dangadunguri
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 1,276
- 1,310
Mi mwnyw kwa uelewa wangu km hamjazaa mkioana hamna ht kutumia kinga mzae tu ndoa znyw mkiona umri umeenda mnakua mnasubiri nini,yani niache kuzaa kisa masters,
Kuna jambo hapo,dada yaonekana ana uwezo kuliko mume hence maamuzi anafanya yeye
Msikilize mwenzi wako km anataka mtoto zaa tu tatzo liko wapi
LadyRed uko sahihi sana, ni ajabu yaani ndoa ina wiki 6 mwanamke ameshakuja na ratiba kama ligi. Ajabu zaidi hakutwambia hizi ratiba za masters aliziweka kwenye vikao vya ndoa au alisubiri hadi amuweke ndani jamaa (manake jamaa ndo kawekwa ndani akatafuna kuku na kifaranga).
Chukua nafasi hii kuwashauri dada zetu kuwa familia zote za Kiafrica wanapenda tangu asili, ndoan ikishafungwa wanasubiria mjukuu, sio masters an PhD. Wanapenda pia kuona mtoto wao awe wa kike au wakiume, ni rijali na hana matatizo ya kupata watoto mapema sana baada ya ndoa, hili linaleta utata sana kwa wanandoa wanapokaa muda mrefu bila kupata mtoto. na familia nyingine ni ugomvi mkubwa.