Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Mume wake dada hataki kunipa mtaji

Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo.
  • Dada yako na mume wake wapo sahihisana kwa wanachokueleza ufanye, wanakutakia mema, Wanataka ujitambue na kuanza kujishughulisha, na kusaidia japo kazi za hapo nyumbani.
  • Wewe ndio tatizo sio dada wala mume wa Dada yako.
 
Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.
Daa weweni wakuchapa bakora, nadhani ndio akili itafunguka, kwa umri huo ulionao na utegemezi ulio nao
 
Naombeni ushauri, sielewi nifanye nn.
Kitu cha kufanya | Toka tafuta vibarua mtaani | Hata vya ubebaji tofali, sehemu wanazo tengeneza tofali.

Kitendo cha kutoka nyumbani na kujichanganya na "wana" huko mtaani, akili itafunguka na utapata plan B ya nini cha kufanya wakati unasikilizia maswala yako mengine. Nyumbani onekana usiku na asubuhi unapo ondoka. Heshima yako itaongezeka, hata ukimpa Deal shemeji yako atakuelewa na kukupa support maana atakuon kabisa wewe ni mpambanaji.
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya maswala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira . Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nn.
Hata hivyo una bahati, mimi nakumbuka nilipofika miaka 23, nilifukuzwa. Nilimlaumu sana ndugu yangu kwa wakati ule, lakini nashukuru, ni kama nilipata ushujaa fulani, na kuanza kufanya mambo ambayo sikuyafikiria au kuyatarajia. Nashukuru Mungu, kumbe njia ile niliyochukua baada ya kufukuzwa ndio ikawa msingi wa maisha yangu (hadi leo hii). Kwahiyo ndugu yangu, unaweza kuona hawakupendi, lakini kumbe ndio mwanzo wa hatua ya maisha yako! Mwanzo utakuwa mgumu, lakini utapata dira ya pakuanzia. Watu husema: chura akipigwa teke, kaongezewa hatua!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwambie apeleke mahari kwa baba yako akuoe mke wa pili atakubali
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya maswala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira . Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nn.
Hahahahaha we jamaa
 
Usiku na wewe nenda kalale kwenye chumba cha shemeji yako.
 
"...Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada .." kwa hiyo ulitaka wakitoka na wewe uwe unaenda nao?

uko kwa dada yako halafu wataka mume wake atekeleze uyatakayo? huenda wamekuona bado uwezo wa kuendesha mtaji huna.
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya maswala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira . Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nn.

Kuna vitu haviko sawa kwa ujumla:

1: Ufahamu wako kuhusu maisha pia malezi na asili yako vyanaweza kuwa vinachangia.

2: Kujitambua wewe ni nani na unahitajika kufanya nini kwenye maisha pia ni tatizo?

3: Shemeji na familia wana wajibu/hawana wajibu kiasi gani kwako?

4: Shemeji yako kuwa na pesa maana yake ni nini/hana matumizi nazo na yeye kutoa pesa kukupatia wewe yahitaji nini?

5: Kwa mtizamo wa maisha ulionao, je unaweza kumshawishi hata baba mzazi kukupa mtaji?

6: Kitendo cha kukuita toka ulipokuwa na kukupa hifadhi hapo ni sawa na chura kupigwa teke/ tayar hiyo ni degree. Ulitakiwa uitumie vyema hiyo nafasi ili upande ngazi ya maisha.

Yote kwa ujumla hauko sawa na counselling ni process hivyo unahitaji kupata counselling.

NB: Ili ujielewe ni vyema ukapata mtu anaekufahamu na mwenye busara akueleze juu ya hayo yote na uwe tayari kupokea ukweli na ujirudi. La sivyo utakuja kufundishwa na dunia wakati muda umeshakutupa mkono.
 
Mimi ni kijana mdogo mwenye miaka 29, nimesoma diploma ya maswala ya afya, baada ya kuhitimu nilikaa sana kijijini bila ajira . Dada na mume wake wakaamua kuniita mjini nijaribu bahati yangu.

Ila huku nako hali imezidi kuwa mbaya, kazi hakuna. Cha ajabu siku hizi wamenianzishia visa, dada na mume wake wanataka na mm niwe nafanya kazi za hapa nyumbani, wakati wafanyakazi wapo. Nilivyokataa kutumikishwa, mume wake dada anataka kunirudisha kijijini. Nimemwambia kijijini siendi, labda anipe mtaji. Amekataa kata kata, na sio kwamba hela hana. Hela anazo maana kila mwisho wa wiki anapendaga kutoka yeye na dada.

Wanashindwa kujibana hata mwezi ili mimi nipate mtaji? Leo tumezozana sana, walivyo na tabia mbaya, wameanzisha haya malumbano wakati wa kula. Hapa nipo na msongo wa mawazo, pia njaa ni kali maana nimegoma kula chakula chao usiku.

Naombeni ushauri, sielewi nifanye nn.

Chai, hakuna mtu mwenye dimploma mjinga, ur dieng for attention, unfortunate kwangu hutopata.
 
Mkuu una feli Mimi nilikuja dar nikalala kwa shemeji yangu na roho iliniuma na niliingia usiku mnene na bahari nzur shemeji yangu Yuko dodoma kikazi na sintarudia Tena maisha ni Vita Bora Anza kwa shida ata ukianza kulala chini mradi uko kwako

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom