Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,175
[emoji28][emoji28]ahahaaa kazi kweli kweli
[emoji28][emoji28]ahahaaa kazi kweli kweli
Daah acha Kabisa suruali inataka kutoboka hapa!Ngenye bana hata hazfichiki yaani kusoma tu mnyama kasimama
Muda unaotumia kusoma post za wenzako za ngono na ku comment ..., ungekua una chapa kazi mahali ..., si ajabu Magu angeshakuona na kukupa ukuu wa mkoa wa Dar msaidizi ... [emoji41]Mda unaotumia kuwaza ngono hayo mawazo ungeyatumia kuwaza ni namna gani ya kuinua uchumi wa Tanzania hakika Tanzania ingekuwa kama Dubai!
HahahhhaMuda unaotumia kusoma post za wenzako za ngono na ku comment ..., ungekua una chapa kazi mahali ..., si ajabu Magu angeshakuona na kukupa ukuu wa mkoa wa Dar msaidizi ... [emoji41]
Wewe mume wako huwa hakubanii style mkuu?CHA MSINGI NI KUKAA NAYE TU NA KUMWAMBIA UMUHIMU WA KUBADILI STYLE
ANYWAY MAPENZI NI SANAA MUANDAE MMEO MWENYEWE SIO USUBIRI AKUANDAE HII ITASAIDIA SANAA
Pole sana inaelekea unaumia sana hadi ukaamua kuiweka siri hii hazarani ni siri ya ndani mnooo hi! Ninachokiona apo ni kwamba tatizo liko kwako maana toka uchumba wenu mnafanya yn ulimuzoesha mmeo hivo kiasi kwmba kashakunjika sanaa kunyokaa tena ni ngumu.Wadau nawasalimu.
Jamani mimi simuelewi mume wangu, kunako 6 x 6 yeye hataki style nyingine zaidi ya kifo cha mende mie nachoka, najitahidi kubadili mikao labda mie juu yeye chini anaigeuza fasta hataki..doggy style nayo ananigeuza fasta hataka namwambia tusimame basi hataki tupo kwenye ndoa mwaka wa pili sasa, hata wakati wa uchumba alikuwa hivyo..
Sijui nitumie njia gani ya kumfanya ajue mapenzi sio kifo cha mende peke yake mi nachoka yaani nimeshakremisha sasa atakachonifanyia hata kwenye romance pia hanitomasi tomasi akinichezea huko chini kidogo na kuninyonya maziwa basi kamaliza nampenda sana mume wangu sijui nifanyeje abadilike.
maoni yenu ya kujenga yatasaidia tafadhali.
Hata usiogope, hawezi kutambua ID yako.hunitakii mema
Alijua atabadilika kwenye ndoa...daah!sie wanawake wa miaka hii makungwi wetu wamekuwa mitandao ya simu!
so sad...aiseee!!!
we kumbe toka uchumba ulishajua udhaifu wakeee
sasa uliolewa ili iweje...?
si ungeenda kuwátafuta hao mastylist wa ngono!!...
aiseeeehhh!!