Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

Wamaume kawaida yetu ni kufanya tu hata tukiwa ndani ya ndoa, sembuse baada ya kuachana. Mwanamke anatakiwa atunze heshima yake na watoto. nyege zisimfanye awe na upotevu wa fahamu kuwa analea. Bila shaka madam wewe ni mtu mzima unajua mapenzi yakoje, wanasema kizunguzungu. atasahau watoto huyu. sikatai asifanye mapenzi, lakini namtaka asubiri watoto wawe watu wazima. atakuwa huru tu

Muone, eti mwanamke atunze heshima yake kwa maana hawana hivyo viungo mnavyofanyia. Kwa maana ninyi mkijiheshimu ni dhambi? Kazi kazi fanya mama kwa kujilinda lakini. Tena awamu hii ya hapa kazi tu usikae na asiyeweza kazi atakuwa kinyume na Rais huyo.
 
Sikushauri uchukue uamuzi wa talaka, watoto wanamuhitaji baba bado. Usipende kuwanyima watoto furaha ya kuwa na wazazi wawili kisa mahitaji yako ya kimoyo, huu ni ubinafsi tena unaufanya kwa wanao. Utakuwa mama wa aina gani wewe unayetaka watoto wakose malezi ya wazazi wawili, rejea kwa mumeo kwa furaha ya wanao
 
Mkuu mbona povu sana? au una mpango wa kushika nafasi nini? mimi nawaonea huruma hawa watoto tu, unajua adha ya kulelewa na mzazi wa kambo?
akinitunuku freshi tu,mkuu hakuna adha yoyote ishu tu uwe makini kwenye kuchagua,wangapi wamelelewa na baba na mama na wakaishia kuwa majambazi na washenzi,ilhali wapo walolelewa na mzazi mmoja/mzazi wa kambo/foster parents na wakawa vizuri tu.Alimradi apate tu mtu anayejielewa siyo umwambie aendelee kuwa single sababu ya watoto,na yeye anamahitaji yake.
 
Muone, eti mwanamke atunze heshima yake kwa maana hawana hivyo viungo mnavyofanyia. Kwa maana ninyi mkijiheshimu ni dhambi? Kazi kazi fanya mama kwa kujilinda lakini. Tena awamu hii ya hapa kazi tu usikae na asiyeweza kazi atakuwa kinyume na Rais huyo.
Madam, hauna hata huruma kwa viumbe vya mwenzio? mtoto wa mwenzako ni wako bwana. Mini hawa watoto nawachukulia kama wangu. fikiria kama ni wako, wewe umetangulia unawaacha na baba yao halafu punde tu anaanza kuwaletea mama wa kambo. kwa kweke hata shule hawatasoma vizuri
 
tatizo ushasema huna muda........hata kama yeye hataki.....kisheria ndoa ni watu 2 tuuu..... hao watu 2, mmoja wao akithibitisha kwamba hatoweza kuendelea kuishi ktk hiyo ndoa kwa amani na furaha.....ndoa hiyo inabatilishwa...... ikumbukwe kabla hujafika mahakamani lazima uanzie ustawi wa jamii,,, to baraza la usuluhishi, then mahakama ndo mmaliziaji.......tatizo hiyo miaka 8 mmetengana kienyeji.......muda ni muhimu ktkt hili....
 
Madam, hauna hata huruma kwa viumbe vya mwenzio? mtoto wa mwenzako ni wako bwana. Mini hawa watoto nawachukulia kama wangu. fikiria kama ni wako, wewe umetangulia unawaacha na baba yao halafu punde tu anaanza kuwaletea mama wa kambo. kwa kweke hata shule hawatasoma vizuri

Kwani huyo mama amekuja kuwaua? Acheni unafiki miaka 8 ni mingi.
 
Utafikiri hao wanaume wakiachana na wenza wao wanaacha kufanya. Penzi linakuwa na mda wake watoto mda wao chakufa na nyege nini.



wooyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
aaaaaaaaagriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sioi kwa mbanga hizi ? yaani unataka kuharakisha zoez ili ukakulane kwingine ? 🙂 jamaa akaze hapo hapo wewe kulana kwa kujiiba tu talaka hupati muone

kanisani ulisemaje ? leo wasemaje ?

jamaa uliko kazaa hata kama maumbile huna 🙂 hahahahahahahahah eti maumbile means before hukunotice ? ee
Kama wametengana kwa miaka nane, unadhani hajaliwa mpaka leo? Mtu mzima mwenye viungo visivyo na mawaa atakaa miaka nane bila mambo flani? No way!
 
Afadhali umetusaidia.

Kumbe matatizo ya kimaumbile ni hayo ya kuwahi......!!!!

sasa ww unayaona ni ya kawaida hayo matatizo!imagne tuseme ana miaka 10 kila siku unaachwa njiapanda ingkuwa ww ungevumilia haya!muwe wakweli! na ukute men hajigusi ajitibu hakuna kitu!...kaa hivyo hvyo usisikie!bora kuwa na mume ambay hawajali watt lakini aw mzima kitandani!unahis dunia imesimama! go my dada gooooooooooooooo!
 
Hebu tufahamishe vzr umeeleza matatiz ya kutokujali na hayo matatizo ya kimaumbile ni yapi jrb kufafanua hp tukushaurii

Sent using Jamii Forums mobile app


huyu kwasasa hv hawez kurudi nyuma ! yaan umshauri ashatngana nae 8yrs unatoa ushauri gan hapo sasa!na ni bora atoke kuliko kuwaka tamaa!asije jiletea matatizo bure!kila la heri
 
Utafikiri unakaaga mwaka looh. Kufa na utamu umekuwa muwa?


wanaongea hvyo kwasabab asili ya wanaume ni wivu na ubinafsi! fuga KUKU,BATA,NG'OMBE !LAKINI USIOMBEE KUFUGA GENYE! mambo huwa yanasimama,huwez kuwa makini hata chembe,hasira hasira gani,had gubu utaliona unalo!kila kitu unahis unaonewa! pyeeeeeeeee
 
Ukienda ustawi wa jamii %ya mpendekezo mtaambiwa mrudiane ili mlee watoto wenu coz malezi bora ya watoto hutegemea uwepo pamoja wa baba na mama, pili uliapa Kanisani kifo kitawatenganisha je kitawatenganisha? Ebu ishi na mmeo wa ndoa. Najua umepata mtu mwenye pesa lakini kumbuka siku yeyote atakuwa Hana hizo pesa
 
You need deliverance, sio wewe bali ni pepo alienyuma yako 1 Kings 6: 16 kuachana kisa maumbile na kutotunza watoto sio hoja ya msingi. Mpango wa Mungu katika kitabu cha Mwanzo 2 ilikua mwanaume na mwanamke waishi pamoja mpk kifo. Dhambi ilipoingia imeleta matengano, tafadhali fikiria kumsamehe and you need anointing oil to make a humongous deliverance



jerry mtu kasema hajali wanae unaona la kawaida hilo kweli!yaan mtoto asome asisome ww unaona kawaida sana eh!wale wasile huon kuna shida hapo!bora asimjali mkew tu lakini ajali wanae jaman!jaman punguzn ubinafsi huo!leo had mahubiri humu yanahubiriwa angkuwa men hapo ni wishes kwakwnda mmbele!hatarious kweli
 
Hivi Hawa wanawake wa siku hizi Mbona Hawatosheki na Mambo ya Kitandani? au Ni Kwa kuwa Muda Mwingi wapo Inst, Facebook au Whatsapp kujifunza kukunwa mashavu.. Huyu tu Mtoa Mada hata ukiangalia ID yake toka Mwanzo kichwani Mwake yeye anaamini katika Serikali 3.. Yaani Yeye kuwa na Mchepuko siyo option ni Compursolry sasa hata Mtwange Maushauri ya Kama Ya Acacia hataelewa .. Huyo Mwanamke by Nature ni Malaya pia anatoka katika yale Makabila yasiyoamini katika Kuliwa na Mwanaume Mmopja.

Kwa Kifupi Ndoa nyingi siku hizi Wengi utasikia wanahitaji Watoto, wakipata watoto hamu za Ngono zinakuwa Nyingi kuliko hata wal;ivyokuwa wachumba. Tujiulize nini kinachobadirisha hiyo hali? Kabla ya Kuzaa Ulikuwa unaridhiza lakini Baada ya Kuzaa Ashiki za Kingono zinakuwa mara Mia? Wa mama Jiulizeni tatizo nini?

Mtoa Mada alishajitune kuwa toka alivyotombwa nje alipoteza upendo kwa huyo Mume wake.. Hivyo Mwanaume alikuwa ni Mtu wa Kwanza wa Kufaili Divorce kwa kuwa Mwanamke ni Malaya kwenye Ndoa sasa baada ya kuona jitihada zote hizo za kutombwa hadharani haimfanyi kumchukiza Mumewe anakuja kutusumbuwa huku..

Mimi namshauri tu aendelee na akifanyacho kwa kuwa hata sasa yupo huru na anachokitaka anakipata bila bugudha ya huyo Mumewe kwa kifupi Mumewe ndiyo ameumizwa sana ila ameheshimu kiapo cha Arutaleni.

Kifupi.. WANAWAKE TUAMBIENI NI KITU GANI KINACHOONGEZA ASHIKI YA NGONO MARA TU BAADA YA KUZAAA?
 
Nyie hamna ndoa tayari kwa miaka hiyo 8 ndoa yenu imesalia kwenye hali ya maandishi kuliko vitendo, cha kufanya ongeza juhudi ukayafute hayo maandishi ili uwe huru kweli kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom