Binadamu yeyote mwenye akili inayofanya kazi huwa ana maono/ ndoto ya kuja kuwa mtu fulani katika jamii.
Maono haya yanatokana na uwezo wa mtu wa kufikiri, mazingira, elimu aliyonayo, vitu anavyoona au kusikia.
Katika mazingira yote hayo, mtu mmoja alikuwa na ndoto ya kuja kuwa air hostess/flight attendant.
Mungu aliyetuomba sote na kumpangia kila mtu nafasi yake kwenye dunia hii akamwambia wew utakuja kuwa zaidi ya hapo.
Achana na mambo ya flight attendant. Na ikawa hivyo.
Kwa kweli Mungu fundi.
Na kwa kuwa ni mteule wa Mungu, hatuna budi kumuombea ili atekeleze yale Mungu aliyomuandikia kutekeleza.
Kuijenga kwa namna yoyote ile. Iwe kwa maendeleo yatakayoonekana kwa macho au kuharibu. Mpango wa Mungu lazima utimie.
Alhamdulillah,
Tumsifu Yesu Kristu,
Bwana Yesu asifiwe.
Maono haya yanatokana na uwezo wa mtu wa kufikiri, mazingira, elimu aliyonayo, vitu anavyoona au kusikia.
Katika mazingira yote hayo, mtu mmoja alikuwa na ndoto ya kuja kuwa air hostess/flight attendant.
Mungu aliyetuomba sote na kumpangia kila mtu nafasi yake kwenye dunia hii akamwambia wew utakuja kuwa zaidi ya hapo.
Achana na mambo ya flight attendant. Na ikawa hivyo.
Kwa kweli Mungu fundi.
Na kwa kuwa ni mteule wa Mungu, hatuna budi kumuombea ili atekeleze yale Mungu aliyomuandikia kutekeleza.
Kuijenga kwa namna yoyote ile. Iwe kwa maendeleo yatakayoonekana kwa macho au kuharibu. Mpango wa Mungu lazima utimie.
Alhamdulillah,
Tumsifu Yesu Kristu,
Bwana Yesu asifiwe.