Kiranga nakubaliana na wewe kwa kiwango kikubwa sana ila sasa twende kwenye biological facts, mwanamke anapokuwa kwenye fertile age ndio huwa na ashki zaid kuliko anapokuwa ameshapita umri huo. kwa umri wa bidada ni umri ambao angependa hata kuguswa kila siku ili ajiskie mwanamke kamili. hii inatoka na hormones ambazo kwa wakati huu level yake iko juu zaid plus levels za electrolytes mwilini.Hivi kwa nini watu wanafikiri kwamba baada ya kuoana, mtakaa miaka na miaka, kila siku mnalala kitanda kimoja, watu wawili wale wale halafu sex life itakuwa ile ile tu?
Kama umeamua kuingia katika ndoa inabidi ukubali kweli fulani za maisha ya ndoa.
Mojawapo ni hii, ya kwamba kuna uwezekano mkubwa sana wa moto wa tendo la ndoa kupungua.
Watu wanakuwa wakubwa zaidi, kazi zinazidi, majukumu yanazidi, watoto wanaingilia, familia, harufu za maziwa waliocheua watoto, mara mke kapoteza shepu kwa kuzaa, mara baba libido imeshuka kapata kitambi na kashaanza kupata majani meupe mpaka kwenye bustani ya katikati etc etc.
Utategemeaje rigwaride libaki lile lile?
You are just setting yourself up for disappointment.
Kwani mapenzi lazima kila siku kugegedana? Kiutu uzima hairuhusiwi?
Kwa kiasi kikubwa wanawake tuko responsible kwa hili tena sana sana walioolewa!!!!
mwanamke akishaolewa anajisahau sana, unaishi na mume kwa mazoea......
Hebu funguka kidogo hapo kwa manufaa ya sisi wengine ambao tumeshavuka miaka 40.Middle age crisis that is a cripple problem.
to me ningemshauri bi dada atulie kwanza ajue kwa mwanaume life starts at 40's so akifika hapa atajikuta hubby wake anarudi kutaka mechi ingawa sasa yeye ke grafu yake inaanza kudrop exponentially.
Habari zenu wana janvi,yamenifika shingoni mwenzenu ndio maana nimeamua kuomba msaada wa mawazo yenu.
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 38 tunapendana sana na tumeoana miaka sita iliyopita.tumebahatika kupata watoto 2.Wakati wa uchumba wetu uliodumu kwa miaka 2 mchumba wangu alikuwa very active katika suala la tendo la ndoa.Baada ya kuoana mambo yalibadilika kabisa kwani mume wangu amekuwa hajisikii kabisa kufanya tendo hilo ambapo yaweza pita wiki tatu hata mwezi mzima bila kufanya chochote na akibahatika kufanya basi ni round moja tena isiyozidi hata dakika 3.Nimejaribu kufanya kila niwezalo ikiwa ni pamoja na kuongea naye lakini yeye anadai kuwa yuko sawa ila hapendi tu kufanya mapenzi mara kwa mara kwani mara nyingi anachoka na majukumu ya kazi!Binafsi sioni dalili kama ananisaliti nje ya ndoa,ila nshindwa kupata jibu je hali hii ni kawaida? au pengine Kanichoka?
tafta dogo dogo kama mm upate mapenzi motomoto yasiyochosha kama vp ni PM nikusaidie tatzo lako
this is the last statement i would expect from you.
BTW mzima mamii??
Mzima sana tu, pole na matatizo.
Kwanini hutegemei jibu kama hilo from me?
Kuna uzi wanaume wanasupportioana kuwa wameumbwa kuwa na wanawake wengi, na wakatolea mifano ya wanyama. Mimi nikawaambia mmoja tu anawashinda seuze 12, mfano hai ni huu sasa.
Hii ya kila kitu kumlaumu mwanamke inachosha sasa, wengine wamediriki kumuita mchafu sijui ananuka etc. Na sisi wanawake tunashiriki katika kuprotect ego za wanaume (something must be wrong with a woman, if a man can not hold his erection au hata kuipata tu) na kuukwepa ukweli kuwa huyo mwanaume ana matatizo.
wanaume kwa kujitetea bana siwawez. yaani hata swala la kuhold erection kwenu fault ni ya mwanamke??unaoga ? unajipiga marshi ma nini mazagazaga?
Kwa kiasi kikubwa wanawake tuko responsible kwa hili tena sana sana walioolewa!!!!
mwanamke akishaolewa anajisahau sana, unaishi na mume kwa mazoea......
Tafuta dildo, uwe unajitimizia mahitaji yako huku anakuangalia; huenda akalionea wivu hilo livibrator.
Halafu ndio hao wanaume wanasema wamekuwa programed kuwa na wanawake wengi kama madume ya impala! LOL
Habari zenu wana janvi,yamenifika shingoni mwenzenu ndio maana nimeamua kuomba msaada wa mawazo yenu.
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 38 tunapendana sana na tumeoana miaka sita iliyopita.tumebahatika kupata watoto 2.Wakati wa uchumba wetu uliodumu kwa miaka 2 mchumba wangu alikuwa very active katika suala la tendo la ndoa.Baada ya kuoana mambo yalibadilika kabisa kwani mume wangu amekuwa hajisikii kabisa kufanya tendo hilo ambapo yaweza pita wiki tatu hata mwezi mzima bila kufanya chochote na akibahatika kufanya basi ni round moja tena isiyozidi hata dakika 3.Nimejaribu kufanya kila niwezalo ikiwa ni pamoja na kuongea naye lakini yeye anadai kuwa yuko sawa ila hapendi tu kufanya mapenzi mara kwa mara kwani mara nyingi anachoka na majukumu ya kazi!Binafsi sioni dalili kama ananisaliti nje ya ndoa,ila nshindwa kupata jibu je hali hii ni kawaida? au pengine Kanichoka?
Habari zenu wana janvi,yamenifika shingoni mwenzenu ndio maana nimeamua kuomba msaada wa mawazo yenu.
Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 38 tunapendana sana na tumeoana miaka sita iliyopita.tumebahatika kupata watoto 2.Wakati wa uchumba wetu uliodumu kwa miaka 2 mchumba wangu alikuwa very active katika suala la tendo la ndoa.Baada ya kuoana mambo yalibadilika kabisa kwani mume wangu amekuwa hajisikii kabisa kufanya tendo hilo ambapo yaweza pita wiki tatu hata mwezi mzima bila kufanya chochote na akibahatika kufanya basi ni round moja tena isiyozidi hata dakika 3.Nimejaribu kufanya kila niwezalo ikiwa ni pamoja na kuongea naye lakini yeye anadai kuwa yuko sawa ila hapendi tu kufanya mapenzi mara kwa mara kwani mara nyingi anachoka na majukumu ya kazi!Binafsi sioni dalili kama ananisaliti nje ya ndoa,ila nshindwa kupata jibu je hali hii ni kawaida? au pengine Kanichoka?