Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Limeshakuwa janga la kitaifa.
Na wanawake siku hizi wanatiririka tu kujiexpress. Dah

The advent of social media has made all that possible.

Now anybody can be anything, say anything, and pretty much do a whole lot of things with the luxury of remaining 'anonymous'.

I'd even hazard a guess that 9 out of every 10 of the dust-ups that happen in here wouldn't otherwise happen if it were in a face to face setting.

Not to toot my own horn but who in their right mind would even dare accost me and start talking junk without the fear of getting chin-checked😀?
 
Heshimu ndoa yako.
Kaa chini na mumeo umshauri/umsaidie kuhusiana na sawa la mapenzi na kpato pia.
 
Tatizo linatibika kuwa mwazi kwake unavyo jiskia nendeni hospital,,huyo ndio riziki yako Mungu amekujaalia
 
Aiseeee!!! Siri ya mtungi aijuae ni kata, fikiria Mara mbili kama ni sahihi kwa ulichokifanya
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa Nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda Mimi ndio Nina tatizo, na yeye mwenyewe Wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa Mimi ndio Nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; Mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka Wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila Idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).

Wewe unamtosheleza?
 
I knowww! And imagine the day someone gets busted! Someone close to me who knew my ID in here came up with a new ID and started stalking privately. And i normally do not respond to stalkers, who dont discuss any sense but rather ask silly questions like we teenagers in the 17th century. A year later i came to know his id. I just classified him 'iddiot' witjout even telling him i know what he did last summer.

I see it all the time, couples dont talk at home but they talk on social media. You see status of the hubby and you get a conclusion by reading the wife. flabbergasted! You leave someone at home and know that he has travelled abroad by reading his fb status he checked in at the airport. And you call that a marriage?

Partners dont talk anymore. They take it out on social media. Very sad indeed. Paw aint my friend anywhere other than on whatsup, calls, sms, email and live! And i love it that way!
The advent of social media has made all that possible.

Now anybody can be anything, say anything, and pretty much do a whole lot of things with the luxury of remaining 'anonymous'.

I'd even hazard a guess that 9 out of every 10 of the dust-ups that happen in here wouldn't otherwise happen if it were in a face to face setting.

Not to toot my own horn but who in their right mind would even dare accosting me and start talking junk without the fear of getting chin-checked😀?
!!! !.
 
Af tabia ya kuja humu kuomba kuhalalisha dhambi sasa ifike.mwisho...
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa Nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda Mimi ndio Nina tatizo, na yeye mwenyewe Wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa Mimi ndio Nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; Mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka Wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila Idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).
Sikiliza huyo ni mmeo wa ndoa ongea nae waziwazi juu ya hayo yote,kwani kuchukia au kuchepuka sio sawa.Kipato kitaongezeja kwa nyie nyote kusaidiana na kuelewana,kitombo kitakuwa bora baada ya wewe kumqambia wazi kuwa unataka kusuguliwa sawasawa
 
Huyu inajitangaza humu apate soko. Maana si rahisi mwanamke kujianika kwenye public hivi.
 
Wanaume hawapendi kina mama walioachika kwa hiyo jitahidi uwamudu wote kwa pamoja na jaribu na wanaume wengine watatu afu utapata raha zote duniani. Ukiachika tu na huyo anayekufikisha atakuacha
hahaha anapendwa. na mchepuko akiwa ndani ye hajui
 
Back
Top Bottom