Mungu hana dini

Mungu hana dini

"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini

"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."

"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."

"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."

JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Hakika na huu ni ukweli kwakuwa dini zimekuja juzi ila zinataka kutugawa .
 
"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini

"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."

"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."

"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."

JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Eti Dini🤔
 
Kabla ya Adamu kumkosea Mungu, hakuna taarifa kama kulikuwa na dini. Lakini basda Adamu kuondolewa utukufu family take ikaanza kumtukuza Mungu kwa kutoa sadaka.Kaini alimtolea Mungu mazao na Abel mifugo.Dini ilianza kwa utoaji kwa ajili ya kujitakasa
Adamu Alitolewa peponi kwa kukiuka taratibu,sheria au makatazo aliyopewa na hiyo ndiyo Dini
 
sio "zinataka" ---- zimetugawa
Na huwezi kunyooshea kidole Dini kuna vingi vinaweza kutugawa Siasa, Lugha, Langi, Ukoo, kipato, Mamlaka n.k

Hayo yote ni kwaajili ya mtihani ni nani atakaye mwabudu Mungu
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Na huwezi kunyooshea kidole Dini kuna vingi vinaweza kutugawa Siasa, Lugha, Langi, Ukoo, kipato, Mamlaka n.k

Hayo yote ni kwaajili ya mtihani ni nani atakaye mwabudu Mungu
Kila kitu kinatugawa muda wake

Mtihani wa nini?
 
Huo ni mpangilio wakiesabu unahitaji tafakuri tena huko nimbali angalia aya katika
Quran surah AR Rahman aya 19
"Mwenyezi Mungu Ameyachanganya maji ya bahari mbili, tamu na chumvi, yanakutana, baina yake kuna kizuizi"
View: https://m.youtube.com/watch?v=ulcQTv8COfI

Sasa unataka iweje ? Yaani uchanganye vitu viwili alafu change iwe immediate ? (ingakuwa hivyo ndio ingekuwa ajabu ila sababu ule mchanganyiko una vary hio wala sio ajabu ndivyo inavyobidi) na ukijua mambo ya density wala hautashangaa....

When fresh water and salt water meet, they often create a transition zone called an estuary, where the two mix, resulting in brackish water. This mixing can be smooth, or it can be turbulent due to factors like tidal currents. The resulting brackish water has a salinity level between that of fresh and salt water.
 
Vipi kama kusingekuwa na dini tungejuaje kuwa Mungu yupo?
Huyo Mungu kama yupo, Alishindwaje kufanya watu wote ulimwenguni wamjue yeye yupo, bila kutumia hizo Dini?

Huyo Mungu kama yupo, Kwa nini aliruhusu uwepo wa dini nyingi zinazopingana zenyewe kwa zenyewe katika kuelezea uwepo wake?

Huyo Mungu kama yupo, kwa nini aliruhusu uwepo wa dini nyingi zinazoleta mkanganyiko na utofauti wa kiimani kuhusu uwepo wake?

Hivi huyo Mungu ana utimamu kweli?
 
sio "zinataka" ---- zimetugawa
Once you are born, you are given a name, a nationality and religion. You spend the rest of your life defining and defending fictional identities.
 
  • Thanks
Reactions: Lax

Similar Discussions

Back
Top Bottom