Kaka minadhani tathmini yako haiko sahihi sana. Ukifanya utafiti wa kina utagundua kuwa wasichana wanaosema hivyo mara nyingi huwa hawana mwanaume mmoja, ndio maana hawataki commitment ya aina yoyote kwa mwanaume. Maana kama suala ni kutunzwa, hivi kwa maisha ya sasa nani mwenye uwezo wa kutunza mchepuko kwa asilimia 100 wakati huo atakuwa na watoto wanasoma pengine shule za pesa mbaya. Tunadanganywa tu na hawa madada ili watuchune vizuri. Kumbuka mchepiko mmoja unazaa na mwingine na mwingine
kwa kuanzia hata negative moja tu itatosha[/B]
Negative ngapi?
mume wa mu mtamu kweli haswaa ukijua kumtumia
Hujipendi?
mume wa mu mtamu kweli haswaa ukijua kumtumia
Kaka minadhani tathmini yako haiko sahihi sana. Ukifanya utafiti wa kina utagundua kuwa wasichana wanaosema hivyo mara nyingi huwa hawana mwanaume mmoja, ndio maana hawataki commitment ya aina yoyote kwa mwanaume. Maana kama suala ni kutunzwa, hivi kwa maisha ya sasa nani mwenye uwezo wa kutunza mchepuko kwa asilimia 100 wakati huo atakuwa na watoto wanasoma pengine shule za pesa mbaya. Tunadanganywa tu na hawa madada ili watuchune vizuri. Kumbuka mchepiko mmoja unazaa na mwingine na mwingine
Badilisha maneno yako sasa!
ni kweli, lakini kiasilimia wachuna mabuzi ni wengi kuliko wa aina hiyo unayosemaMkuu ninachoongea ninakijua kabisa tena nina mifano ya kutosha,kuna dada alikuwa jirani yangu sehem nilipokuwa naishi alikuwa amepangishiwa chumba kabisa na mume wa mtu,alikuwa anajiheshimu yule mwanamke na sikuwah sikia au kuona akiwa na mwanaume mwingine na huyo mwanaume wake akija alikuwa hataki aondoke,mambo yako tofauti ndugu yangu wewe unapoona maisha magumu kwako na hauwezi kuhudumia familia mbili wenzako wanaweza,kuna wanawake wamejihalalishia kuwa nyumba ndogo
mh! Sijui tuwafiche wapi awa waume zetu kama mabinti ndo wamekenguka ivo.
ukahaba tu ndo unawasumbua mi nakwambia no body is taking what is mine
ukahaba tu ndo unawasumbua mi nakwambia no body is taking what is mine