housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
Ingekuwa ni Mwanaume kapost kuwa hapewi kisha akaenda kutafuta mchepuko, comments zingekuwa tofauti kabisa.
Mwanamke atajibiwa kwa maneno ya kejeli.
Mwanamke anaitwa kicheche. Mwanaume ataambiwa hawezi kuishi bila tendo.
Mwanamke ataambiwa ahangaike kumsaidia mumewe. Hutoona mwanaume akiambiwa ahangaike kumtayarisha mkewe.
Mfume dume at work.
Mwanamke atajibiwa kwa maneno ya kejeli.
Mwanamke anaitwa kicheche. Mwanaume ataambiwa hawezi kuishi bila tendo.
Mwanamke ataambiwa ahangaike kumsaidia mumewe. Hutoona mwanaume akiambiwa ahangaike kumtayarisha mkewe.
Mfume dume at work.