Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,173
- 92,746
Tutoe hofu kwamba…..Na leo ndio nimeamini kwamba --------
Tutoe hofu kwamba…..Na leo ndio nimeamini kwamba --------
Yaleyale ya Makamba jnr Wazuri hawafiHapana mkuu watu hawajafurahi...
Watu wako kwenye mshangao kwamba kumbe na circle ya Samia hua wanakufa!!
Unapotosha.Alikuwa nao wengine wawili Samuya alikuwa mke mdogo.
Kulia kupokezana ukinyamaza wewe anaanza kulia mwingine, hivyo hivyo leo utalia wewe kesho atalia mwingine huwezi kulia kila sikuIla Siyo vizuri
Msiba wowote ule unaumiza
Nipo Tent ya blue huku nyuma...Bro umekaa turubai gani hapo msibani nikukwepe, tukikaa karibu tunaweza kucheka kwa nguvu tukakamatwa uchawi. 😎
Wewe ndio hujui unachoongea huyu ni concubine aliwakuta wenzie tayari wameshaolewa, kamuulize vizuri akuelezee na nahisi hii alishawahi kuielezea yeye mwenyewe bila kuficha km ambavyo hakuficha kua hakusoma sanaUnapotosha.
Samia ndio alikuwa mke mkubwa kabla ya wengine wawili kuolewa na huyo marehemu.
Akiwemo Sheikh Sharif MajiniKwani Oct 29 waislam hawakuuawa?
Hakumulea Abdul vizuri.Huyo mzee sijawahi sikia jambo lake lolote liwe baya au zuri. R.I.P.
Ila yule mtu napenda aendelee kupata majanga
Ni kweliKulia kupokezana ukinyamaza wewe anaanza kulia mwingine, hivyo hivyo leo utalia wewe kesho atalia mwingine huwezi kulia kila siku
Muda huu wakuu niko kizimkazi naenda msibani. Nyumba ya mama ile paleView attachment 3665175
Hapa Nyamaronda masta.Muda huu wakuu niko kizimkazi naenda msibani. Nyumba ya mama ile paleView attachment 3665175
Pole za dhati kabisa zomfikie Abdul Ameir Hafidh, Wanu na mama yangu Samia 🥹
Mungu awatie nguvu na faraja mioyoni mwemu kwa kumpendeza mpendwa.
Nimependa ulivyoficha majina ya waliocomment
Ila huu mtindo wa kushangilia vifo binafsi naona kama ni ujinga.