Mume wangu ana kisirani

Mume wangu ana kisirani

Sasa hapo kazi ni kwako kuchagua kusuka au kunyoa. wewe ndie unayepambana na hizo kero za kununiwa na zitakufanya usiwe huru hata kumhoji yuko wapi akichelewa kurudi hom hata akiongea na simu kiutata hutakiwi kuhoji. Maisha yasiyo na raha kila baada ya siku chache kununiana. Fikiria hayo ndio maisha yako hadi unaingia shimoni... once again...pole inakuhusu.
Asante
 
Pole sana mama la mama. Japokuwa napata maswali yaso na majibu inamaana miezi sita yote anayokuwa kanuna unashindwa kumsemesha na kujua tatizo ni nini?

Hapo kosa sio la mmoja hata wewe mama la mama inatakiwa ujue namna ya kuishi na huyo mumeo mwenye gubu na sio kuyaacha hayo yote yatokeee.

Kanuna leo kesho muulize nini tatizo ili kama linatatulika mlitatuwe na sio kusubiri miezi halafu mwisho wa siku bado mnakaa chini yanakwisha.
Concise words of wisdom

Big-up my sic
 
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote, tendo la ndoa kama wanandoa hatotaka in short hatakugusa na kila ukikosea anahisi umemdharau.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Njoo kwangu..
 
Pole sana mama la mama. Japokuwa napata maswali yaso na majibu inamaana miezi sita yote anayokuwa kanuna unashindwa kumsemesha na kujua tatizo ni nini?

Hapo kosa sio la mmoja hata wewe mama la mama inatakiwa ujue namna ya kuishi na huyo mumeo mwenye gubu na sio kuyaacha hayo yote yatokeee.

Kanuna leo kesho muulize nini tatizo ili kama linatatulika mlitatuwe na sio kusubiri miezi halafu mwisho wa siku bado mnakaa chini yanakwisha.
Asante kwa ushauri Dia nitaufanyia kaz
 
Hyo ni mwanaume au mvulana?
Mwanaume utamnuniaje mkeo aisee..
 
Mama la mama, mwambie aache kisirani , hizo ni tabia za kike, afu ndoa ni kuvumiliana, ww mvumilie tu, huku ukimwitia wazazi wake wamhoji kwanini ananuna?
Unajua kuna watu wakikosea ukwashtakia kwa wazazi wao ndo unakuwa km umetangaza vita kati yako na wazazi wengi huona watoto wao wapo sahihi
 
Mpeleke outing....mpe mechi ya ugenini hukohuko...then muongeleshe, mchekeshe...
Akiendelea kununa bac atakua na pepo
 
Naona umeshindwa kutimiza wajibu wako wa ndani ya nyumba kama mwanamke umeamua kuja kutangatanga huku mama la mama3
 
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Umeolewa au Ni mume wako wa ndani ya Uchumba? Mitongonazaje? Mliowanaje?
 
Hicho kisirani kakianza ndani ya ndoa au alikua hivyo hata kabla???? Jichunguze wewe kwanza ili iwe rahisi kumtafutia tiba
Fanya utafiti mdogo kujua kama ndio tabia (unaweza uliza watu wake wa karibu kijanja wasijue dhamira yako)
Ukipata majibu kama ni tabia yake toka zamani badala ya kuhusisha tafuta mtu wa pschology awasaidie na uwe mvumilivu (kama anakupenda atabadilika polepole) ila kama bado jeuri fanya maamuzi magumu....
Mtu wa kukublock mkewe mpaka mitandao ya kijamii na maendeleo anasitisha lazima ana tatizo sehemu fulani.
Najaribu kujiuliza huo uchumba mlivuka vipi
 
Jamani mume wangu anakisirani yani ukimkosea kitu kidogo tu anaweza kununa hata miezi sita, hatakula nyumbani, atakublock kwenye mitandao ya kijamii yote na hakuna kitu kitaendelea cha maendeleo mpaka siku ataamua kuacha kununa ndo mtaendelea kuongea.

Yani hii tabia yake nahisi kuichoka natamani mnishauri niishije na Mtu wa namna hii
Duh! Pole sana mkuu.
 
Nina ndugu yangu ana hilo tatizo, yani namhurumia my wife wake. Wanaweza kukaa six months jamaa limenuna hata kusalimiana na my wife wake tu ni shida.

Huo ni ugonjwa mbaya sana katika saikolojia ya binadamu na mara nyingi watu wa hivyo hawabadiliki. How on earth ukae na dude rohoni kwa miezi sita?
 
Back
Top Bottom