Vitabu vyote vimeandika tusikaribie zina kwa hio zina na kutongozwa na vitu viwili tofouti.
Nini mana ya kutongozwa; Kutongozwa kunaweza kutumika kama wanavyo sema mitaani siku hizi kusomesha au kumwaga sera, yani mwanamke anaweza kwenda kumtongoza mwanamke kama hivi, Unajua Angel we ni mzuri sana kuliko yule jirani yetu Rubecca na mama anataka kwenda kumposea brother wangu, lakini brother wangu kavutiwa sana na wewe unasemaje alete uchumba kwako! Sa hapo kosa liko wapi.
Haya mfano mwingine.
Fazaa ana mtogoza Juhaina
fazaa; Jiji unajua wewe ni mzuri sana yani nilipo kuona tu nikaona bora nisimame kwanza kukuuliza una mme au huna?
Juhaina; Fazaa shika dabu yako usinisogelee kabisa.
fazaa; Jiji kwani kukusogelea au kutongoza dhambi? Je we ni mke w amtu
Juhaina; Hapana si mke wamtu na kuhusu kutongoza ndio dhambi, hukusoma vitabu vya dini vinasema usisogelee zina
fazaa; Jina hivi zina nini ni haswa?
Juhaina; zina hata kusikia sauti ya mwanamke ni dhambi, na kumtazama zaidi ya mara mbili au kwa kumtamania?
fazaa; Mhhhm basi mimi na wewe hapa tumeisha zini au? na vipi vitabu vya dini vinasema nini unaruhusiwa kutazama au? mimi nadhani unaruhusiwa kutazama sema usizoee au usitazame mara mbili, na mimi nime tazama mara moja tu na ujumbe wangu ndo huo je ni zina hio.
Juhaina;Mhhhm sijui niseme nini
fazaa; nilete posa au?
Juhana; Kakimbia na sikujua kakusudia nini?
Je nimezini hapo au nimefanya kosa gan...Nikaenda kwa wazee nikasema kisa ni hicho, mama akacheka akasema ujuwe kisha kupenda yule bint, we peleka posa-posa nikapale imekubaliwa na
salimkabora kaja kula halua msikitini...afu akabaki anashangaa...Yule bint nilikuwa nampenda sana fazaa kamuoa yote ujinga wangu nimezubaa...hapo unaumia ndani kwa ndani kwenye moyo wake, nani anapata dhambi hapo ni mimi au
salimkabora :biggrin: