Dragoon
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 7,012
- 8,150
Ayaaaaa. jamani kuna watoto wa shule hume tunawafundisha nini sasa?Utafikiri unakaaga mwaka looh. Kufa na utamu umekuwa muwa?
Ayaaaaa. jamani kuna watoto wa shule hume tunawafundisha nini sasa?Utafikiri unakaaga mwaka looh. Kufa na utamu umekuwa muwa?
Ayaaaaa. jamani kuna watoto wa shule hume tunawafundisha nini sasa?
Mimi nanunua, ndivyo wanaume tulivyoumbwa. lakini kwa mwanamke anaeitwa mama tena analea watoto kwa kweki kupenda kutiwa ni mbaya hata shetani hapendi. Mshauri tu huyo rafiki yako atulie, au kama vipi njooni kwangu, nitalea na watoto kama wakwangu. Siamini kabisa wanaume wengine, maana sisi wanaume tunajuana.Kwani unawaita ndo ufanye? Wanachifundishwa na baba na mama hivyo hivyo. Watoto watulie wakipevuka wakajua hamu ikoje watamsamehe mama. Sasa ukiwa na mtu wako mmoja ina shida gani kama huendi kujiuza?
Mimi nanunua, ndivyo wanaume tulivyoumbwa. lakini kwa mwanamke anaeitwa mama tena analea watoto kwa kweki kupenda kutiwa ni mbaya hata shetani hapendi. Mshauri tu huyo rafiki yako atulie, au kama vipi njooni kwangu, nitalea na watoto kama wakwangu. Siamini kabisa wanaume wengine, maana sisi wanaume tunajuana.
Wanawake zetu wakijifungua huwa hatujamiiani nao, badala yake huwa tunajenga nyumba ndogo (au michipuko mara mojamoja). tunaheshimu sana wake zetu na watoto zetuBasi wake zenu wakizaa msiwatie maana ni mbaya kwa watoto. Hakuna tofauti kati ya mama wa kwenye ndoa na asiye na ndoa. Hamu ni ile ile, upweke ni ule ule n. k
Hii siyo akili [emoji48]Huko kanisani mlichagua vya kusemea kuwa mtaishi katika shida na raha ila mkaacha MAUMBILE? Acha usenge Wewe wanaume wote tuko hivo. Labda kama umempa limbwata. Mimi wa kwangu nishamwambia mwanamke hatokaa anipande kichwani. Nawewe ungefaa uje kwangu ungenyooka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu BAK huyo Serikali3 anaonekana sio mwanamke, ana lake.Kama hutajali hebu hapo kwenye rangi fafanua. Usiendekeze kazi kuliko amani ya moyoni mwako. Fungua kesi ya kudai divorce pia katika madai hayo usisahau kuweka ushahidi wa huyo jamaa kudai atakufanyia fujo. Mwajiri wako sidhani kama atakunyima masaa machache au hata siku nzima kwa wikiya wewe kwenda mahakamani kutafuta kile ukitakacho. Ila watoto kama wamevuka miaka 7 ujue anaweza kuanzisha varangati la kuchukua wanae. Hii sheria ya watoto wakishafika miaka 7 ni wa baba mimi naipinga sana lakini sasa ndiyo sheria ya nchi hivyo ujue kuna uwezekano wa hili labda kama kuwepo na ushahidi kwamba hana uwezo wa kuwatunza watoto mliojaliwa.
Ni aibu kwake na kwa wanae.Comrade.....
Mini muhenga ujue....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na huyu mleta mada, ni aina ya wanawake ambao huwachukia waumezao hasa baada ya kufanikiwa, wanaanza kuwadharau waume walio anzanao maisha from the scratch.
Nilipo pitia threads zake, nikagundua mama anajeuri kwakua anauwezo wa kujihudumia na kisomesha wanae.
Mbaya zaidi, alipoonja mkuyenge wa pembeni ndio ukamchanganya na kumuona mumewe hamfai tena.
Leo anataka talaka ili awe huru na huo mchepuko uliochanganya akili
Nimetengana na mume wangu kwa miaka 8 sasa, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutojali familia hasa watoto na matatizo mengine ya kimaumbile. Nilifunga ndoa ya kanisani nimekuwa busy sana kutafuta pesa ili watoto wasome, kiasi kwamba sikuweza kushughulika na mambo ya ndoa kudai matunzo ya watoto na mali bali nilihangaika wanangu wakue na kupata elimu iliyo bora. Amekuwa akidai tusameheane tuendelee na maisha ila moyo wangu umekataa kabisa najikuta namchukua tu kiasi kwamba siwezi kuendelea kuwa naye.
Nimejaribu kumshawishi tufile petition for divorce ili kila mtu awe huru hataki na amepanga kunifanyia fujo endapo nitajaribu kufanya madai hayo, kiukweli niko busy kiasi nashindwa kwenda mahakamani kudai divorce coz inakula muda na sikumdai na sitadai mali yoyote kutoka kwake nilichotaka ni kuwa huru tu ili nami niweze kumpata mtu nitakayeweza kuishi naye for the rest of my few years in this world as we only live once.
Sasa nimekwama hapo, naomba great thinker mnishauri nianzie wapi.
Samahani kwa kwa kuwachosha na uzi mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetengana na mume wangu kwa miaka 8 sasa, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutojali familia hasa watoto na matatizo mengine ya kimaumbile. Nilifunga ndoa ya kanisani nimekuwa busy sana kutafuta pesa ili watoto wasome, kiasi kwamba sikuweza kushughulika na mambo ya ndoa kudai matunzo ya watoto na mali bali nilihangaika wanangu wakue na kupata elimu iliyo bora. Amekuwa akidai tusameheane tuendelee na maisha ila moyo wangu umekataa kabisa najikuta namchukua tu kiasi kwamba siwezi kuendelea kuwa naye.
Nimejaribu kumshawishi tufile petition for divorce ili kila mtu awe huru hataki na amepanga kunifanyia fujo endapo nitajaribu kufanya madai hayo, kiukweli niko busy kiasi nashindwa kwenda mahakamani kudai divorce coz inakula muda na sikumdai na sitadai mali yoyote kutoka kwake nilichotaka ni kuwa huru tu ili nami niweze kumpata mtu nitakayeweza kuishi naye for the rest of my few years in this world as we only live once.
Sasa nimekwama hapo, naomba great thinker mnishauri nianzie wapi.
Samahani kwa kwa kuwachosha na uzi mrefu.
Sent using Jamii Forums mobile app