Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

Mume wangu hataki kuvunja ndoa, nifanyeje?

ndio maana sioi acha niendelee kuwala taratibu tu unaoa unazan umeoa mwanamke kumbe pepo shetan anaetembea kwa miguu
oa tu mkuu changamoto za hivyo nikawaida kwenye ndoa. Ndoa ni kama bahari kunamda inachafuka sana ni nyinyi manahodha kuvumilia mpaka itakapotulia. UKIACHANA NA HAYO NDOA NITAMU MKUU
 
Serikali3 yaani ungekuwa ndugu yangu / mke wangu ningepata kesi kubwa sana akili zako sio za nchi hii unabaati hujawa mahabuba wangu
 
oa tu mkuu changamoto za hivyo nikawaida kwenye ndoa. Ndoa ni kama bahari kunamda inachafuka sana ni nyinyi manahodha kuvumilia mpaka itakapotulia. UKIACHANA NA HAYO NDOA NITAMU MKUU

we ni Me... ee / Ke tuanzie hapo
 
We mwanamke acha ujinga! Kuna kitu kizuri nitakushauri, naomba uni PM au baade jioni nitarudi hapa hadharani nikushauri. Futa mawazo yako hayo but kuna maswali natakiwa kukuuliza je upo tayari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha kumpotosha mwenzio,kulea watoto kunahusiana vipi na yeye kutafuta mwenza wake,hyo miaka nane aliyosubiri haitoshi,bahati yako mbali ungekuwa karibu ningekulamba walau tukofi tumoja,ingawa unatumia uhuru wako wakutoa maoni
Mkuu mbona povu sana? au una mpango wa kushika nafasi nini? mimi nawaonea huruma hawa watoto tu, unajua adha ya kulelewa na mzazi wa kambo?
 
acha kumpotosha mwenzio,kulea watoto kunahusiana vipi na yeye kutafuta mwenza wake,hyo miaka nane aliyosubiri haitoshi,bahati yako mbali ungekuwa karibu ningekulamba walau tukofi tumoja,ingawa unatumia uhuru wako wakutoa maoni
Mkuu mbona povu sana? au una mpango wa kushika nafasi nini? mimi nawaonea huruma hawa watoto tu, unajua adha ya kulelewa na mzazi wa kambo?
 
  • Thanks
Reactions: Ntu
Huo muda wa kupeana talaka uta utoa wapi?
 
Upo busy huwezi kudai haki yako?!...sasa hata tukikupa ushauri mwisho wa siku lazima udai divorce naww upo busy....[emoji15]
Halafu mbali ya hivyo amadai kwamba alikuwa busy kiasi cha kutokufuatilia ndoa naona jamaa kaona isiwe shida akapata kamchepuko. Ushauri wowote hautomfaa huyu dada.
 
Utafikiri hao wanaume wakiachana na wenza wao wanaacha kufanya. Penzi linakuwa na mda wake watoto mda wao chakufa na nyege nini.
Wamaume kawaida yetu ni kufanya tu hata tukiwa ndani ya ndoa, sembuse baada ya kuachana. Mwanamke anatakiwa atunze heshima yake na watoto. nyege zisimfanye awe na upotevu wa fahamu kuwa analea. Bila shaka madam wewe ni mtu mzima unajua mapenzi yakoje, wanasema kizunguzungu. atasahau watoto huyu. sikatai asifanye mapenzi, lakini namtaka asubiri watoto wawe watu wazima. atakuwa huru tu
 
Back
Top Bottom