Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 7,915
- 14,638
Kaa chini na mmeo, mueleze kinaga ubaga kuwa hutosheki anapowahi sana, na anakutesa...
Tafuta siku nzuri tulivu mueleze hayo.
Akiwa mbishi mwambie ukweli umeonjeshwa tamu huko nje na umeipenda, atakuacha mwenyewe wala hutatumia nguvu...
Ila jua kuna wanaume wanapenda waliolewa, ukiachwa na mmeo huyo uliyenaye atakuacha tu, maana hapo anakurubuni tu kisa kapata serereko.
Je mna watoto wangapi na mmeo?
Serikali3
Tafuta siku nzuri tulivu mueleze hayo.
Akiwa mbishi mwambie ukweli umeonjeshwa tamu huko nje na umeipenda, atakuacha mwenyewe wala hutatumia nguvu...
Ila jua kuna wanaume wanapenda waliolewa, ukiachwa na mmeo huyo uliyenaye atakuacha tu, maana hapo anakurubuni tu kisa kapata serereko.
Je mna watoto wangapi na mmeo?
Serikali3