Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

Mume wangu hanitoshelezi, kimwili na kimahitaji

KWA MSAADA WANAUME WENYE KUSHINDWA KUTOSHELEZA WAKE ZAO KIHISIA WASILIANA NAMI +255 655 580 788 AU NI PM. usiogope maana hawa wanawake ukiwaendekeza dharau ndio kam hizi JF, kama vile anaomba msaada kumbe ndio dharau zenyewe na ameshakutenda
 
Wewe ku taste Mara moja tu nje tayari umenogewa ungeendelea na curious angalau kwa watu watano ndo uchague mmoja wa anaeweza kukusugua vizuri.
 
Yawezkana una bwawa na maji mengi so anashindwa kuogelea.
. Anakosa ham na wewe anatafuta utamu kwingine.
Mkuu Hiyo Avator yako ni shida.. Ukipata zigo Kama Hilo unahangaika nalo mpaka basi.. Muda wote unacheka Cheka tu hata njaa husikii..Mara umeligeuzia huku Mara huku mradi ulifikishe tu..
 
Hivi nyie wanawake mnafikiri wanaume wanatumia mafuta au wanaume ni kama injini zenye piston za kufikisha watu vileleni sio....kama unataka kufika kileleni kapande rocket au ajiri tour guide
 
Kimbia haraka usimpotezee muda au kama unataka kumsaidia tafuteni tiba by the way are you realy female your language has male tone
 
Hakuridhishi?

Huenda ikawa maandaliz huwa yako zero!


Wew unafanya Jitihada Gan kuihudumia Familia yako au unatega mapaja tu?

Je ukipata wa kukufikisha ndo Furaha yako?
 
Shetani kaisha kuingia mdada baada ya kupeleka mpododo mahali tulivu!

Ni PM tafadhali uje uionje na ya wanyakyusa!Sisi tuna vilema njoo uone
 
Tatizo lenu watu aina yenu ni kujiangalia mwenyewe tuu. Ushauri wangu ni kuomba talaka ili uachane na dhambi hiyo hata hivyo sijui ile ahadi ya siku ile muhimu kwenye ndoa yenu ambapo wote mliitoa na kwamba ninyi ni mwili mmoja utamwambia nini sir god????
Jee hivi sasa huyo ndugu yangu ni hohehahe na ndiyo maana hayo madhaifu unayaona lakini jee ikimuangukia zari ikamfanya naye awe mtu kati ya watu hautojikomba kwake kwa kudai shetani aliingilia ndoa yenu?????
Huyo mtu sio hohehahe kama unavyosema ana pesa zake nami pia Nina zangu tatizo hajali familia na pia kitandani hawezi,ila Mimi Nina uwezo wa kujitunza na pia kusomesha watoto,kiufupi tatizo halipo kwenye pesa.
 
Unaxheza wewe sana hujui kumweka sawa shauri yako kuna mafundi mjini wakimpata wanamtengeneza huyoo ataungwa kama pilau utamkosa mazimaaa sasa wewe bidada baada ya dkk mbili wewe umefanya nini zaidi ya kumpa mgongo!! Jitume kuna baada ya dakika mbili wengi bao la pili mtakesha huwa haliji kirahisi utakojoa mara mbili changamka na si kulala utaibiwa
 
Huyo anayekufikisha atakumwaga siku hiyo hiyo utakapoachana na mume wako believe me.
Above all mwombe Mungu akusamehe na akusaidie kushinda hilo jaribu .
Simtegemei kwa matunzo cc tunachepuka tu coz na yeye ana ya kwake kwenye ndoa yake na tumekuwa kwa muda mrefu abt 5yrs na hatuna mpango wa kuoana,lengo letu ni kupeana raha tu kila mtu ana kazi yake plus other business and deals na huwa tunakutana just for sex tunatafuta hotel moja tunajifungia huko siku nzima jioni kila mtu anarudi kwake.
 
Wewe ku taste Mara moja tu nje tayari umenogewa ungeendelea na curious angalau kwa watu watano ndo uchague mmoja wa anaeweza kukusugua vizuri.
Lengo sio kutest nyingi nia ni kupata satisfaction sasa nilivgoipata niliendelea naye huyo huyo huku nikijitahidi kurekebisha hali ya ndani ambayo naona imeshindikana na siku zinavyozidi kwenda ndio hali inazidi kuwa mbaya,business as usual na anaona kama nimeshakubaliana na hali yake, ila nilichogundua ni mbinafsi,mbona huu mchepuko siku akiwahi kumaliza namuona anavyohangaika ili nami nifike second round,lakini mwenzangu na Mimi kwanza anataka kila siku akipiga sekunde zake anakoroma hadi asubuhi wala hajali mwenzake amemuacha Katika hali gani,nachoshukuru tu nimekuwa na huyo wa nje kwa takribani miaka 5 ila hajawahi kushtukia.
 
Huna hata aibu huna haya hata vibaya hujuwi ukisikia kutoa siri za ndani ndio huko nae pia kuna vingi unomboa lakini anakuvumilia na hajadiliki hata siku moja kusema mapungufu yako hadharani isitoshe mchepuko sio dili na ni dhambi kwa mungu iweje wewe ujinanadi hadharani kuwa wewe ni mzinifu? Naomba kwa yule alieumba mbingu na nchi akushushie maradhi makubwa na madogo ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia kama ya kwako
 
Back
Top Bottom