Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Wewe na serikali tatu,yeye yupo peke yake unafkiri atakuweza kweli?
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).

Hamia serikali mbili mambo yoooote yatakuwa poa.
 
Wakuu, kama mwanaume na huna uwezo wa kumtosheleza mwenzako Bas wasiliana nami haraka sana kwa mamba 0655 580 788. Please serious ppl only.
 
Hiyo shakewell before use mnaishadadia tu wadada lakini inawalostisha sana tu hamjui. Inawapotezea bikra zenu bure, inawaongezea mileage bure, inasabisha muitwe used bure, inasababisha muitwe malaya bure, kifupi inawachafulia file
Mapenzi ni kufundishana fullstop, hakuna aliyezaliwa anajua mambo ya 6 kwa 6, hayo ya shakewell before use ni justification ya umalaya na kukosa hofu ya Mungu hakuna jingine

cc Heaven Sent ,atoto ,miss chagga
Hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo. Bora ushake well before use ili ukiingia kwenye ndoa suala la kutoridhishana kwenye sex linakuwa halipo. Ukishaingia kwenye ndoa na ukute wewe na mwenzako hamuendani kwenye sex inakuaje? Ndo uvumilie maisha yako yote? Unaona sasa anaenda kutafuta sex nje ya ndoa wakati angetest before yasingetokea hayo.

Haya ni maoni yangu binafsi. Wanaotaka kutunza bikira zao kwa waume zao na wazitunze!
 
Hiyo shakewell before use mnaishadadia tu wadada lakini inawalostisha sana tu hamjui. Inawapotezea bikra zenu bure, inawaongezea mileage bure, inasabisha muitwe used bure, inasababisha muitwe malaya bure, kifupi inawachafulia file
Mapenzi ni kufundishana fullstop, hakuna aliyezaliwa anajua mambo ya 6 kwa 6, hayo ya shakewell before use ni justification ya umalaya na kukosa hofu ya Mungu hakuna jingine

cc Heaven Sent ,atoto ,miss chagga
umeongea vyema .. na ujumbe umefika
 
Habari wana MMU,

Mume wangu ana tatizo la kuwahi kumwaga. Yaani dakika 2 tu ameshamaliza na kuniacha nikiwa nateseka huku nikiwa nina hamu. Tatizo hili limekuwa linanisababishia maumivu ya tumbo na kiukweli nikiwa naye sikuwahi kufika kileleni na kwa kuwa alinioa nikiwa bikira sikuweza kugundua mapema tatizo ni la nani.

Muda mwingi nilikuwa najichukia na kuwaza huenda mimi ndio nina tatizo na yeye mwenyewe wakati nikilalamika alikuwa ananiambia kuwa mimi ndio nina tatizo kwanini kila siku sifiki kileleni; mara nilikuwa siko tayari basi tu ilimradi nionekane tatizo liko kwangu.

Basi siku moja niliamua kujaribu nje, lol sitasahau ilikuwa ndio siku yangu ya kwanza kujua raha ya mapenzi. Sasa toka wakati huo nimekuwa simpendi kabisa mume wangu na nina mpango niachane naye kwani mbali na kutokuwa mzuri kitandani pia hatoi huduma kwa familia, kiufupi ni mvivu kila idara.

Naombeni ushauri wenu nifanyeje ili niweze kuachana naye coz siwezi kuishi na mume ambaye anamaliza haja zake tu (mbinafsi).

Tukirudi nyuma, japokuwa ni dhambi, ndipo hapo umuhimu wa kujaribiana kabla ya kuoana unapokuja! Selikali3, hebu kaeni chini muelezane tatizo la ndoa yenu halafu muamue. Kuchepuka si kuzuri kabisa, kama imeshindikana ni afadhali kuachana halafu kila mmoja amtafute wa saizi yake.
 
Maandalizi mabovu, anapaswa akuandae kwa mda usiopungua nusu saa na kuendelea, vunja ukimwa mwambie unatakaje muombe anyonye ki......mi.
 
Kutoka nje ya ndoa ni dhambi kubwa bado unataka ushauriwe dhambi nyingine ili nasi tuwemo katika kuchangia kuachana na mmeo la hasha hatutofanya hivyo....... Chamsingi usiwe mkimya mwambie mmeo ila kitachomshtua wewe umeijuaje atahisi umemsaliti..... Hakika kama ungejua dhambi ya kuzini wakati Una mume daaaaa ungepiga goti kwa mume wako akusamehe... Maana toba nikumwambia uliemkosea.... Mungu akuepushe wewe na mimi katika zinaa
 
Walisema siku hizi watakuwa wanajiridhisha wao tu, so chukua hatua ukitaka kuridhika.
 
Tukirudi nyuma, japokuwa ni dhambi, ndipo hapo umuhimu wa kujaribiana kabla ya kuoana unapokuja! Selikali3, hebu kaeni chini muelezane tatizo la ndoa yenu halafu muamue. Kuchepuka si kuzuri kabisa, kama imeshindikana ni afadhali kuachana halafu kila mmoja amtafute wa saizi yake.
Umeongea jambo zuri sana,yaani najilaumu mpaka basi,na mwanangu ntamuacha tu awe na boyfriend yaani inatesa sana asikwambie mtu.
 
Zingatia foreplay iwe ya kutosha ili wote muweze kufurahia tendo. Hakikisha amekuandaa vya kutosha na pia kwa kuwa umeshaishi nae muda mrefu hivyo utakuwa wamjua vema weakness zake hususani anapokaribia kunanilihi..., jaribu kama ku - withdraw fulani ili aanze upya. Kitu kingine yafaa uwe mbunifu mama...., sio style moja tu hiyooo weeee... hadi anamaliza anakuacha unagugumia na hamu ya kupewa utamu. Kila baada ya sekunde 20 embu badili style, mfano kiubavuubavu, kuna nazi, kimgongomgongo nk. Lakini hakikisha unamweleza mapema kwe foreplay yenu kuwa wewe unapenda kuguswa wapi ili ahangaikie hapo kwanza na hivyo kumtoa concentration kubwa ya tendo lenyewe na badala yake afikirie jinsi ya kukukuna wewe vizuri. Katika style au mikao yako ya tendo kama ulivyofundwa ama kuelezwa na gal friend wenzako kuwa nini na nini zile za school si unajuaga. Hiyo mikao hakikisha ni ile ambayo dusheleee anakukuna pahala unapenda. Tena ondoa hiyo akilini kuwa eti kila mkikutana hakuridhishi..., wakati huu kuwa dereva wewe. Dogstyle na mende style si nzuri sana kwa wanaume wanaomaliza mapema hivyo kuwa makini kutokaa sana hapo asije akakuacha. Kwa machache hayo watakuja wengine wakupe undani wote. Bila kusahau lakini kuwa mpe chakula bora mfano ugali dagaa kwa sana, matunda nini, karanga mbichi. Sio kutwa kushindia vyepe utaishia kulia lia hovyo. Kuwa na hofu ya Mungu, kuanza kuzini nje ni dhambi kumbuka. Haya inatosha kwa sasa....
hii imekaa poa sana
 
mnunulie sabene dawa ya kikongo anapaka tu ktk chombo chake! / tatizo kwisha!
au mnunulie delay spray atumie..!
sometimes inabidi wewe ndiye umpe changamoto!
 
Wanasemaga ukioa mwenye bikira anakuwa wako peke yako,sasa huyo kaenda nje kujaribu.
 
Back
Top Bottom