Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Mume wangu huwa hatandiki kitanda

Kutokutandika kitanda sioni kama ni uchafu,naona ni kuwa rough tu.Personally natandika kitanda pale napobadilisha shuka tu.Nachofanya sanasana ni kukinyoosha nkiamka.By the way im single plus really busy.
 
105d5c4b4ba904ccde6dc064fa4d1f85.jpg
This is definitely me.
 
Jamani mume wangu kama amechelewa kuamka na mimi labda nimetoka hatandiki kitanda hadi nirudi nitandike!!

Hata nikisafiri wiki nzima hatandiki kitanda kinakuwa vuluu vuluku!!

Ananiudhi!!
Hii tabia kaanza kabla ya ndoa au baada ya ndoa.

Kwa sisi gentleman kawaida bana,

Mara moja moja tunasaidia ila ndo uniwai unambie chikwili
 
Siwezi kutandika kitanda wakati mke yupo...
Akisafiri napigapiga mavumbi tu kuwakimbiza panya mende.
 
Mwenyewe nikishusha net haipandishwi mpaka Siku ya kufua.Kinakun'gutwa kidogo kutoa vumbi.inachosha jameni
 
MMh! Usmart ni hobby
Watu ukiwakuta mtaani wameulamba vizuri, wananukia vizuri lakini ukitaka kujua kama alivyo ndio alivyomaanisha kaangalie chumba chake! Hasa kitanda na taulo!
 
Back
Top Bottom