Mume wangu ana kisirani

Mume wangu ana kisirani

HUYOOOO NI CHAGUO LAKOOOOOO CHAGUO, LAKO HUYOOO NI CHAGUO LAKOO CHAGUO LAKO (nakapenda sana haka kawimbo)
 
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Kutoa papuchi kwa uhakika na kwa wanawake wenye kisirani dawa nihiyohiyo hakikisha anafika kileleni asubuhi shikamoo kibao
 
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Acha kumkosea ss we ulishaona MTU anayependa kukosewa?Nina mashaka hata ww unapomkosea huwa unakuwa nunda yaani akiweka ugoko we unaweka chuma hapo ndo shida.Kama umeshamsoma vizuri epuka kumkasirisha na kumkosea pasipo ulazima,na unapogundua ww ndiye mwenye makosa kujishusha sio ujinga ila yote haya ni kama tu unampenda ila kama mmechokana mie Simooo.No Comment.
 
Wangu alikua hivyo akinuna namtegea usiku kalala naniuu imeinuka nakalia nakatikaa nikikojoa nalala zangu kimya,
Mara mbili mara tatu naona hiyo tabia imekufa kabisa.
 
Pole sana mama la mama. Japokuwa napata maswali yaso na majibu inamaana miezi sita yote anayokuwa kanuna unashindwa kumsemesha na kujua tatizo ni nini?

Hapo kosa sio la mmoja hata wewe mama la mama inatakiwa ujue namna ya kuishi na huyo mumeo mwenye gubu na sio kuyaacha hayo yote yatokeee.

Kanuna leo kesho muulize nini tatizo ili kama linatatulika mlitatuwe na sio kusubiri miezi halafu mwisho wa siku bado mnakaa chini yanakwisha.
Hakujibu
Watu wanaropoka hapa hawajakutana na mtu wa hivyo.

Hata uongee umepiga magoti hakujibu anakaa kimyaa,
Simu hapokei wala sms hujibiwi.
 
Hicho kisirani kinatokea wapi? Kuna maudhi labda unayoyafanya? Au huwa ana kisirani bila sababu
 
Mtoe sadaka lawe akapambane na makurubenge ya mji akili itamkaa sawa atakaporudi na boxer tu kisiran kwisha
 
Nina ndugu yangu ana hilo tatizo, yani namhurumia my wife wake. Wanaweza kukaa six months jamaa limenuna hata kusalimiana na my wife wake tu ni shida.

Huo ni ugonjwa mbaya sana katika saikolojia ya binadamu na mara nyingi watu wa hivyo hawabadiliki. How on earth ukae na dude rohoni kwa miezi sita?
Kanda maalumu nini maana hao wanatabia hizo halafu wale waliolelewa na mama zao ingali baba zao wapo hai wanahangaika na michepuko ndiyo tabia zao jinsi baba zao walivyokuwa wakiwasumbua mama zao nao hasira huishia kwa wake zao hawashauriki kqbisa
 
Pole sana mkuu mumeo ni jamii ya watu ambao wapo straight muda wote yani wapo serious!
Utani utani hawana na ukiwaletea ujinga kidogo mnaweza gombana kabisa!

Sasa suluhisho hapo kuwa right muda wote na hayo makosa madogo madogo hakikisha hayatokei.
So baada ya kumsoma unaweza mtreat vzuri...
Ukisema yeye afate vimakosa vyako hiyo ni ngumu...
Inaelekea we ni mzembe maana umeleta hii mada hapa kuungwa mkono wa vimambo vyako hivyo...

You must change to in order meet the needs and requirements of your husband!
Naye ni binadamu kinachofuata hapo ni utumwa hata akifanya wrong basi kaa kimya kisa atanuna mmmmm
 
Ndoa yenu ina muda gani? Pole kwa mateso ya kiasi hiki. Kununa miezi sita? Dah! Kwa hiyo wakati amenuna hiyo miezi sita hata papuchi anasusia hataki kuigusa?

Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
 
Ukute na yeye ana mme wake kazoea kumnunia ili abembelezwe mi najua wanawake ndio tunanunanuna ila sio kwa miezi sita,Shoga angu mchunguze vizuri.
Huenda anadalili za ukichaa sio bure
 
Kutoa papuchi kwa uhakika na kwa wanawake wenye kisirani dawa nihiyohiyo hakikisha anafika kileleni asubuhi shikamoo kibao
Huwa wanasusa kila kitu unazani ni kununa tu kuongea mpaka papuchi hununiwa mkuu
 
Huyo mumeo nae mjinga...mwanaume unanuna nini alipaswa akuzibue makofi ukileta usenge ...mpk unyooke...kununa sio tabia ya kiume bora angekuwa anakuzibua,ulete uzi wa kubutuliwa kuliko kununiwa
Hao kinamama kiukweli huko kuzibuliwa vibao ndiko wanahitaji haswa. Lakini mwanaume mwenye busara na una shughuli zako za kukuingizia kipato usihangaike kumzibua vibao mwanamke maana utaibua kesi za polisi, ambazo zitachukua muda wako mwingi la muhimu mwanaume fanya yafuatayo;
1. kaa kimya kama huna mwanamke vile (hakikisha matumizi ya nyumbani yapo sawa, bills zote-umeme, maji, ada za watoto & matumiz mengineyo ya home...kamilisha ili watoto wasiteseke).
2. Epuka kumtegemea mwanamke kukuandalia mahitaji hapo home eg. Hakikisha vifaa vyako (nguo, viatu, nguo za ndani n.k.) vinakamilika/safi bila kumtegemea huyo VUVUZELA hapo home.
3. jikite zaidi kwenye shughuli zitakazokuletea maendeleo wakati huyo tarumbeta akitunga njia ya kujishebedua/kuomba msamaha.
NB: Mwanaume usiwe muongeaji, Fanya vitendo zaidi.
 
Pole sana mkuu mumeo ni jamii ya watu ambao wapo straight muda wote yani wapo serious!
Utani utani hawana na ukiwaletea ujinga kidogo mnaweza gombana kabisa!

Sasa suluhisho hapo kuwa right muda wote na hayo makosa madogo madogo hakikisha hayatokei.
So baada ya kumsoma unaweza mtreat vzuri...
Ukisema yeye afate vimakosa vyako hiyo ni ngumu...
Inaelekea we ni mzembe maana umeleta hii mada hapa kuungwa mkono wa vimambo vyako hivyo...

You must change to in order meet the needs and requirements of your husband!
Good advice
 
Sasa kama anakublock kwenye mitandao ya kijamii alafu kila siku mnalala nae mnaamka nae inasaidia nini sasa kublock huko?

Ila mpe mapenzi moto moto kisirani kitaisha
 
Back
Top Bottom