Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

kama unataka mpambano huo wa matusi hapa utaupata kamwe, wanawake nawaheshimu na siwezi kuwatukana, ila yako ukiipiga kufuli kuwa hutaki kuzaa, itatoka uhoko
Anzisha uzi wako utukane ,usitafute umaarufu kwenye nyuzi za watu,
 
  • Thanks
Reactions: nao
kwani anafanya masters chuo cha mbali?? na huko mbali nafuata nini?? hao wanaosoma mbali wakirudi tz wanajipya gani?? tunatakiwa tuvienzi vyo vyetu na kuleta innovation sio kukimbilia CHINA na UK
Unakurupuka mno soma hata kidogo utulie uelewe sio kujibu tu
 
Anzisha uzi wako utukane ,usitafute umaarufu kwenye nyuzi za watu,

Wa kwako uko wapi?? sikukufuata katika maeneo yako, ukikuja mwenyewe. kwani wanaochangia humu ni mm tu?? hao wengine hukuwaona mbona umekuja kwangu??? si unataka tubishane??
 
Shule ataenda na mimba atabeba kwa mapenzi ya MUNGU sio kwa kupanga yeye. kwani vyo havipokei wanafunzi wajawazito???? chuo gani hicho?? tutajie basi tujue.
Mkuu kila la kheri sina sababu ya kujibizana vibaya.
 
Unakurupuka mno soma hata kidogo utulie uelewe sio kujibu tu

sijakurupuka, sijakuanza wala sikurepply ulichopost, ulikuja kujibu nilichoandika si kuwashwa huko?? kama wataka mpambano nakukaribisha kwa mikono miwili,
 
Zako umezifungia ili usizae, kazana huku wadogo zako wanakusaidia. tena kama umeleta 1 ongeza wa 2 ili jamaa awe anabadilisha ladha huku ukiendelea na RESEARCH
Unabahati mbaya kwangu mtoto sio ishu wapo sita,nataka watu kama nyie mnaohalalisha vitendo vya kifirauni mjue jamaa amekosea,sio kusapoti inamaana hamuwezi kukemea ubaya hata kidogo au kwasababu mwanamke anaelalamika humjui sura?tuseme dada zako ndo wamefanywa hivi utacomment hivi?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Nakushauri kama mumeo ameomba msamaha wa dhati basi msamehe muendelee, unaweza kumuacha ukaolewa na mume mwingine, na bahati mbaya huyo mume atakayekuoa akapata ajali mbali akakatika mikono na miguu na ikawa jukumu lako kama mke wake kumlisha, kumchambisha akijisaidia na mengine mengi. nakupa mfano huu nikiwa na maana kuwa ndoa ni msalaba, unaweza kumuacha huyo ikawa umeruka mkojo na kukanyaga nnya. to sum up, msamehe, I mean wasamehe, endeleza maisha na pia ukiweza mzalie mumeo. heshimu maamuzi ya wanandugu.
 
Unabahati mbaya kwangu mtoto sio ishu wapo sita,nataka watu kama nyie mnaohalalisha vitendo vya kifirauni mjue jamaa amekosea,sio kusapoti inamaana hamuwezi kukemea ubaya hata kidogo au kwasababu mwanamke anaelalamika humjui sura?tuseme dada zako ndo wamefanywa hivi utacomment hivi?

kama unawatoto 6 mwenzio hana hata mmoja na ratiba kibao, huoni kuwa ushauri wako hujamtendea haki huyo dada?? yeye hana hata 1 na anaweka ratiba za mechi zakupata watoto. mshauri azae japo 2 ndio aanze kukimbizana na madesa
 
SAMEHE 7 x 70. Lakini pia hata wewe ulikosea sana pale ulipofanya maamuzi ya kugoma kuzaa eti hadi umalize MASTERS DEGREE. Sikuona sababu ya wewe kugoma maana level hiyo ya masomo unaruhusiwa kuwa na familia/kuzaa kwani wewe ni mtu mzima sasa.
 
kama unawatoto 6 mwenzio hana hata mmoja na ratiba kibao, huoni kuwa ushauri wako hujamtendea haki huyo dada?? yeye hana hata 1 na anaweka ratiba za mechi zakupata watoto. mshauri azae japo 2 ndio aanze kukimbizana na madesa
Kaka kuzaa hushauriwi ,kuzaa unaamua,au itokee tu unaumwa na lazima uzae iliuendelee na matitabu,huyu nimtu mzima,huwezi kumwambia zaa ndo uende shule kila mtu na kipimo chake cha maisha,na hata hatumshauri asizae tunamshauri jinsi ya kuhandle shida alionayo ambayo inaweza kumpata hata dada zako na ushauri wa humu ukakusaidia siku moja.
Kuzaa ni sera ya watu,ndo mana mumewe alimuomba mdogo mtu mimba itolewe akiwa na maana hayuko tayari kuharibu sera walioekeana na mkewe.
Kuzaa ni personal issue.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Ndoa inamawasiliano aliekwambia ni mashart nani ?ulikuepo?we huna mashart?kama hutaki siunasema?haya tuseme mwenzio haridhiki na kipato chko kama moja ya sharti akalalwe nje?kwa wenye kipato kikubwa?akabebe mimba ?
Huyu si taahira. Lazima kuna aina fulani ya ubishi/masharti magumu aliyowekewa. Bahati mbaya sana tunajadili suala hili baada ya kusikiliza upande mmoja. Halafu watu mnatoa hukumu kwa mwanaume.

Hebu jiulize. Ni kwann Mdogo wake alipata ujasiri wa kumtaja shemeji yake? Watu wame-date hadi kufikia hatua ya kupeana ujauzito!!! Lazima huyu dada hakua na time na ndoa yake.
 
SAMEHE 7 x 70. Lakini pia hata wewe ulikosea sana pale ulipofanya maamuzi ya kugoma kuzaa eti hadi umalize MASTERS DEGREE. Sikuona sababu ya wewe kugoma maana level hiyo ya masomo unaruhusiwa kuwa na familia/kuzaa kwani wewe ni mtu mzima sasa.
Mwambie mkuu. Huwezi kusema huzai hadi umalize masters mtu akuvumilie. Tena wanakuaga wabishi hawa. Hats kutoa tamu hawatoi ipasavyo. Mara ooh nitakuwa bagamoyo kukusanya vipepeo. Mara ooh leo wale inzi ndo washatotoa sasa naenda kuandika repoti yake.
Alipaswa kuzaa kwanza walau watoto 2 ndipo uendelee na masters. Kwani kusoma si kupo tu!!? Au usome huku ukiwa una ujauzito tabu iko wapi?
Sasa hilo lililompata litampa ugonjwa wa kuchukia wanaume mpk kufa kwake. Hatopenda tena.
 
Kuna watu mnaharibu uzi huu... dada Leah nia yake ni kupata ushauri.
Imeandikwa akiunganishacho Mungu hakuna binadamu wa kukiachanisha. Hivyo ushauri wowote unaotolewa katika msingi wa kivunja ndoa hii uzingatie maandiko haya.
Ila dada wasiwasi wangu umeshaamua na msimamo wako uko wazi toka post yako mpaka comment na majibu yako kwa hoja zinazotolewa. Ila ni wazi unakubaliana na wanaokushauri uvunje ndoa. Kama nia yako imebaki kuwa utavunja ndoa basi na iwe hivyo japo tambua wanaume sisi sio malaika.
 
Pole sana dada, binafisi nakuomba umsamehe mdogo wako Kwa sababu umesema uliwasikia wakibishana na mumeo akimtaka waitoe hiyo mimba ni dhahiri huyu bwana ampendi mdogo wako ama anatamaa tu na tamaa zake zimevuka kiwango na hana utu kwako na kwa mdogo wako, kitendo cha mdogo wako kuamua kusema ukweli mbele yako ni dhahiri aliona ni kiasi gani alikukosea maana alikuwa na nafasi ya kuitoa hiyo mimba ama kumsingizia mwanaume mwingine kama wadada wengi wanavyofanya.

Kwa sbabu ujazaa na huyu bwana unaweza kutumia muda huo uliopewa kutafakari yafuatayo.

(1) je utapata mwanaume ambaye hataweza kukumbusha maumivu ya aina hii? Kwa maana ya kukufanyia kitu kitachokukumbusha ili tukio?

(2) je moyo wako unahisi uko radhi kumuacha huyo bwana kiasi cha kutokukwaza katika maisha yako? Yaani hautajuta siku utakapokuja kukutana na mwanaume ambaye pengine hatakuwa kama huyu unayetaka kumuacha leo?

(3)Je nikosa kiasi gani ili la mumeo kutia mimba mdogo wako? Je hakuna watu waliolewa na mume mmoja mtu na mdogo wake? Hoja hapa kama unampenda hii si sbabu ya kumuacha kwa sbabu wanaume wote tuna tabia izi tofauti ni nafasi ya kuipata kufanya icho kitu.

(4) Je wewe ukuwa kumsaliti mumeo? Si lazima uwe ulifanya yaan ile hali ya kuhisi unataka kutoka na mtu anayekutongoza ama mko kwenye harakati izo, kama uliwai ni dhahiri kosa la huyu ni mimba na umepata bahati ya kujua.

(5) soma bible mie siyo mtaalam sana lakini nakumbuka aliyezaa na kijakazi wake utakuwa unamjua na kijakazi ni mfanyakazi wa ndani house girl. Maisha yaliendelea.

Wanaume wanaolala na mashemeji zao ni wengi sana. Tatizo atupendi kuwa wakweli.

Binafisi kwa matukio ambayo ninayaona yanaendelea kwenye jamii yetu ilo lako naliona dogo sana, kila mtu akisema matukio yake amabayo yameishamkumba ndani ya ndoa unaweza kujiona wewe hauna tatizo.

Uamzi ni wako
Moyo wako kama unaridhia unaweza kuendelea na msimamo wako lakini kama unaona kuna kale karoho kidogo ka kupenda wasamehe maisha yaendelee.
 
AliyeNianze kwa kukupa pole, Ila nikutazamishe upande wa pili
wa shilingi kwamba ulifanya kosa kuingia kwenye ndoa wakati
haupo tayari kuzaa.Hili ni kosa na limewaghalimu wengi.
kwa upande wako shida itakuwa endapo utaheshimu ndoa
na ikatokea usizae wakati mdogo wako kaishaonyesha
ana uwezo wa kumzalia mme wako,ni nini kitatokea?
Pili kitendo cha kuwafukuza nyumbani kwako,
kama mme wako ni mtu anayejitambua ni ngumu
kurudiana na wewe maana hapo umemnyanyasa kiuchumi
hilo donda litamuuma hata mkirudiana maana atakumbuka
kuwa lolote litakalotokea hapo mbeleni lazima utamfukuza kwako.

Wakati tunakushauri wewe si ajabu naye anatafuta
washauri aone kama aendelee na wewe au aamue kuwa huru
kimaisha.
Siungi mkono ulichofanyiwa ila maamuzi yako ya mwanzo
ndiyo yatakayoamua mahusiano yenu.

Naweza kusema maadamu hujazaa na huyo baba
bora utafute mwingine na yeye aoe upya huyo aliyezaa naye
maana hata mkiishi wote tayari kila mmoja
kaishamjeruhi mwenzie,mnaweza msiaminiane tena.
 
Wewe dada nimefuatilia comments zako kwenye huu uzi na inavyoonesha ni jeuri kiburi,na huna heshima kwa mumeo. hapa hutaki kuongea yote ila inaonesha kwenye ndoa yenu kulishakuwa na nyufa ambazo hapa hutaki kuziweka wazi, na hii inapelekea hata mumeo kutoona na kuwa mzito kusema nisamehe kwan anajua ukikubali kumsamehe atarud kwenye mateso ambaypo atleast mdogo wako aliweza kuyafuta japo sio kuyamaliza..

wengi wanakuambia uachane na huyu mumeo utampata mwingine fine unaweza achana naye lakin kwa attitude hii uliyonayo hutadum na huyo mwingine na atakuja mwingine na mwingine wote hutaweza kwan ndioa zinahitaji masikilizano sio wew uamue tu si zai mpaka nimalize mastaz kwan nani kakwambia mastaz ndio kipimo cha kuzaa subiri umalize na phd kabisa ndio uzae.

Na wengi hawayaoni haya kwa kuwa ni habari ya upande mmoja..laiti kama mumeo nae angeanzisha thread juu ya hii situation kila aliyekupa pole hapa angekuona shetan kama wew haupo...

Ni hayo tu
Mkuu hata mm nimeona huyu dada hana adabu kwa mumewe. Huwezi ukaolewa halafu ulete masharti kwamba mpk umalize masters. Hivi huyu wa wapi huyu? Kwann alikubali kuolewa sasa? Hajui kwamba wanaume wanaoa baada ya umri kuwa umesonga sasa wanataka wapate watoto? Halafu linabinya pua hapa eti nishaurini mdogo wangu ana mimba ya mume wangu. Ushauri hapa amuheshimu mumewe. Vinginevyo huyu hatokuja kuolewa tena!!!!
 
kumbe unajua kwamba hii ni OPEN FORUM na kila mtu ana HAKI ya kutoa mawazo? mimi si miongoni mwa hao WATU wenye haki hiyo? sasa mbona haki yangu unaiminya? ni kina nani hao wenye haki ya kutoa maoni peke yao?
Una haki ya kutoa maoni, lakini una wajibu wa kuheshimu maoni ya wengine pia. Wewe kama nani mpaka untolee maneno machafu na kunihukumu kua eti ni muuaji mkubwa? Mwenye haki ya kuhukumu ni Mungu peke ake, sio wewe binadamu mwenzangu ambae pengine una dhambi nyingi na kubwa kuliko mimi
 
Mkuu hata mm nimeona huyu dada hana adabu kwa mumewe. Huwezi ukaolewa halafu ulete masharti kwamba mpk umalize masters. Hivi huyu wa wapi huyu? Kwann alikubali kuolewa sasa? Hajui kwamba wanaume wanaoa baada ya umri kuwa umesonga sasa wanataka wapate watoto? Halafu linabinya pua hapa eti nishaurini mdogo wangu ana mimba ya mume wangu. Ushauri hapa amuheshimu mumewe. Vinginevyo huyu hatokuja kuolewa tena!!!!
Uzuri nyie sio Mungu,Mungu hana choyo atampa mme mwema mpaka ashangae,atampa mme mwenye hekima Na busara hadi ataushangaa ukuu Wa Mungu ulivyo,Na Leah tunaomba utatupa mrejesho hapa ili watu kama hawa waushangae ukuu Wa Mungu pia,maana kutokupata mtoto kwa kipindi hicho ilikua ni makubaliano kati ya wanandoa hawa Na sivinginevyo.
 
Back
Top Bottom