Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

Mume wangu kaniroga, sitongozwi kabisa

hivi fazaa na salimkibora mkiwa kwenye kongamano la badiliko la nchi na anguko la kiuchumi la dunia mnakuwaje!
hapa ujue tunajadili mtongozo tuu!
 
Last edited by a moderator:
babu umesoma sentensi yangu ya mwisho!
nikuletee nimwani nini?
mi nna wivu mpka na jiwe analojikwaa nalo mume wangu lolz!

ume

Nimeona mdogo wangu ila hiyo ya kati imenishangaza,

enzi zetu bibi alikuwa ananambia kuwa akininasa na kifaa kikali kupita TBS yake ananipa unconditional amnesty!

sasa naona kama unapingana na hiyo dhana!
 
Hakuna dhambi kabla ya dhambi, sijasikia dhambi inandikwa kabla ya dhambi kufanyika.

Afu we unatanguliza maiti si lazima utakuwa maiti tu wewe, si tunaongelea kitu kama unataka kukifanya we hujakifanya ...we umekimbilia maiti na kusema sijui kama umefika bank ukawacha kukifanya inaitwa toba na hayo si kweli.

Maiti haimfiki mtu kabla ya siku alio andikiwa na Mungu, na kama Mungu alijalia wewe kufa...atakuwa anajua nia yako ilikuwa vipi kabla ya kufika bank, au ungefanya nini bada ya kufika bank kwenye hazina ya bank, hakuna siri kwa Mungu anajua vilio nyuma na vilio mbele .


Hivi Toba unaijua wewe, vipi mtu afanye toba kabla ya kufanya kile kitu, we kweli kichaa na bora nikuwache na ukichaa wako, mana napoteza mda kumfahamisha mtu asiye fahamu.

Nimeleta Quote za Quran umezua nazibadilsiha, sa unasema nazi tafsiri navyo taka mimi...na hadith ya Prophet Muhammad kuhusu zina pia nimebadilisha au nimetafsiri navyo taka mimi hahaha:biggrin:

We huna jipya zaidi ya matusi nimeisha kupa point za Quran na Sunna zote zinakubaliana na maneno yangu, nadhani we ndo unatakiwa ukajifunze kizungu...Yeah kizungu sio lugha yangu lakini si mjinga kama wewe sifahamu kila kilicho andikwa:biggrin:

Qur'an sura ya 85:10 inasomeka hivi, Surely those who persecute the believing men and the believing women, then do not repent, they shall have the chastisement of hell, and they shall have the chastisement of burning; sioni ngonjera zako ulizoweka kuhalalisha utongozwaji. Una quote toka tope la ubongo wako halafu unasema umeleta andiko haikosi unakaribia kuokota makopo
 
hivi fazaa na salimkibora mkiwa kwenye kongamano la badiliko la nchi na anguko la kiuchumi la dunia mnakuwaje!
hapa ujue tunajadili mtongozo tuu!
We una akili wewe, aaa nilidhani tunafundishana tupate kujua nani ana kosea...kumbe imefikia ugomvi hahahaha😛oa
 
Qur'an sura ya 85:10 inasomeka hivi, Surely those who persecute the believing men and the believing women, then do not repent, they shall have the chastisement of hell, and they shall have the chastisement of burning; sioni ngonjera zako ulizoweka kuhalalisha utongozwaji. Una quote toka tope la ubongo wako halafu unasema umeleta andiko haikosi unakaribia kuokota makopo
Kosa liko wapi kwenye hio Surah sijaona kosa, walio kuwa wafata dini hawawezi kupotea:biggrin:


Sa Yule mwanamke unamuweka katika kundi gani wewe :biggrin:


Nikikuambai we kichaa unabisha, Nimesema kila Quote ya Quran nimeweka hapo ina mana yake, wenye akili mbona walisha jua nakusudia nini, isipokuwa vichaa kama wewe ndo wanamuweka mwanamke kama yule ka ni mchaa Mungu:biggrin:

Tunacho bishana mimi na wewe ni hivi, Kutongozwa sio dhambi hata Prophet Muhammed kasema kuna zina ya kutamani, na hakuna mtu atakae epukana nayo, ndo mana haina dhambi...Sa yule mwanamke anatamania kutongozwa kosa liko wapi, si katamani tu hajafanya kitendo bado kibaya cha kufanya sex, na ile Quote ya Qur'an kama nimfata dini hawezi kupotea ndo mana nimeiweka, lakini kufanya dhambi au kutokufanya dhambi inategema na kila mtu, hata wasio na dini wanaweza kufanya dhambi na wasifanye dhambi:A S shade:

Ciao bella bora nibaki naukichaa wangu, kuliko kushindana na kichaa kuliko mimi:biggrin1:
 
Kosa liko wapi kwenye hio Surah sijaona kosa, walio kuwa wafata dini hawawezi kupotea:biggrin:


Sa Yule mwanamke unamuweka katika kundi gani wewe :biggrin:


Nikikuambai we kichaa unabisha, Nimesema kila Quote ya Quran nimeweka hapo ina mana yake, wenye akili mbona walisha jua nakusudia nini, isipokuwa vichaa kama wewe ndo wanamuweka mwanamke kama yule ka ni mchaa Mungu:biggrin:

Tunacho bishana mimi na wewe ni hivi, Kutongozwa sio dhambi hata Prophet Muhammed kasema kuna zina ya kutamani, na hakuna mtu atakae epukana nayo, ndo mana haina dhambi...Sa yule mwanamke anatamania kutongozwa kosa liko wapi, si katamani tu hajafanya kitendo bado kibaya cha kufanya sex, na ile Quote ya Qur'an kama nimfata dini hawezi kupotea ndo mana nimeiweka, lakini kufanya dhambi au kutokufanya dhambi inategema na kila mtu, hata wasio na dini wanaweza kufanya dhambi na wasifanye dhambi:A S shade:

Ciao bella bora nibaki naukichaa wangu, kuliko kushindana na kichaa kuliko mimi:biggrin1:

Wakwako sio ukichaa pekee bali na wendawazimu juu kwa kuibua aya na kubadili, halafu unaserebuka nazo kama pimbi hata aibu huna acha maandiko yajisemee yenyewe; wenye akili zipi sasa za kutafuna maandiko yaliyochongwa na wendawazimu wenzao? mimi akili hizo sina aisee unatamba humu kama mtu anayejua pumba labda umeona humu kuna wajinga kama wewe tu. Mpuuzi mkubwa kabisa kupindisha maandiko kuhadaa watu maana ya quote unaijua huijui. Kilaza mkubwa kabisa imeandikwa hivi kuhusu watu wa aina yako,
Pride and arrogance can lead us to suppress the goodness and common sense within us simply to provide merit to our egocentric agendas. One sign of such an attitude involves engaging in frequent argumentation, disputes, and quarrels simply to push misguided viewpoints. Such an attitude in general stands counter to everything that the Quran and the prophet taught us. As one of the Islamic scholars stated, if faith (eemaan) was simply knowing the facts in one's heart, then that is similar to Satan's situation because he was very knowledgeable about his Lord (rabb) [1], yet his arrogance and pride led him to become argumentative and disobedient to Allah, and in the process became the worst of creatures.
Let's remember that the prophet (S.A.W.S.) associated such an attitude with misguidance. He said, "A nation never went astray after being guided except by means of disputation (Tirmidhi #3253 and ibn Majah #48 on the authority of Abu Umamah)." Consider the example that Allah provides about such people:

  • And when the son of Maryam (Mary) is quoted as an example (i.e. Jesus is worshipped like their idols), behold! Your people cry aloud (laugh out at the example).
  • And say: "Are our aliha (gods) better or is he (Jesus)?" They quoted not the above example except for argument. Nay! But they are a quarrelsome people (Quran, 43:57-58).
We ought to, therefore, look within ourselves and see whether the pride in our hearts or the arrogance of our attitudes in anyway influence us to refuse seeing or listening to the truth. For those of us who suffer from such diseases, what is needed instead is an attitude of humility or humbleness that can motivate us to stay calm and open to seeing our mistakes thereby providing an opportunity to fix them. Ibn Al-Qayyim said that a sin that leads one to submission (and humility to Allah in repentance) is preferable in the sight of Allah than a good deed that causes pride (in one's heart) (Al Fawwaid). That is obviously because pride puts a veil on our eyes and hearts and can lead us to more sins.
 
salimkabora , I'm not going to argue with you because no matter what I say, your response will be, You're stupid...Haya we ndo mwenye akili baki na akili zako, lakini usisahau kama navyo sema hapo chini!

The truth cannot change, and we know from the Qur'an as to what the truth is:biggrin:

My last point; can we actually see or feel the real intentions behind peoples actions:nono:


"O you who believe! avoid most of suspicion (against others), for surely suspicion in some cases is sin; and do not spy (into other people's affairs), nor let some of you backbite others." (49:12)

 
Kaunga sasa mke wa mtu utongozwe ili ukafanywe nini?
Tena naomba mnitafutie huyo mganga mwenye uwezo wa kumfanya mke wangu akipita kwenye midume yenye uchu aonekane kama Baunsa wa kwenye ukumbi wa disco

Hahahahahahaha mbavu zangu jamani.
 
Last edited by a moderator:
Thamani yake imekwisha, nani atamtongoza mtu mwenye ndoa yz zaidi ya miaka 15??????
Hebu piga mahesabu, kama aliolewa ana miaka 30,inamaana kwa sasa ana miaka 45-NANI AMTONGOZE WA HIVYO wakati kuna Twiga stars walio na miaka 20?????
Ye alie tu na mme wake baaaaaaaaaaasi
 
Hayo ni maneno ya mke kwenye kikao cha usuluhishi kati ya mume na mke walio kwenye ndoa yenye miaka zaidi ya 15.

Hii ni dawa nzuri kuliko ile ya Kugandisha ambayo inatumika huko Temeke! Msitembelee Temeke!
 
salimkabora , I'm not going to argue with you because no matter what I say, your response will be, You're stupid...Haya we ndo mwenye akili baki na akili zako, lakini usisahau kama navyo sema hapo chini!

The truth cannot change, and we know from the Qur'an as to what the truth is:biggrin:

My last point; can we actually see or feel the real intentions behind peoples actions:nono:


"O you who believe! avoid most of suspicion (against others), for surely suspicion in some cases is sin; and do not spy (into other people's affairs), nor let some of you backbite others." (49:12)

You are only a fluke! umeleta aya kusapport arguments za dhambi ambayo haitaji kabisa neno hilo na kuona aliyeishusha ni mjinga ukaifoji na kuweka sentensi inayoongelea dhambi sasa si ungekuwa zoba kuendelea kubishania kitu ambacho hakipo. Mimi sina akili kuliko hayo maandiko sijaweka akili zangu humu kama wewe ndio mana unashindwa kunihukumu na kuona ujinga wangu lakini wewe umeziweka za kwako humu ndio mana tunazihukumu. Kwa taarifa yako kila aya imeshushwa kwa kisa maalumu kilichokuwa kinaendelea chini ya mbingu wakati huo na projection ya siku za mbeleni hivyo wewe kumwaga mwaga aya ovyo bila relevance haijibu hoja. Una tatizo na maandiko jipinde upya uyasome fresh ndio urudi tena humu mambo ya ujanja ujanja yatakuadhiri bure nu yangu.
 
Kaunga mi naomba contact za huyo dada anipe contact za mme wake mwenye hiyo dawa nzuri. Mi nikiipata tu natangaza u Babu. Nitaitwa Babu Wiyelele, maarufu kwa dawa ya zindiko la kumficha mwanamke asionekane na wanaume wengine isipokuwa mme tu...
 
Una utani na Kongosho weye, you mean hadi kongosho alienda kumtarai?
Can u Imagine kashfa kama hii?!!
Utadhani nakula vibudu?

Kuna Mwanaume Mmoja alitongoza demu siku ya kula mzigo jamaa alivaa Shanga demu alioondoka akaenda kuadithia wenzake kuwa yule mwanaume anavaa Shanga basi sifa zikavuma mji mzima na wanawake wakawa wanataka kushuhudia Shanga basi jamaa akawa anawala mmoja baada ya mwingine akahadithie wenzake.... Hata Kongosho anafahamu hili
MMh, mwanamme akivaa shanga lazima alie Yallah akiona vidole
 
Back
Top Bottom