housegirl
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 3,125
- 2,194
Ushaambiwa kaongea naye lakini mume anasema tatizo ni mke. Ni mbinafsi.Mapenzi ni kufundishana fullstop, hakuna aliyezaliwa anajua mambo ya 6 kwa 6, ]
Juu ya hapo ana matatizo ya nguvu. Bado wote mtamlaumu huyu mama kwamba hampikii .
Shida zote za nini! Angejuaga ana hayo matatizo na harekebishiki angemuachaga zamani. Lawama zote kwake sasa. Mfume dume!
Unasema tunapoteza bikra bure, kwahiyo ulitaka tuolewe na bikra ili tusijue haya matatizo. Yale yale niliyosemaga!!
Hivi kama shughuli hamna unaolewa nini? Hela? Au huku Duniani umekosa wa kuongea nao unaolewa upate wa kupiga naye soga?