"Mume wa mtu mtamu bana" ...

"Mume wa mtu mtamu bana" ...

Mr.Gentlemen jana nilipitwaaa mpaka uzi umefungwaa lol watu wanamegwa mpaka wanabadili ID lol jaman mkiwamega muwapende tu lol mapenzi ya jamii banaaa na hizo party zenu jana nimepitwaa umbea mimii ICHANA

Nipe soda bariiiiid
Au kahawa shost
Ule umbea wa watu kumegwa heeee
Mbona ulikuwa balaaa watu wanachungulia na kuondoka
 
Last edited by a moderator:
Hawajielewi tu!!! Wao wanachojali matunzo tu? Wanaziendekeza sana shida kuliko future zao ndo ukute wanatumika hadi basi .........
 
Nipe soda bariiiiid
Au kahawa shost
Ule umbea wa watu kumegwa heeee
Mbona ulikuwa balaaa watu wanachungulia na kuondoka

Jamanii hebu nitupiemo pm mi umbea unaniwasha shostiii maana majina yao nimeyatunza kwenye notebook aisee mengine
 
Jamanii hebu nitupiemo pm mi umbea unaniwasha shostiii maana majina yao nimeyatunza kwenye notebook aisee mengine

Best na mimi nipm hayo ya kwenye notibukuu....jana pamoja na kushokilia uzi mwanzo mwisho hatujaambulia kitu....
 
wengine wanawapenda waume wa watu sababu hawawabani atakuwa na ww mchana usiku atarudi kwa mkewe na hapo mchepuko atapata nafasi ya kuvinjari na wengine.
 
Na wewe kazi unayo,uko busy kweli kutafiti mahusiano ...........lolKwa matokeo haya ya utafiti huu basi nyie single mkitongoza mseme mmeoa ili kujiongezea points!!!!
Single anajulikana tu!! Hata adanganye vipi utamwona kwenye kutoa huduma hadi uombeee weeeee wakati aliepo kwenye majukum anajua wajibu wake
 
Unless if both u are just fooling around,Hehhehe ukijibweteka kuwa mke mwenza poleeeh...ye dudu tu ndo inampa wazimu anakupa miahadi kibao oh mara ntakuwowaa oh nini, utakuwa kichaa kuamini...
 
Vp mkuu usishangae sana haikuwa dhamila yangu ila Yeye ndo alitaka iwe ivyo baada ya kuwa na Matatizo kwenye ndoa Yake akaitaji pumziko la roho yake ili apunguze stress.

Namimi nina matatizo ktk ndoa yangu naomba pa kupumzikiaa wajamani
 
Back
Top Bottom