Mume wangu ana kisirani

Mume wangu ana kisirani

Jana kuna mwanaume nilimuona alikuwa na mke wake kwenye gari yao ya nyumbani uzuri nilikuwa na mpenzi wangu walivyokuwa wanaongea hadi laazizi alisikitika sana. Kuna watu wameoa wanawake acha tu, ndiyo sababu wanaume watazidi kufa kwa magonjwa ya moyo nilimuonea huruma yule jamaa nikahisi maumivu anayoyapata.
Jamaa akapoa akalaza kichwa kwenye usukani huku akitikisa kichwa nadhani alikuwa analia, tuishi nao kwa akili huyo jamaa kakupenda na kukuonyesha mapenzi ukataka kumkalia sasa anataka umuogope hana shida ni wasi wasi wako tu.
Usipoishi na mwanamke kwa akili utapata tabu sana though mpenzi wangu anajua kwake nimekwika haswaaa.
 
siku akinuna tu jo ukae kwangu kwanza maana hamna namna
 
mumeo atakuwa delicious basi. Dume gani linanuna na kuzira kama manzi.!?
 
Anatabia za kike huyo..

Background za watu wa muundo huo mara nyingi makuzi yake alikuwa anashinda sana na dada zake au jinsia ya kike so anajikuta anaadopt hizo tabia..

My take

Jaribu kuongea naye kwa kina siku akiwa anafuraha hasa mmetoka out hivi .Naamini mtafikia lengo
 
Bongo drama sio Korea drama anzisha uzi mwingine hapa umefeli
 
hata mimi nilikua na tabia hiyo japo nilikua sichukui muda mrefu nilikua sizidishi siku 3 kutokana na imani ya dini, mara nyingi tabia ya aina hii kwa waliowengi inaanzia kwenye malezi ya utotoni kama mama yako mzazi alikua anakupenda sana na kukudekeza ni rahisi ukioa ukawa una deka kwa mkeo, mwanamke alie na mume wa aina hii ni vizuri afanye yafuatayo 1.yeye asinune na afanye majukumu yake yote ya familia 2. asimueneshe kwamba ni mjinga na aone kwamba kununa kwake ni haki yake 3.asimuoneshe unyonge, uwoga au kumbembeleza kama ana hakika yeye hana kosa.
 
Mvumilie na kumuombea, hilo ni pepo tu ukiamini litamwachia
 
Mama la mama, mwambie aache kisirani , hizo ni tabia za kike, afu ndoa ni kuvumiliana, ww mvumilie tu, huku ukimwitia wazazi wake wamhoji kwanini ananuna?
Wazazi sio polisi
 
wewe inaonekana unakiburi na mayai sana ikiguswa tu kidogo unang'aka jamaa kaona bora ajinyamazie
 
Hakujibu
Watu wanaropoka hapa hawajakutana na mtu wa hivyo.

Hata uongee umepiga magoti hakujibu anakaa kimyaa,
Simu hapokei wala sms hujibiwi.
Mmh. Kama inafikia hatua hiyo inabidi ajiongeze sababu hata kama ndio hasira huwa zina kipimo na hizo za aina hiyo sio hasira tena yaani hapo tunaweza sema anakuwa amedhamiria.

Ila kuna baadhi ya wanaume ni changamoto aisee.
 
Yaani wewe mpk umesubiri hadi sasa hivi! Unastahili tuzo ya juu kabisa ya uvumilivu, achana nae hilo dude unaloliita mume
 
Mama LA mama jaribu kuangalia Siku ambayo yuko Na furaha then mpikie msosi anaoupenda then tafuta eneo nje Na home mtoe out umuulize kwa nini huwa anakuwa hivyo huenda akawa Na shida so ukishajua itakusaidia namna ya kuishi nae vizur zaid Na pia kwa kujua tatizo utatafuta solution taratibu baadae tatizo litakuwa solved . pole sana nipe moyo hayo ndo maisha ya ndoa kuvumiliana
 
Pole sana...

Ndiyo alivyolelewa kwao...

anaonekana anapenda sana kunyenyekewa na kutukuzwa ndiyo maana...

cc: mahondaw
 
Naye ni binadamu kinachofuata hapo ni utumwa hata akifanya wrong basi kaa kimya kisa atanuna mmmmm
Huyu mama la mama anafata hisia zake zaidi wakati upande mwingine unaumia ndo maana mume wake ananuna! sasa mtoa mada kama ni mjanja atumie akili zaid ya hisia zake. Inabidi ache hizo habari zake ili husband awe okay...

Hata wanaume kuna mambo hawayapendi kutoka kwa wake zao lakini inawalazimu kuwatimizia matakwa yao ili mambo yawe sawa!
 
Back
Top Bottom