Mume wangu karogwa.

mimi siamini katika dumba.kama zipo basi YESU ni kiboko yao,mme lazima arudi,mwite YESU mwana wa MUNGU nae ataitika na kukusaidia kumrudisha mmeo
Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti msitenganishwe hadi kifo tu?). Kwenye ndoa utavumilia shida, raha, magonjwa, afya, etc. so, solution number 1 ni KUVUMILIA. Kama hiyo itakushinda basi JIVUE GAMBA na uanze kupambana naye kupitia sheria za nchi! Mwisho, unaweza kumuacha tu kama ilivyo.
 
CNN walirusha kipindi cha Inside Africa wakielezea jinsi tanzania inavyoamini katika juju. Ati katika eastern and central afrika taifiti zinaonyesha tanzania inaongoza kwa wananchi wake kuamini nguvu za juju.

Vunja ukimya zungumza na mwenzio.
 
Huwa naumia sana nikienda harusini na kuona eye contacts za maharusi na the vibes za mapenzi kati yao. Nikiwaza kuna siku watakuja kuwa maadui, hata hamu ya mchele inaniishia.
Pole dadito.
 
UAMSHO at work....
Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti msitenganishwe hadi kifo tu?). Kwenye ndoa utavumilia shida, raha, magonjwa, afya, etc. so, solution number 1 ni KUVUMILIA. Kama hiyo itakushinda basi JIVUE GAMBA na uanze kupambana naye kupitia sheria za nchi! Mwisho, unaweza kumuacha tu kama ilivyo.
 
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya kujifungua mtoto wa kiume anayefanana naye sana akanitamkia kwa mdomo wake kuwa hamtaki huyo mtoto na ni bora ningekufa na mimba,Kwakweli iliniuma sana nikafatilia na kugundua kuwa anamwanamke anayedaiwa kazaa naye japo haina hakika km mtoto ni wake,Na inasadikika kuwa mwanamke huyo anauhusiano wa kimapenzi wa muda mrefu na mfanyakazi wa mume wangu ambaye yeye ndo alifanikisha kumtegea mume wangu dawa ili awe na uhusiano na mwanamke huyo (mwenye watoto 3) na wanashirikiana kumwendea kwa mganga ili amjengee huyo mwanamke nyumba. Nisaidieni nifanyaje jamani

pole sana sana sana ....dawa unayo wewe mwenyewe hapa Jf utakachopapta ni wasaidizi wa mumeo na ole wako utoe namba ukiitarajia msaada .......Nikupe siri nenda kajiangalie mwenye we kwanza uhusiano wako na Mungu ..anagalia wapi umekosea alafu ni Pm nikusaidie jinsi ya kuomba rehema ya Mungu kwa yote uliyofanya kabla ya kuendlea kufanya maombi kwa ajili ya Mungu wako..unajua kama na wewe auko sawa na Mungu ukisali kumwombea Mungu unachofanya ni kumuongezea nyumba ndogo lazima ujisafishe kwanza

Mwisho nakutakia kila la kheri na Mungu wa mbinguni akamtie hofu mumeo ajue umuhimu wa mkeo
 
Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti

tema mate juu mkuu kwahyo tumpelekee matatizo mudi aliyeoa mbaka vitoto visivyojua kuoga vya miaka 13 sio?????acha kucheza na imani za watu!
 
mumeo kajiroga mwenyewe kwa tamaa zake.....

Ila kama unadhani karogwa, kaa funga omba....

Then fuata solution namba 1 alokupa lara 1.......

Ila kuna wanawake mna moyo isee, unamjua mwizi wako halafu umetulia.......... Baadhi Wanawake Wengine timbwili lake mwizi atahama mji na mume ndani ataishi kwa mashaka.....

1.mmhh nyie ndio wale mkifumania shigongo lazima ajue, mume uso utafikiri kakutwa na manyigu... mgoni wako sipati picha itakuwaje
2. Jitahidi kufunga na Kufanya maombi, angalia maisha yako na mtoto, waganga achana nao kabisa, waganga wa siku hizi atakuambia panua miguu aingize dawa vizuri.
 
nenda tu kanisani kaombewe, ukienda kumroga, huwezi jua unaweza kukutana na kigingi wakakumaliza ukafa kabisa. pia, kati ya waganga 10 mmoja tu ndo anaweza kuwa mkweli. sishabikii uchawi, ila unachotakiwa kujua ni kwamba, ukiamua kwenda kwa shetani unatakiwa kuwa na nguvu sana za kishetani la sivyo mashetani yenye nguvu kukuzidi hayatakucheleweza ila kukuua tu. bora ukose mume kuliko kufa. hata hao waganga wanazidiana. pia lazima tukubali, uchawi upo na wachawi wapo hadi humu maofisini. ukubali ukatae ndo hivyo. faida ya kukimbilia kwa Mungu ni kwamba, Mungu ana haki, na nguvu juu ya mashetani yooote, hivyo huna haja ya kupata shida. nenda kaokoke, umwombe Mungu, ufanye maombi ya kufarakanisha huyo mwizi wa ndoa yako. kuna mama mmoja alishafanya kama hivi ninavyokwambia, akafanya maombi, siku hiyo madawa ya mwizi wa ndoa yakashindwa nguvu na maombi kwa Mungu kwasababu Mungu alisikia maombi na kuingilia kati, mume akapata akili, alishusha kichapo hapo usiku wa manani na kubeba kila kitu, alikuwa amempangishia changudoa. saa nane usiku mke alisikia mtu anagonga, kufungua anasikia mmewe, akafunga akajua kuwa amekuja kumpiga kama kawaida, akasikia "honey nifungulie mpenzi wangu tafadhali '' kufungua akakutana na hug ya nguvu, akapigiwa magoti kuombwa msamaha wa nguvu akili si imerudiii, asubuhi na mapema akaongozana naye kukodi fuso kwenda kubeba vitu vyake kwenye nyumba aliyokuwa anaishi na mwizi wa ndoa...ilikuwa kama sinema.....icho ni kitu kidogo tu, kimbilia kwa Mungu atakutetea. ukienda kwa wachawi, labda na wewe uwe mchawi mwenzao.
 
Huwa naumia sana nikienda harusini na kuona eye contacts za maharusi na the vibes za mapenzi kati yao. Nikiwaza kuna siku watakuja kuwa maadui, hata hamu ya mchele inaniishia.
Pole dadito.

Nyingine ukiziona hata siku ta harusi unajua kbs hapa usanii mtupu. Mi nineacha kwenda kwen hayo makitu
 
Dada nakubaliana nawe kuwa si bure kuna nguvu za giza. Mshirikishe Mungu ktk kadhia hiyo....fanya maombi kwa sana. Ukweli ni kwamba si yeye bali nafsi yake imetekwa...kusema hamtaki ni mtoto ni full spirit ilikuwa inaongea. Ni bahati mbaya kuwa huyo mwanamke alifanikiwa kwa sasa hukuwa na nguvu za kiroho kupambana naye. Kumbuka vita hiyo si ya mwili ni ya kiroho. Narudia hakuna binadamu wa kawaida anayediriki kumkataa mtoto wake wa kuzaa period. Hizo ni nguvu za giza.
 
UAMSHO at work....
Mkuu, mimi si muislam wala Mwana UAMSHO ila nadhani mwenye experience ya kutatua matatizo ya kwenye ndoa (na hasa ya mwanandoa mmoja kumsaliti mwenzake) ni Mtume Muhammad maana yeye alimsaliti MCHANA KWEUPE mke wake wa kwanza na kumletea wengine watatu. Lakini huyu bro. Yesu hakuwahi kuwa na hata demu, sasa nani mwenye uzoefu? Tumia logic kufikiri mkuu, na sio magic!
 
Kuna njia 2 za kupitia

1. FIGHT FOR YOU SURVIVAL
Nenda ustawi wa jamiii kablock 75% ya Kimshahara cha mumeo ofisini ili umuhudumie mtoto,
Mtafute huyo shankupe umpe kipondo afu mlaze ndani wiki nzima( ni haki yako kikatiba)
Muweke vikao lukuki mumeo na wazazi wake, muaibishe kwa mchungaji na rafikize kwa kulalamika mateso

2. Do nothing and pray!!!!! Ila jiulize je wewe ni msafi wa moyo? sala za wasiwasi hazifiki upesim.


Ushauri wangu pambana njia za kinondoni hapo namba 1 hata mganga haoni ndani, ubabe ubabe tuuuuuu!

Ustawi wa jamii "sucks". Mke wa rafiki yangu alimpeleka mumewe uko akapewa mwanamama mmoja hivi kuwa case manager wake. Guess what!!??? Siku ya kwanza jamaa kwenda kusikiliza alichoitiwa akatongoza totoz na kupewa kidate, mwisho ile kesi ilikuwa mbaya kwa mke kwani vyote alivyotaka hakupata hata ki1 ila vijisenti kidogo vya malezi
 
Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti

tema mate juu mkuu kwahyo tumpelekee matatizo mudi aliyeoa mbaka vitoto visivyojua kuoga vya miaka 13 sio?????acha kucheza na imani za watu!
Biblia inasema imani bila matendo hiyo imekufa! Cha ajabu waumini wengi wamekufa (kwakuwa matendo yao mengi yako kinyume na mafundisho ya Mungu wanayemwabudu) lakini wendawazimu hawa wanafikia hatua ya kuota eti wataona pepo na wengine kuombea maiti zipete kwenda kwa Sir. GOD! Ni uvivu wa kufikiria tu ndio unawagharimu waafrika wengi, waliozileta hizo dini sasa hivi hawajui hata hizo Quran na Biblia zinauzwa mtaa gani! Waafrika tulivyoletewa hayo mapokeo, tulisahau msemo maarufu kuwa "akili ya kuambiwa changanya na yako". Tukaingia kichwa kichwa sasa tunatafutana kuuana wengine wapate vibali vya kwenda peponi! Stupid!
 
Ustawi wa jamii "sucks". Mke wa rafiki yangu alimpeleka mumewe uko akapewa mwanamama mmoja hivi kuwa case manager wake. Guess what!!??? Siku ya kwanza jamaa kwenda kusikiliza alichoitiwa akatongoza totoz na kupewa kidate, mwisho ile kesi ilikuwa mbaya kwa mke kwani vyote alivyotaka hakupata hata ki1 ila vijisenti kidogo vya malezi

Angetafuta Lawyer amrepresent!!!!!!!!!!! Soo sad!!!!
 
dada pole sana MUNGU anaweza yote usikate tamaa hakika utashinda maana anasema
The Lord is close to the brokenhearted and saves those who are crushed in spirit. Psalm 34:18

pia ameahidi hivi

He will wipe every tear from their eyes. There will be no more death or mourning or crying or pain, for the old order of things has passed away.Revelation 21:4
usijali dada yangu jipe moyo
 
Back
Top Bottom