La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 406
- 592
Hahahah eti tuwalinde kama mayai usitegemee ufanye upuuz alafu nikubembeleze yaan ndio kwanza nitakusindikiza nateke la kiuno likuongezee speed ya kufanya ufuska zaidMnapotukwaza ndio shetani anapotupitia na kutuvuruga. Mtulinde kama mayai
Yanin kujipa magonjwa ya moyo