Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

Kifo cha mende ndio ikoje hiyo.. m naiskia tuuuuu ila siijui ata
 
Lol, yaani si ndo inabidi nimsomeshe somo alielewe otherwise i am doomed
Sasa shoga angu na wewe usha shake well before use, ukaona kabisa havichanganyiki kwanini ukakomaa navyo???
Make ungekua umechomeshwa mahindi ningesema Sawa, umeuziwa meno ya ndovu kwenye gunia ukakuta ni mapembe ya ng'ombe haya kulikoni????!!! Au ulikua una haraka na ndoa?
 
Mmmh hivi Kuna mwanaume anakomaa tu na kifo cha Mende, kaa naye umweleze umuhimu wa Hilo tendo c kufanya tu nikuridhishana pia, afu pia huo ushamba auache, mwanaume lazima uwe mbunifu na c kukomaa na kifo cha mende
 
Wadau nawasalimu.

Jamani mimi simuelewi mume wangu, kunako 6 x 6 yeye hataki style nyingine zaidi ya kifo cha mende mie nachoka, najitahidi kubadili mikao labda mie juu yeye chini anaigeuza fasta hataki..doggy style nayo ananigeuza fasta hataka namwambia tusimame basi hataki tupo kwenye ndoa mwaka wa pili sasa, hata wakati wa uchumba alikuwa hivyo..

Sijui nitumie njia gani ya kumfanya ajue mapenzi sio kifo cha mende peke yake mi nachoka yaani nimeshakremisha sasa atakachonifanyia hata kwenye romance pia hanitomasi tomasi akinichezea huko chini kidogo na kuninyonya maziwa basi kamaliza nampenda sana mume wangu sijui nifanyeje abadilike.
maoni yenu ya kujenga yatasaidia tafadhali.
Umeshasema kwenye uchumba alikuwa hivyo haukumwambia leo ndo unamwambia, tena umemkuta mstaarabu angekuuliza hayo mastyle nani kakufundisha
 
Umeshasema kwenye uchumba alikuwa hivyo haukumwambia leo ndo unamwambia, tena umemkuta mstaarabu angekuuliza hayo mastyle nani kakufundisha
nilimwambia akasema tukioana atanionyesha mapigo,, nikamwambia tena baada ya wiki moja ya ndoa akasema sawa..lakini sioni mabadiliko..baadae ndo akaniacha hoi aliponiuliza nimejifunzia wapi
 
Sasa shoga angu na wewe usha shake well before use, ukaona kabisa havichanganyiki kwanini ukakomaa navyo???
Make ungekua umechomeshwa mahindi ningesema Sawa, umeuziwa meno ya ndovu kwenye gunia ukakuta ni mapembe ya ng'ombe haya kulikoni????!!! Au ulikua una haraka na ndoa?

Hata sijielewi kwa kweli sijui ndo mahaba niponde ponde kama nyanya..
 
Hata sijielewi kwa kweli sijui ndo mahaba niponde ponde kama nyanya..
Pole mwaya, haya mvumilie katika raha na karaha, ndo karaha yenyewe hiyo ya kifo cha mende ha ha ha nicheke kama mazuri
 
Pole mwaya, haya mvumilie katika raha na karaha, ndo karaha yenyewe hiyo ya kifo cha mende ha ha ha nicheke kama mazuri
Hahahahaha cockroach style usicheke mwenzio ndo nshafika..ngoja niangalie jinsi ya kumfanya aelewe kuwa cockroach style kila siku haina hashki
 
Hahahahaha cockroach style usicheke mwenzio ndo nshafika..ngoja niangalie jinsi ya kumfanya aelewe kuwa cockroach style kila siku haina hashki
Mmeo ulimkuta sealed nini, au kaota kitambi?
Mna watoto?
 
Mtumie link ya uzi huu whatsApp kisha akifungua na kuusoma atabadilika tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom