tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Wachaga huwa hawatupi damu zao ila kwahili jambo angemuachia mwanae,huyo mama analake jambo ila kajivua nguo n kuonyesha tabia zke vizuri,mwanamke mfupi huwa ni tabu kuishi naoIla baba wa mtoto ni mstaarabu sana ingekua hawa wengine pangechimbika.....sasa ndio naamini kwa nini watu wanachinjwa kwa hizi drama za muna mwanaume kama hauna hofu ya Mungu unaweza mkata kichwa hakya nani