juan moses
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 2,403
- 2,483
Anasusa na unyumba?!
Unahitajika darasa ya mapenzi miezi mi tatu hata kama angekuwa ananuna vipi mbona utammudu tu huyo wako ni njuka hana kisirani kabisa labda weweJamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.
Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Kwa miezi 6 hapo hakuna unyumba, hiv kama mmegombana mkapeana unyumba kuna mnuno hapo hata wanyama hawafanyi hivyo huyo atakuwa ananunia vyoteAnasusa na unyumba?!
Kuna wengine akinuna huwezi mgusa wewe unapigwa kiwiko mpaka unasema amina babaMiez 6 kanuna na mnalala kitanda kimoja? Ka hvo ndo ilivo basi wote mna mattzo