Anasema ameshalimaliza kuwa peter ndiyo atamzika mwanaye na LE MUTUZI atasimamia ununuzi wa jeneza!!Kwani stive nyerere yeye anasemaje
Aisee sasa mbona wamemwacha mama wa marehemu kaja pekeake au kawatorokaAnasema ameshalimaliza kuwa peter ndiyo atamzika mwanaye na LE MUTUZI atasimamia ununuzi wa jeneza!!
Weka hiyo video hapa mkuuNmechek milad Ayo live kutoka
Airport naona anaingizwa tu Kwa gar
At amezimia
Upo kama mimi, yaani hata kidogo.. na nimeshawishika kufungua hii mada baada ya kuona mada kama tatu humu jf kumuhusu huyo mtu... Ila kiukweli simfahamu wala kumjua kwa surasitaki kuamini kuwa simjui hata kwa sura tu huyo muna love,mwenye picha yake tafadhali msaada na mimi nimdeku,maana yeye na huo msiba wake wamekuwa maarufu hapa tanzania kuliko mkuu flani hivi...
Ww kama hao.. Akili za tongwa..Kaa kimya hujui wewe kitu
Potezea kama humjui utapata tu hasiraUpo kama mimi, yaani hata kidogo.. na nimeshawishika kufungua hii mada baada ya kuona mada kama tatu humu jf kumuhusu huyo mtu... Ila kiukweli simfahamu wala kumjua kwa sura
Drama zinaendelea yaani tafrani tupu,mpk huruma jamani...!!! Hivi kuna nini kikubwa kinachosababisha yoteKumbe mwili umekuja Jana alooo ,,uwiii mbona mtiti
Kwani stive nyerere yeye anasemaje
mangi na yeye anataka kumkomoa Muna.Huyo mangi itakua nae anashida zke mtu anasema mtoto sio wko,bdo unalumbana nae mwachie msiba wke apambane nao ...huyo mwanamke huo msiba anasiri nao