Yesu alishawahi kuwa na familia? Sasa mambo ya kifamilia atayatatuaje? Au yuko kama mapadri wanaofungisha na kusuluhisha ndoa ilhali wao hawajui hata maana ya send-off, kitchen party ama bed party? Au wanao utaalamu wa kinadharia tu bila vitendo? Hata kwa waganga wa kienyeji ambao mkuu wao ni shetani, bosi shetani aka ibilisi hajawahi kuwa na mke hivyo kuwapelekea shida za kwenye familia ni kuwaonea tu. Solution ni kurejea upya viapo vya ndoa yenu (wakristo si huwa mnaapa eti msitenganishwe hadi kifo tu?). Kwenye ndoa utavumilia shida, raha, magonjwa, afya, etc. so, solution number 1 ni KUVUMILIA. Kama hiyo itakushinda basi JIVUE GAMBA na uanze kupambana naye kupitia sheria za nchi! Mwisho, unaweza kumuacha tu kama ilivyo.mimi siamini katika dumba.kama zipo basi YESU ni kiboko yao,mme lazima arudi,mwite YESU mwana wa MUNGU nae ataitika na kukusaidia kumrudisha mmeo