Mungu hana dini

Mungu hana dini

Sasa unataka iweje ? Yaani uchanganye vitu viwili alafu change iwe immediate ? (ingakuwa hivyo ndio ingekuwa ajabu ila sababu ule mchanganyiko una vary hio wala sio ajabu ndivyo inavyobidi) na ukijua mambo ya density wala hautashangaa....

When fresh water and salt water meet, they often create a transition zone called an estuary, where the two mix, resulting in brackish water. This mixing can be smooth, or it can be turbulent due to factors like tidal currents. The resulting brackish water has a salinity level between that of fresh and salt water.
Je hayo yote mpaka kwenye ozone layer na matabaka yake ya kiulinzi havikupi ishara ya kuwepo Mungu
 
Je hayo yote mpaka kwenye ozone layer na matabaka yake ya kiulinzi havikupi ishara ya kuwepo Mungu
Vyote ukiviangalia wala havina cha kushangaza ni ili kukamilisha a stable and sustainable natural (nature) ways of things kwa kuhakikisha increase of entropy....

Kungekuwa na Mazingaombwe / A perfect system ambayo unasema ina upendo na kupenda kila kiumbe.., tusingehitaji kuwaua viumbe wengine ili sisi tupate chakula chetu (hio ni barbaric system) ila ndio the only system ambayo inaweza kuleta ecosystem (equilibrium) bila majani kuliwa yangejaa na bila kina simba kuwapunguza kina swala majani yangekwisha na bila micro organisms kuweza decomposition ya kila kiumbe basi hizo elements za kina carbon n.k. zisingeweza kurudi tena ili mchezo uendelee in a cycle (na muendeleo huu utaendelea mpaka Nishati Mama (Jua) litakapoishiwa nishati) ambayo ni Hydrogen
 
"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini

"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."

"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."

"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."

JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Mwezi haufungani na DINI unatuangazia mwanga tu sawa kabisa ila wapo wanaoamini kila hatua ni ibada na kuomba wakati mwingine tunajifunga sana katika mambo yetu
 
Vyote ukiviangalia wala havina cha kushangaza ni ili kukamilisha a stable and sustainable natural (nature) ways of things kwa kuhakikisha increase of entropy....

Kungekuwa na Mazingaombwe / A perfect system ambayo unasema ina upendo na kupenda kila kiumbe.., tusingehitaji kuwaua viumbe wengine ili sisi tupate chakula chetu (hio ni barbaric system) ila ndio the only system ambayo inaweza kuleta ecosystem (equilibrium) bila majani kuliwa yangejaa na bila kina simba kuwapunguza kina swala majani yangekwisha na bila micro organisms kuweza decomposition ya kila kiumbe basi hizo elements za kina carbon n.k. zisingeweza kurudi tena ili mchezo uendelee in a cycle (na muendeleo huu utaendelea mpaka Nishati Mama (Jua) litakapoishiwa nishati) ambayo ni Hydrogen
Sasa huo mzunguko haukupi mazingatio, sisi tumewezaje kutembea kwa miguu miwili na wao wakashindwa, kingine Moyo na Mapafu tangu tuzaliwe havija wahi kusimama zaidi ya kuongezeka na kupunguza kasi ya ufanyaji kazi na Allah anasema :
"Ambao wanamdhukuru Allaah kwa kusimama na kwa kukaa na kwa kulala ubavuni mwao na wanatafakari katika kuumbwa mbingu na ardhi (wakisema) “Rabb wetu, Hukuumba haya bure, Utakasifu ni Wako tukinge na adhabu ya moto". [Al-'Imraan: 190-191]
 
Sasa huo mzunguko haukupi mazingatio, sisi tumewezaje kutembea kwa miguu miwili na wao wakashindwa, kingine Moyo na Mapafu tangu tuzaliwe havija wahi kusimama
Tungetembea kwa miguu mitatu ungesema kwanini sio minne na unadhani Simba kwa mazingira yake angetembea kwa miguu miwili ingekuwa ni bora kwake ? Au tukigundua kwamba kuruka ruka ni efficient kuliko kutembea si kila mtu ataanza kuruka ?

Hakuna ajabu hapo mkuu na kama nilivyokwambia hii sio Magical ingekuwa ni Magical hata hizo habari unazonipa hapa zingekuwa transfered kwenye akili yangu automatically wala nisingehitaji proxy....
 
"Muumba alitupatia uzima - sio mafundisho na hekaya za kidini

"Ukweli haumilikiwi na vitabu, mahekalu, au wanadamu. Ukweli unapatikana kwa kupatana na Nuru - katika matendo, nia, na ukumbusho."

"Kila dini ilianza na mtu ambaye alikumbuka. Lakini mara tulipogeuza ujumbe wao kuwa udhibiti, tulipoteza ujumbe."

"Hakuna mtoto anayezaliwa na dini. Anazaliwa na roho na hilo ndilo hekalu la kweli."

JUA HALINA IBADA-LINANG'AA TU. MWEZI HAUFUNGANI NA DINI.. UNATUMULIKIA KIZANIView attachment 3436065
Thibitisha Mungu yupo.
 
Tungetembea kwa miguu mitatu ungesema kwanini sio minne na unadhani Simba kwa mazingira yake angetembea kwa miguu miwili ingekuwa ni bora kwake ? Au tukigundua kwamba kuruka ruka ni efficient kuliko kutembea si kila mtu ataanza kuruka ?

Hakuna ajabu hapo mkuu na kama nilivyokwambia hii sio Magical ingekuwa ni Magical hata hizo habari unazonipa hapa zingekuwa transfered kwenye akili yangu automatically wala nisingehitaji proxy....
Je sisimizi kuwa na miguu sita na kuna mdogo zaidi yakeni nanotech ya Mungu hivi huoni ishara ya Uweza wa Mungu hapo .
 
Je sisimizi kuwa na miguu sita na kuna mdogo zaidi yakeni nanotech ya Mungu hivi huoni ishara ya Uweza wa Mungu hapo .
Ulitaka awe na miguu mingapi ? Na kama ukisema uwezo mkubwa vipi wakoma, vipofu na wanyama wanaozaliwa na ugonjwa hivyo kushindwa kuishi na kuwa kitoweo cha wengine au kupata kifo cha matezo ni uwezo wa nani ? (Shetani) !

Kwamba Mungu alitengeneza Chawa au Kupe ili wanyonye damu za Wanyama wengine kwa faida ya nani ?
 
Ulitaka awe na miguu mingapi ? Na kama ukisema uwezo mkubwa vipi wakoma, vipofu na wanyama wanaozaliwa na ugonjwa hivyo kushindwa kuishi na kuwa kitoweo cha wengine au kupata kifo cha matezo ni uwezo wa nani ? (Shetani) !

Kwamba Mungu alitengeneza Chawa au Kupe ili wanyonye damu za Wanyama wengine kwa faida ya nani ?
Katika Uislamu Asili ya vitu vyote ambavyo Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kaviumba kwa manufaa ya wanaadamu ni halali na mubaha, wala hapana la haramu ila lile ambalo Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) na Mtume Wake wameliharamisha kwa kulitaja katika Shari‘ah. Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Anasema:

“Na Amekubainishieni waziwazi Alivyokuharamishieni” (6: 119).



Na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema:

“La halali ni lile Alilolihalalisha Allaah katika Kitabu Chake na la haramu ni lile Aliloliharamisha Allaah katika Kitabu Chake, na ambalo hakulitaja basi ni msamaha kwenu” (at-Tirmidhiy na Ibn Maajah).
 
Katika Uislamu Asili ya vitu vyote ambavyo Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) kaviumba kwa manufaa ya wanaadamu ni halali na mubaha, wala hapana la haramu ila lile ambalo Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) na Mtume Wake wameliharamisha kwa kulitaja katika Shari‘ah. Allaah (Subhaanahu wa Ta‘ala) Anasema:
Kwahio wanyama wamewekwa pale ili wawe kifurahisho cha Bin Adam..., Kwanini asingefanya watu wakashiba bila uhitaji wa kuua viumbe vingine (au kusiwe na hitaji la kula)

1754734390219.png
 
Kwahio wanyama wamewekwa pale ili wawe kifurahisho cha Bin Adam..., Kwanini asingefanya watu wakashiba bila uhitaji wa kuua viumbe vingine (au kusiwe na hitaji la kula)

Kwasababu Maisha ya dunia ni ya majaribio (imtihani)
Qur'an 67:2
"Yeye aliyeumba mauti na uhai ili akujaribuni ni nani miongoni mwenu bora kwa matendo"

Kula, njaa, kuchagua halali au haramu yote ni sehemu ya mitihani wa maadili, utii na huruma
Allah ameahidi maisha yasiyo na maumivu Peponi huko
Qur'an 50:35
"...na humo watapata watakavyo na tutazidi kuwapa zaidi."
 
Huyo Mungu kama yupo, Alishindwaje kufanya watu wote ulimwenguni wamjue yeye yupo, bila kutumia hizo Dini?

Huyo Mungu kama yupo, Kwa nini aliruhusu uwepo wa dini nyingi zinazopingana zenyewe kwa zenyewe katika kuelezea uwepo wake?

Huyo Mungu kama yupo, kwa nini aliruhusu uwepo wa dini nyingi zinazoleta mkanganyiko na utofauti wa kiimani kuhusu uwepo wake?

Hivi huyo Mungu ana utimamu kweli?
Kwa hyo ulitaka akufungie maspika masikioni.?amwambie Mimi NDO MUNGUUUUUUUU!?.ametuma nitume na manabii kuja kumtangaza kupitia DINI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom