- Thread starter
- #141
Sasa hivi mumeo anakaribia umri wa miaka 40, testosterone level inawezekana imeshuka vibaya mno. Tena mna watoto wawili, je wewe unafanya kazi? je unachangia mahitaji ya nyumbani? Je yeye anakipato gani?
Umri + mawazo ya ugumu wa maisha kichwani, hamu ya ku-do ina approach zero.
Yeye ni mhandisi na mimi ni daktari