Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Raha ya ndoa Ni kuto. Mbwa bana sasa hamu zitaishaje,angekua anahudumia familia vyema ungemvumilia ,achana nalo uishi upendavyo huoni wazungu hawang'ang'anii ndoa
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa Nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda Mimi ndio Nina tatizo, na yeye mwenyewe Wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa Mimi ndio Nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; Mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka Wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila Idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
achana nae na huyo unapoenda akichoka utatafuta mwingine utawamaliza kabla hujawamaliza utakipata unachokitafuta
 
Unahitahi Maombi Serikali3!!

Unaombaje ushauri wa Kumuacha Mtu?? Unahitaji uelezwe ni Njia gani/Ipi utumie kumwacha Mmeo??
Mimi Nadhani ulipaswa kuja humu kuomba ushauri wa jinsi gani utaweza kumfanya Mmeo akidhi hitaji lako katika Ndoa na siyo vinginevyo,Kaa chini na Mmeo na hili litaisha.

Mfanye mmeo kuwa bora kuliko Mwingine,Ufanye toba kwa Kumsaliti Mmeo pasipo kufahamu! Ungesalitiwa wewe ingekuwaje??

Why are we Easy to judge Mistake of others rather to recorgnize our own Mistakes?? THINK BIG.

Nimejaribu kila njia pamoja na kumweleza ajitahidi kufanya hiki na kile, anaweza kuchukua muda mrefu Katika maandalizi hadi nikawa juu kabisa tatizo linakuja hata kabla hajafanya chochote anakojoa ghafla na Wakati mwingine anakojoa kabla hajaingia yaani anagusa tu anamaliza na kukoroma just imagine upo high halafu jamaa anamaliza na kuanza kukoroma, Mimi nachoona ni mbinafsi sana anavyoridhika yeye anaona inatosha,kuliko kuwa mnafiki bora niachane naye tu.
 
Raha ya ndoa Ni kuto. Mbwa bana sasa hamu zitaishaje,angekua anahudumia familia vyema ungemvumilia ,achana nalo uishi upendavyo huoni wazungu hawang'ang'anii ndoa

Asante sana kwa kuwa mwelewa,ndoa sio kifungo cha kufanya mwenzio ateseke nimejaribu kukaa mbali naye ili ajifunze kidogo ila naona hali inazidi kuwa mbaya,hajitumi Katika lolote,bora angekuwa anafanya walau moja ningesema mwanaume suruali,sasa huduma za kijamii hakuna na za kimwili pia hakuna,mwanaume wa nn sasa.
 
Nje patamu bwana. Huyo uliyempa usidhani atakuwa hivo hivo mkiwa nae pamoja kama mme na mke.

Sikupenda kabisa kuchepuka ila hali ilibidi iwe hivyo na ndio maana nilijitunza hadi nikaolewa nikiwa bikira,nimekuwa naye huyo wa nje kwa zaidi ya miaka mitano huku nikijitahidi kufanya mme wangu awe normal lakini naona imeshindikana siwezi kuendelea kuwa mnafiki huku Niko naye Wakati nachepuka bora ijulikane tu sina mume.
 
Aisee wee nani kakwambia hao wa nje wanakupenda kama huyo mume unayejishauwa eeti namchukia? kwa taarifa yako wanakutamani tuu maana wanajua zigo la watu na alikeshi subri umwambie sasa yule bwana mii nshaachana naye sasa tupo huru uonee kifwatacho itv! Wizi wa kutoka nje si mpya coz hakuna kipy chini ya jua hata wazaziwetu waalifanya ila kwa ustaharabu na wanakwambia kula na futa mdomo unyamazee wee nini unakuja kutuimbia hapa nyimbo zako zisizo na vina wala mizani wadhani kuna mnunuaji hapa zaidi watapeli? Hivi unavyoona kilaa nyumba wadhani wanawake woote na wanaume woote hawana akili ya kutambua uliyoyatambua wewe na wanatulia tuliii???? sasa nikwambie shoogaangu mume muache sawaa nenda na wanao kama waona wajiweza na waweza kuwapatia baba atakayewapenda kama baba yao na piaa mwaka huu wanawake wenye watoto shoga hamtakiwii watu wamwshiii~tukaaa hawalei wana wa watu otherwise lbd kama unakamzizi hivi hiviii mamaaa yangu mwanamkee utakuja tu hapa kutoa mrejesho. Eti unalalama mume akufkishi wee unamfikishaa??? jitihada gani umefanya?mazingira ya usafi wa mnapoishi matandiko na wewe upoje?uvaaji wako huko ndani upoje?jikoni kwako vp?umeolewa bkr udaiyoo umejuaje kuwa kuna kufka kileleni nani kakufundishaaa? MWANAMKE MPUMBAVU UBOMOA NYUMBA YAKE KWA MIKONO YAKE. EENYI WANAUME ISHINI NA WAKE ZENU KWA AKILI.
 
Huyu mdada/mmama pumbaaa kabisa. Unaomba ushauri wa non wakati maamuzi ulishafanya. Siku unachepuka uliomba ushauri ...nyambafuuuu
 
Communication is the solution to every problem. Tatizo wanandoa hawaongei wanalaumiana tu. Ilitakiwa mkae chini umwambie ukweli kwamba hakutii vizuri. Inabidi awe anafanya fore play, nyonya sana hiyo K, katerelo, denda, yani akija kuingiza mnakojoa kwa pamoja. Atembelee website za ngono ajifunze maujanja. Afanye mazoezi kuongeza stamina. I wish ningekuwa bongo ningekuomba unikutanishe nae nimpr techniques. Mwanamke lazima umtie vizuri bwana kwanini uguse guse. Wanaume wa kibongo sie sometimes hatupendi kuambiwa ukweli. Mkeo akisema umtii vizuri unakuwa mkali. Ndio mwisho wake wananyosolewa nje sasa. Mademu weupe anakupa ukweli tu , ebwanae eee una underperform
Nashukuru umeelewa nacho maanisha nimekuwa muda mwingi najitahidi kumwambia hanitoshelezi lakini hata yeye anaona tunafanya foreplay mpaka nakuwa vizuri tu lakini wakiingia tu anamaliza ndani ya sekunde chache,sasa kama unavyojua wanawake tunachelewa lazima kuwe na movement kidogo za up and down ili tufike kileleni sasa icho kitu hakuna,nilijitahidi kusoma majarida mbalimbali ya mapenzi nampelekea lakini ana ignore anasema yeye hana tatizo anasema Mimi ndio Nina tatizo mbona yeye anamaliza,angekuwa mwelewa angejitahidi na yeye kutafuta jinsi gani achelewe na Mimi niweze kufurahia tendo lakini hafanyi hivyo,matokeo yake nateseka naamua kuendelea kuchepuka japo sipendi na ndio maana nimekuwa na mchepuko mmoja tu for almost 6years na wala sijawahi kumwambia tatizo la mume wangu.
 
Kama maamuzi tiyari umeshayasema...sasa tukushauri nn?!kama njia ya kumuacha mumeo..muambie wazi...straight way.
 
Kwanini mambo binafsi mnayatoa hadharani?
Kiungwana huwa ni kuongea na mhusika na uone jinsi gani utamsaidia au utasaidika....
Mficha maradhi kifo humuumbua, unakalia mambo ya ndani huku yanakuumiza huo ni unafiki na ndio maana wenzetu wazungu wametuacha mbali, mambo ya ndani kama ni mazuri yakishakuwa mabaya si ya ndani tena tuna muda mfupi sana duniani na ndoa maana yake tendo,kama tendo halipo ni ugonjwa hakuna ndoa hapo.
 
Back
Top Bottom