Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

By the way nimependa sana busara na uvumilivu wako kwa jambo hilo lililokupata!
Naomba tuwe marafiki my phn no. Ni 0754341926...
Sina nia mbaya na ww ila kama hutojali nitafute..
 
Ngoja mkeo aje amepewa mimba na mdogo wako ndo upate mtoto mzuri...

linguistics;
Nadhani hujanielewa na kama umenielewa, tofautisha mwanamke kupewa mimba na mwanamume kuzaa nje ya ndoa. Ni vitu viwili tofauti kabisa na ndicho nlichomwambia mleta hoja. Yule dogo ni mdogo wake, tumbo moja. Si kakake. Umeelewa? Huyo mama aweza kumpokea ka wake kwani hata hivyo hajui ka atakaa azae, Kuwa na k si hakika ya kuzaa.
 
linguistics;
Nadhani hujanielewa na kama umenielewa, tofautisha mwanamke kupewa mimba na mwanamume kuzaa nje ya ndoa. Ni vitu viwili tofauti kabisa na ndicho nlichomwambia mleta hoja. Yule dogo ni mdogo wake, tumbo moja. Si kakake. Umeelewa? Huyo mama aweza kumpokea ka wake kwani hata hivyo hajui ka atakaa azae, Kuwa na k si hakika ya kuzaa.
Sio rahisi kama uzaniavyo ndugu hivi wewe kakako akimpa mkeo mimba kwa sababu ni nduguyo utasamehe simple tu? Acheni utani ni Mungu pekee ampe Neema hiyo huyu dada otherwise ni ngumu sana.
 
Nakwambia kitu kwa faida yako,

Kati ya wanaume 10, ni mmoja tu atakayeacha kutembea na shemeji yake kama wakipewa uhuru ambao dada mtu aliutoa.

Hata mimi naamini hiyo vita na shetani nisingeishinda kamwe.
Yani wanaume mnanisikitishaga mnavyojuaga kujustify uzinzi. Hivi mfano mnaishi ndani na mdogo wako wa kike au binti yako, na yeye ungelala naye kwa sababu tu mmepewa huo uhuru? Mnatafutaga tu kanafasi kajitokeze Mfanye uzinzi vizuri. Huwezi kuwaheshimu wadogo wa mke wako kama wadogo zako wa tumbo moja? Mbona hamna aibu wala heshima kwa wake zenu? Yani akija mdada ambaye si tumbo moja na wewe nyumbani kwako, lazima ulale naye au?

Mbona kuna wadada wamekuzwa na mashemeji zao hadi wanaolewa na walitreatiwa kama watoto wa nyumba hiyo?. Haya mambo ya Kuendekeza mkojo ndo unakuta mtu anatembea hadi na watoto wake wa kuwazaa. Mnazaa lakini, I hope mnayoyafanya kwa mabinti za watu mnaomba watoto wenu waje kufanyiwa the same. Maisha mzunguko, kesho hujui watoto wako watakuwa mikononi mwa nani. Mnaishi maisha gani kama majogoo, Kila mtetea unaubakua tu!!. Msitembelewe na mgeni wa kike nyumbani kwenu, zipu zinakatika, wake zenu wasitembelewe wala kuishi na ndugu zao wa kike!!!. Disgusting
 
Nimesoma kwa masikitiko sana..............pole sana leah2.

Leah umesema unafanya kazi na kusoma masters pia.Mara nyingi nafasi kwa mambo ya kifamilia uwa ni mdogo, na hii ndio sababu ya mumeo kuanza kutoka na mdogo wako.Hivyo Mazingira "yaliwashawishi" hasa ukizingatia mdogo wako alikuwa kamaliza chuo na anatafuta kazi. LEAH SAMEHE MAMA ILI YAISHE UWE NA AMANI TENA
 
Sio rahisi kama uzaniavyo ndugu hivi wewe kakako akimpa mkeo mimba kwa sababu ni nduguyo utasamehe simple tu? Acheni utani ni Mungu pekee ampe Neema hiyo huyu dada otherwise ni ngumu sana.

nao;
Nimemjibu mtu mmoja humu anaitwa "Linguistics" swali hili hili lako. Naomba msimlinganishe me na ke haswa kwenye hili jambo la ndoa.
Mwanaume akichepuka na mchepuko ukaleta tunda (mtoto) halafu me akamleta nyumbani, wewe mama unampokea kwa amani tu. Wapo wengi wamefanya hayo na amani ipo hadi kesho.
Lakini wewe ke ukachepuka, labda mumeo yupo mbali na hawezi kurudi kabla ya mwaka. Nakuambia, utaitoa tu. Kwa nini, kwa sababu unaleta damu nyingine nyumbani kwangu.
Wewe ni mali ya mumeo (so to speak). Utawezaje kumleta hapo nyumbani? Huyu bidada, mdogo wake wa tumbo moja ndiye amewazalia nyumbani kwake mtoto ambaye yeye anakiri hajawa tiyari kupata. Basi amsamehe mdogo wake, amzalie huyo mtoto, amchukue mtoto ka wake na maisha yaendelee ila mdogo mtu asirudie tena.
Kufukuza mume na dadake sio akili.
 
Yani wanaume mnanisikitishaga mnavyojuaga kujustify uzinzi. Hivi mfano mnaishi ndani na mdogo wako wa kike au binti yako, na yeye ungelala naye kwa sababu tu mmepewa huo uhuru? Mnatafutaga tu kanafasi kajitokeze Mfanye uzinzi vizuri. Huwezi kuwaheshimu wadogo wa mke wako kama wadogo zako wa tumbo moja? Mbona hamna aibu wala heshima kwa wake zenu? Yani akija mdada ambaye si tumbo moja na wewe nyumbani kwako, lazima ulale naye au?

Mbona kuna wadada wamekuzwa na mashemeji zao hadi wanaolewa na walitreatiwa kama watoto wa nyumba hiyo?. Haya mambo ya Kuendekeza mkojo ndo unakuta mtu anatembea hadi na watoto wake wa kuwazaa. Mnazaa lakini, I hope mnayoyafanya kwa mabinti za watu mnaomba watoto wenu waje kufanyiwa the same. Maisha mzunguko, kesho hujui watoto wako watakuwa mikononi mwa nani. Mnaishi maisha gani kama majogoo, Kila mtetea unaubakua tu!!. Msitembelewe na mgeni wa kike nyumbani kwenu, zipu zinakatika, wake zenu wasitembelewe wala kuishi na ndugu zao wa kike!!!. Disgusting

Naomba unisamehe kwa nilichokiandika, lakini that is the naked truth, and it is practically true.

Nadhani umewahi kuzisikia kesi za namna hii hata kwa wachungaji, viongozi wa dini au wale watu wanaojipambanua kama walokole.

Mwongozo wa Mungu unahitajika juu ya kulishinda hili jaribu, na ikitokea tu ndoa ndiyo bye bye! Tena unakuta mtu anayajua madhara yake lakini bado atafanya tu.
 
nao;
Nimemjibu mtu mmoja humu anaitwa "Linguistics" swali hili hili lako. Naomba msimlinganishe me na ke haswa kwenye hili jambo la ndoa.
Mwanaume akichepuka na mchepuko ukaleta tunda (mtoto) halafu me akamleta nyumbani, wewe mama unampokea kwa amani tu. Wapo wengi wamefanya hayo na amani ipo hadi kesho.
Lakini wewe ke ukachepuka, labda mumeo yupo mbali na hawezi kurudi kabla ya mwaka. Nakuambia, utaitoa tu. Kwa nini, kwa sababu unaleta damu nyingine nyumbani kwangu.
Wewe ni mali ya mumeo (so to speak). Utawezaje kumleta hapo nyumbani? Huyu bidada, mdogo wake wa tumbo moja ndiye amewazalia nyumbani kwake mtoto ambaye yeye anakiri hajawa tiyari kupata. Basi amsamehe mdogo wake, amzalie huyo mtoto, amchukue mtoto ka wake na maisha yaendelee ila mdogo mtu asirudie tena.
Kufukuza mume na dadake sio akili.
Some men are heartless. Hivi nyie mnaona mkichepuka ni haki kabisa, ila kwa wake zenu ni kosa lisilosameheka? Afu mnaona wake zenu wapumbavu sana, hawana mioyo, wana dhiki sana na ndoa kwamba mtaenda tu nje mlale na michepuko yenu, afu ikileta matunda (nimecheka kwa masikitiko), wanawake zenu wanaipokea happily, eti eeh? Huyo mtoto unayemleta mkeo akulelee ni damu ya mkeo hadi achekelee? Mnawaumiza sana wake zenu, kuendekeza kwenu uzinzi afu nyie mnaona kawaida tu, kuna mwanamke anayependa aletewe watoto wa nje?. Msiwatendee wake zenu msiyotaka kutendewa. Yani mmewafanya wake zenu kama nannies sijui. God is watching you guys lakini
 
Pheew....ni ngumu sana hiyo. I feel for you, lakini maisha lazima yasonge.

Kwanza nampongeza mleta mada, she's brave n' wise. Ni wachache sana wanaweza kulibeba swala kama hilo kiustaarabu namna hiyo, hongera sana.

Ningekuwa mimi, hapo hakuna ndoa tena. Ningemuacha aendeleze mapenzi na huyo dogolasi. Hutakuwa na amani tena ukiishi na huyo bwana hadi uingie kaburini, na hata ukiachana nae bado utazidi kuumia kwa miaka mingi tu ijayo. Lakini ni bora mkiachana. I can't imagine phucking my sisyer-in-law. Dunia imejaa uchafu jamani.

Once again, pole sana!!!
 
Nakwambia kitu kwa faida yako,

Kati ya wanaume 10, ni mmoja tu atakayeacha kutembea na shemeji yake kama wakipewa uhuru ambao dada mtu aliutoa.

Hata mimi naamini hiyo vita na shetani nisingeishinda kamwe.

Mi nakubaliana na wewe kabisaaaa, coz ni wanaume wachache sana wanaweza kukwepa dhambi ya uzinzi. My signature speaks it all
 
Naomba unisamehe kwa nilichokiandika, lakini that is the naked truth, and it is practically true.

Nadhani umewahi kuzisikia kesi za namna hii hata kwa wachungaji, viongozi wa dini au wale watu wanaojipambanua kama walokole.

Mwongozo wa Mungu unahitajika juu ya kulishinda hili jaribu, na ikitokea tu ndoa ndiyo bye bye! Tena unakuta mtu anayajua madhara yake lakini bado atafanya tu.
Aah mimi ni nani hadi nikusamehe mpendwa, me mwenyewe nahangaika kuomba misamaha daily uwii. Ujue uzinzi ni mgumu sana kuushinda, ndo maana tumeambiwa kabisa "IKIMBIENI ZINAA ". Sema wanaume mnafanya uzinzi ni kama haki yenu ya msingi, kwamba ikitokea tu nafasi ya kuzini, basi hata mtu ahangaiki kujisogeza, chance imepatikana.

You spoke well, kwamba tunahitaji muongozo wa Mungu kuushinda uzinzi (na sio tu uzinzi ila dhambi zote). Niliquote ulivyoongea pale juu kwamba hata ingekutokea wewe umepewa huo uhuru wa kuwa na mke wa mdogo wako, ungefanya kama mume wa Leah. Ndo tunarudi pale pale kwamba mnaona uzinzi kama ni suala la kawaida na haki. Huo uhuru ungepewa na mdogo ako wa kike, ungezini pia? Why not, si uhuru umepewa jamani. Kama tunategemea muongozo wa Mungu basi tusiglorify dhambi kiasi hicho. BTW Mchungaji, mlokole, kiongozi yeyote wa dini, anabaki tu kuwa binadamu kama binadamu wengine. As a matter of fact wote Tumesamehewa Dhambi na si Majaribu, tena wao ndo wanajaribiwa kuliko hata sisi. Mwisho wa siku kila mtu atasomewa hukumu yake na huwezi kusema kwa sababu fulani alifanya hivi na mimi nilifanya.
 
Nakwambia kitu kwa faida yako,

Kati ya wanaume 10, ni mmoja tu atakayeacha kutembea na shemeji yake kama wakipewa uhuru ambao dada mtu aliutoa.

Hata mimi naamini hiyo vita na shetani nisingeishinda kamwe.
hahah broo leo umeamkia wapi na point hizi?!

sio wanaume 10 tu hata ukifanya wanaume 50 hiyo sample size ni sawa kabisaaa!
 
ushauri gani wa kipumbaFU huu? unahalalisha mzinzi kuzaa na shemejiye? acha hizo mkuu.
Mkuu husitukane,toa ushauri wako unahisi uko vema zaidi,kama ulihisi wewe peke yako ndo unamawazo mazuri basi mleta mada hasingeweka humu mada angekitumia inbox ili umshauri.Sijapenda ulivyotoa kashifa kwa mwanajamvi mwenzetu hapo juu.
 
hahah broo leo umeamkia wapi na point hizi?!

sio wanaume 10 tu hata ukifanya wanaume 50 hiyo sample size ni sawa kabisaaa!

Wanaume ni viumbe wa ajabu sana linapokuja swala la kufanya huu mchezo, akili yote inapotea na sijuagi ni kitu gani kinasababisha kwa kweli.

We fikiria tu wale wamama ambao ni vichaa wana watoto (wamewazaa huku wakiwa tayari ni vichaa), na waliowazalisha ni wanaume wenye akili timamu kabisa.
 
Aah mimi ni nani hadi nikusamehe mpendwa, me mwenyewe nahangaika kuomba misamaha daily uwii. Ujue uzinzi ni mgumu sana kuushinda, ndo maana tumeambiwa kabisa "IKIMBIENI ZINAA ". Sema wanaume mnafanya uzinzi ni kama haki yenu ya msingi, kwamba ikitokea tu nafasi ya kuzini, basi hata mtu ahangaiki kujisogeza, chance imepatikana.

You spoke well, kwamba tunahitaji muongozo wa Mungu kuushinda uzinzi (na sio tu uzinzi ila dhambi zote). Niliquote ulivyoongea pale juu kwamba hata ingekutokea wewe umepewa huo uhuru wa kuwa na mke wa mdogo wako, ungefanya kama mume wa Leah. Ndo tunarudi pale pale kwamba mnaona uzinzi kama ni suala la kawaida na haki. Huo uhuru ungepewa na mdogo ako wa kike, ungezini pia? Why not, si uhuru umepewa jamani. Kama tunategemea muongozo wa Mungu basi tusiglorify dhambi kiasi hicho. BTW Mchungaji, mlokole, kiongozi yeyote wa dini, anabaki tu kuwa binadamu kama binadamu wengine. As a matter of fact wote Tumesamehewa Dhambi na si Majaribu, tena wao ndo wanajaribiwa kuliko hata sisi. Mwisho wa siku kila mtu atasomewa hukumu yake na huwezi kusema kwa sababu fulani alifanya hivi na mimi nilifanya.
Pole naona hadithi ya leah imekugusa sana...

Ni yangu matumaini hautasema shule kwanza
 
Some men are heartless. Hivi nyie mnaona mkichepuka ni haki kabisa, ila kwa wake zenu ni kosa lisilosameheka? Afu mnaona wake zenu wapumbavu sana, hawana mioyo, wana dhiki sana na ndoa kwamba mtaenda tu nje mlale na michepuko yenu, afu ikileta matunda (nimecheka kwa masikitiko), wanawake zenu wanaipokea happily, eti eeh? Huyo mtoto unayemleta mkeo akulelee ni damu ya mkeo hadi achekelee? Mnawaumiza sana wake zenu, kuendekeza kwenu uzinzi afu nyie mnaona kawaida tu, kuna mwanamke anayependa aletewe watoto wa nje?. Msiwatendee wake zenu msiyotaka kutendewa. Yani mmewafanya wake zenu kama nannies sijui. God is watching you guys lakini

Heaven Sent;
Were yu realy sent from heaven?? Acha hasira dada, sio miye nilikuumba ati. Dah! Hasira mpaka unasahau mantiki yangu? Sijasema na sintasema ati wanaume tumeruhusiwa kuchepuka. No, no, noo. Kuchepuka sio dili. Mke mmoja na mme mmoja ndiyo dili. Lakini, sivyo siku hizi. Wenyewe mmeshindwa wajibu wenyu.
Weye mama mpaka uchepuke na dereva wangu niliyemtuma aje akuchukue uende sokoni huoni una shida kubwa? Haya, umechepuka na huyo dereva wangu, kakupa mimba, inakaa tumboni mwa nani?? Jione kwanza kabla hujapiga yowe.
Hicho ki band chako atakilelea nani? Jamani, si haki hata kidogo. Raha zako ziwe karaha hata kwa familia mzima? Hata jumuia haita kuelewa
 
Kutokana na maumivu ya haya mambo ya mahusiano, nilishaamua na kuomba Mungu anisaidie na kuniwezesha nisichepuke, sio tu kwa sababu kwa imani yangu ni dhambi, ila sitaki mie wangu apate maumivu ya kusalitiwa. Ni kitu kigumu na kibaya sana maishani
 
Back
Top Bottom