa sababu seli zilizo hai ni nyingi kuliko zinazokufa.
Ikitokea vice versa ujue mwisho wako.
 
Kawaida?
Unadhani ni rahisi kama test tube baby ambao inakuwa kama artificial womb.

Kuchukua yai na mbegu kulipandikiza maabara.
Wakati huo huo mbegu na Yao ziko specialized kwenye reproduction process.

Hapa inachukuliwa seli mfano ya ngozi ambayo Ina kazi nyingine bila kuchanganya chromosomes na jinsia nyingine.

Unadhani hii utafananisha na test tube baby.

Halafu inakuwa develope mpaka binadamu anakamilika.
Hii inaondoa Ile dhana sijui pumzi sijui roho.
Tunaishi kwa sababu seli zilizo hai ni nyingi kuliko zinazokufa.
Ikitokea vice versa ujue mwisho wako.
Clones use oxygen and oxygen is natural , can never be artificial ,ndo maana "WANACHUKUA SELI"kwa kuwa hawajui siri ya seli source code yake.Na kingine hawawezi na hawataweza kutengeneza seli
 
Clones use oxygen and oxygen is natural , can never be artificial ,ndo maana "WANACHUKUA SELI"kwa kuwa hawajui siri ya seli sorce code yake.Na kingine hawawezi na hawataweza kutengeneza seli
Kwani oxygen ndio roho?
Kwani oxygen ndio pumzi?

Asilimia 90 ya maisha hapa duniani yanatumia oxygen ambayo inaenda kuunguza chakula ili wapate Nishati.

Asilimia 99 ya maisha hapa duniani ni Carbon based.

Kuanzia mimea mpaka wanyama ndio maana ile dhana ya Kuna kiumbwe kiliumbwa kwa udongo tu nayo Haina mantiki.
Wakati building block ni Ile Ile.

Clones ni replica ya mtu.
Clones ni binadamu asiyetokana na sexual reproduction.
Clones ikiwa kwa binadamu ni kiumbe asiye changanya vinasaba.

Ni kama bacteria hii inaonyesha hakukuwa na special creation ulimwenguni.
 
Clones use oxygen and oxygen is natural , can never be artificial ,ndo maana "WANACHUKUA SELI"kwa kuwa hawajui siri ya seli source code yake.Na kingine hawawezi na hawataweza kutengeneza seli
Watu wanachambua mpaka Genetics
Unasema hawaijui Siri ya seli?
Sasa hivi itafikia hatua kiumbe kabla hakija zaliwa ukaweza kukimodify vinasaba vyake halafu Kuna mtu anasema hawajui siri ya seli?

Nimejifunza kitu pia
Shukrani Mkuu.
 
Kwani oxygen ndio roho?
Kwani oxygen ndio pumzi?

Asilimia 90 ya maisha hapa duniani yanatumia oxygen ambayo inaenda kuunguza chakula ili wapate Nishati.

Asilimia 99 ya maisha hapa duniani ni Carbon based.

Kuanzia mimea mpaka wanyama ndio maana ile dhana ya Kuna kiumbwe kiliumbwa kwa udongo tu nayo Haina mantiki.
Wakati building block ni Ile Ile.

Clones ni replica ya mtu.
Clones ni binadamu asiyetokana na sexual reproduction.
Clones ikiwa kwa binadamu ni kiumbe asiye changanya vinasaba.

Ni kama bacteria hii inaonyesha hakukuwa na special creation ulimwenguni.
Nachojaribu kukuelewesha ni kuwa hivyo vyote vinavyofanywa source yake ni natural na unknown,lazima watumie nature kuimplement na kuhangaika kama unavyohada ujinga huu wanaofanya kwa faidi ya kujifurahisha akili zao ila hawawezi badilisha ukweli na wala hawawezi kujua source code ya nature maana wao wenyewe hawajitambui source code yao na the only way to know the truth of the source code nikudrop knowledge and ego,mind and clevery.


Miti ya mipapai umeikuta ulipokuja duniani halafu eti unaichungunza na kusema nimegundua kitu,sasa kama umegundua kitu sisi tufanyaje? wewe ishi,subiri papai liive kula lala.

Wasitumie chochote of nature kama wanaweza hawa wanafanya modification tu wakichoka wanapachika hayo maclone battery na miwaya period.

Electron tu inawaumiza kichwa ,siri ya art of living and dying unadhani wataijua wakiendeleza hizo science zao,wakubali kusurrender halafu wakubali kuwa wajinga waenjoy maisha.
 
Nachojaribu kukuelewesha ni kuwa hivyo vyote vinavyofanywa source yake ni natural na unknown,lazima watumie nature kuimplement na kuhangaika kama unavyohada ujinga huu wanaofanya kwa faidi ya kujifurahisha akili zao ila hawawezi badilisha ukweli na wala hawawezi kujua source code ya nature maana wao wenyewe hawajitambui source code yao na the only way to know the truth of the source code nikudrop knowledge and ego,mind and clevery.


Miti ya mipapai umeikuta ulipokuja duniani halafu eti unaichungunza na kusema nimegundua kitu,sasa kama umegundua kitu sisi tufanyaje? wewe ishi,subiri papai liive kula lala.

Wasitumie chochote of nature kama wanaweza hawa wanafanya modification tu wakichoka wanapachika hayo maclone battery na miwaya period.

Electron tu inawaumiza kichwa ,siri ya art of living and dying unadhani wataijua wakiendeleza hizo science zao,wakubali kusurrender halafu wakubali kuwa wajinga waenjoy maisha.
Maisha yameanza 3.5 billion
Kwenye mazingira ambayo kwa Sasa yamefutika.
Somehow ni ngumu kujua first single cell ilikuwaje kuwaje ila hii haidhiirishi Kuna superbeing alifanya.

Somehow sikupingi
Tutaendelea kutofautiana mitazamo ila Kuna vitu tunakubaliana kwa kutokubaliana.

Unatazama asili Kama Alfa na omega
Na sayansi ni kujifunza asili

Ila hakuna Cha Siri ya kifo Wala nini?
Kufa ni seli nyingi zimekufa kuliko zilizo hai
Wanasayansi kinachowasumbua kwa Sasa ni kuumaster mfumo wa fahamu ambao ndio complex.
Kuzuia kuzeeka(ageing) ambao kisayansi ni ugonjwa
Na kifo
Wakimaliza hapo hujue miaka mingi ijayo binadamu ataweza kuishi miaka mingi kadri itakavyo wapendeza.

Ila Mimi na wewe tutakuwa tumekufa
 
Maisha yameanza 3.5 billion
Kwenye mazingira ambayo kwa Sasa yamefutika.
Somehow ni ngumu kujua first single cell ilikuwaje kuwaje ila hii haidhiirishi Kuna superbeing alifanya.

Somehow sikupingi
Tutaendelea kutofautiana mitazamo ila Kuna vitu tunakubaliana kwa kutokubaliana.

Unatazama asili Kama Alfa na omega
Na sayansi ni kujifunza asili
Ya nini kujifunza asili?
Wewe tiyari ni asili,ishi,kula,lala,nenda chooni,sex,enjoy life,maisha ni kuishi na wala si kuchunguza,kuchunguza ni kupoteza muda maana yake ni kuwa muda ambao unatumia kuyachunguza ili kufurahisha akili ungeutumia kuishi na kuexperience sio kuaccumulate ambavyo tayari vipo,jua si lipo unalichunguza,je ukimaliza faida yake ni nini?na ukijua linamulika na kutoa mwanga so what?maana halisi ya kuchunguza ni kutojitambua yani hujui upo wapi na wewe ni nani ndo confusion zinaanza hapo,ukweli ni kwamba vyote vipo na wewe upo vitaendelea kuwepo na utaendelea kuishi kutoka kuwa sperm,kukaa kwenye belly,kuishi kwenye hii physical dimension ,kufa na kuzaliwa tena kuishi hivyo hivyo its just vicious circle or wheel,wanachofanya binadamu wenzetu ni kujikimbia huku wakijitafuta,drop the knowledge and you will be free,ukweli unaishi nje ya ufahamu ndani ya ufahamu kuna muda na ufahamu hautaki kufa wakati kufa ni zawadi ya rebirth,science inajaribu kuangalia how life operates without success down the ages,kumbe life is not of discovery its herenow is just LIVING and DYING,BIRTH AND DEATH ,and nothing will change only people will become foolish and more foolish maana wataimpress akili zao na hawataijua source code maana source code ipo ndani yetu,nature,kwenye maji wanyama everywhere,if you want to know it BE IT DONT SEEK YOU WILL NEVER FIND IT TILL YOU DIE.
 
Maisha yameanza 3.5 billion
Kwenye mazingira ambayo kwa Sasa yamefutika.
Somehow ni ngumu kujua first single cell ilikuwaje kuwaje ila hii haidhiirishi Kuna superbeing alifanya.

Somehow sikupingi
Tutaendelea kutofautiana mitazamo ila Kuna vitu tunakubaliana kwa kutokubaliana.

Unatazama asili Kama Alfa na omega
Na sayansi ni kujifunza asili

Ila hakuna Cha Siri ya kifo Wala nini?
Kufa ni seli nyingi zimekufa kuliko zilizo hai
Wanasayansi kinachowasumbua kwa Sasa ni kuumaster mfumo wa fahamu ambao ndio complex.
Kuzuia kuzeeka(ageing) ambao kisayansi ni ugonjwa
Na kifo
Wakimaliza hapo hujue miaka mingi ijayo binadamu ataweza kuishi miaka mingi kadri itakavyo wapendeza.

Ila Mimi na wewe tutakuwa tumekufa
Ofcourse wataishi miaka mingi kwasababu metals zita mingle na humanbodies ndo watakuwa macyborg wenye chipset nothing new,yani huwezi kukwepa kifo naturally utakufa tu only robots wataweza kuwa sentiment through programs and instructions and ordinary humans watakuwa slaves its called UTTER-NONSENSE.

Ego ina character ya kucontrol kwa binadamu anataka kuwa mastercontrol of the universe kwahiyo ndo anahangaika kutengeneza matoy yake kwa kutumia maneno matamu kama technology,civilization sijui upuuzi yote hiyo kashindwa tu kujitambua,Ego inapenda kuwa special,perfect,extra-ordinary,time oriented yenye power na prestige ndo maana wanahangaika but promise you hizo zinaitwa mind games and they will never change anything ,they are just digging their own hell of extreme misery hakuna jipya ni mjinga tu ndo anafanya haya siyo intelligent maana aliye intelligent hana haja ya kuhangaika anaishi na kuenjoy nature akisubiri death kama the end of the dream.
 
Duh, yani kwa design hii ni bora wafute tu elimu ijulikane kwamba watanzania hatusomi
Education is simply indoctrination it prepares you to be a slave in a systematic enviroment controlled by politicians and priests and as long you are done with it you are rewarded cars,houses,knowledge but not intelligence,awareness,freedom and innerpeace
 
Education is simply indoctrination it prepares you to be a slave in a systematic enviroment controlled by politicians and priests and as long you are done with it you are rewarded cars,houses,knowledge but not intelligence,awareness,freedom and innerpeace
True, few make it out of the maze
 
wakija kudhibitisha ni kutaka kujengea watu imani flani tu bila udhibitisho unaoingia akilin , hyo imani ya kuamn Mungu hayupo haina tofauti na iman ya din flan tu, waulize ni nguvu gani ilipangilia mifumo mbalimbali kiustadi bila kuathiri viumbe hai , wanasema wanaamni sayansi waulize sayansi inaweza simama bila kutegemea rawmaterial iliyokuwepo tu bila ufundi kutoka kwa binadamu?

waulize ni nguvu gani na intelligence ipi inayofanya kazi ndani sperm kuunda kiumbe kilicho na mifumo na mipangilio maalumu ? ni kitu gan kiliweka sukari ndan ya muwa na kwa dhumuni lipi je ilitokea tu bila nguvu na inteligence yoyote?
kasome aunaki Conspiracy
 
Back
Top Bottom