"Mume wa mtu mtamu bana" ...

"Mume wa mtu mtamu bana" ...

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    15.6 KB · Views: 331
Walio wengi wananyanyaswa kimapenzi na waume zao!

Waliowengi hawatimiziwe mahitaji yao ya kimapenzi (wanabaki na njaa ya kimapenzi).

Waliowengi wakishakuwa na watoto hawaitwi tena "honey, babe, sweetheart, darling, mpenzi, n.k" Hapa ndiyo vijana wanatumia mwanya huu!

Mume akirudi kajichokea au ameshatembea nje, basi hana uwezo tena wa kutoa huduma kwa mke wake!

Wanawake walioolewa wanajua kutunza! (kwasababu anakaa na mume ana anajua mahitaji ya mwanaume).

Ni mengi siwezi kuandika hapa ila wengi wanayaongea hayo hapo juu!

PS. Wanawake wanahitaji vitu vidogovidogo sana ili kuchochea mapenzi. Si lazima umpe zawadi ya simu au gari. Kitu kidogo tu kinatosha hata pochi ya mia tano, leso, n.k.

Wadada ambao hamjaolewa mnahatari ya kusubiri sana!

Nenda muulize kijana "utaoa lini"? Atakujibu bado yupo yupo kwanza kuna mambo anayafuatilia -- ila umri unazidi kusonga! Wanapata huduma hao na matunzo tele. Hawaoni sababu ya kuoa!

Wanawake walioolewa ni wakarimu sana kwa "wapenzi wao", wanakuwa hawana sauti kabisaaaaa! Huwa hawabishi.

Unamtumiaje kweli?
 
Good good na Mimi ni Mume wa mtu, tena mke wangu ni mtu wa Sumbawanga......... naombeni mje huku nyie mabinti. Ila uje na cheti cha hospitali kinachoonyesha kuwa uko NEGATIVE
 
Nipe hata INTRO basi!

Hahahaha,Ntahahakisha kila kile nnchostahili kukufanyia kama mwanamke unafanyiwa.Hamna muda wa kupumua.Na mengine meengi.Ukitoka unakua tu skio la kufa.
 
Walio wengi wananyanyaswa kimapenzi na waume zao!

Waliowengi hawatimiziwe mahitaji yao ya kimapenzi (wanabaki na njaa ya kimapenzi).

Waliowengi wakishakuwa na watoto hawaitwi tena "honey, babe, sweetheart, darling, mpenzi, n.k" Hapa ndiyo vijana wanatumia mwanya huu!

Mume akirudi kajichokea au ameshatembea nje, basi hana uwezo tena wa kutoa huduma kwa mke wake!

Wanawake walioolewa wanajua kutunza! (kwasababu anakaa na mume ana anajua mahitaji ya mwanaume).

Ni mengi siwezi kuandika hapa ila wengi wanayaongea hayo hapo juu!

PS. Wanawake wanahitaji vitu vidogovidogo sana ili kuchochea mapenzi. Si lazima umpe zawadi ya simu au gari. Kitu kidogo tu kinatosha hata pochi ya mia tano, leso, n.k.

Wadada ambao hamjaolewa mnahatari ya kusubiri sana!

Nenda muulize kijana "utaoa lini"? Atakujibu bado yupo yupo kwanza kuna mambo anayafuatilia -- ila umri unazidi kusonga! Wanapata huduma hao na matunzo tele. Hawaoni sababu ya kuoa!

Wanawake walioolewa ni wakarimu sana kwa "wapenzi wao", wanakuwa hawana sauti kabisaaaaa! Huwa hawabishi.

Kudadadeki

CC: Kongosho , Kaunga , AshaDii @ gfsonwin , Fixed Point , charminglady , Heaven on Earth , badiebey lara 1 , Zinduna na ma ladies wengine wote!
 
Last edited by a moderator:
Good good na Mimi ni Mume wa mtu, tena mwanamke wa ......... naombeni mje huku nyie mabinti. Ila uje na cheti cha hospitali kinachoonyesha kuwa uko NEGATIVE


Negative ngapi?
 
Good good na Mimi ni Mume wa mtu, tena mwanamke wa ......... naombeni mje huku nyie mabinti. Ila uje na cheti cha hospitali kinachoonyesha kuwa uko NEGATIVE

Hahahahaaaaa!!!!!!!
 
Na hapo ndo utajua kuwa mfumo wa mke mmoja hata wanawake wenyewe hawautaki wanataka kuwa wawili au watatu kwa mwanaume mmoja,kama mwanamke unajua kuwa huyu mwanaume ana mke bado unasema mtamu huoni huo utamu ameupata kwa mwanamke mwenzio? maana mwanaume huyo huyo kabla hajaoa si mtamu na akishaoa ni mtamu

Halafu wanaponishangaza ni hapa ameshajua una mke maana yake yeye ameridhia kuwa wa pembeni sasa kitendo cha kulazimisha kuwa na wewe muda wote wakati anajua unafamilia ni sawa na kulazimisha ucheze dk 90 wakat umewekwa kama reserve
Kaka minadhani tathmini yako haiko sahihi sana. Ukifanya utafiti wa kina utagundua kuwa wasichana wanaosema hivyo mara nyingi huwa hawana mwanaume mmoja, ndio maana hawataki commitment ya aina yoyote kwa mwanaume. Maana kama suala ni kutunzwa, hivi kwa maisha ya sasa nani mwenye uwezo wa kutunza mchepuko kwa asilimia 100 wakati huo atakuwa na watoto wanasoma pengine shule za pesa mbaya. Tunadanganywa tu na hawa madada ili watuchune vizuri. Kumbuka mchepiko mmoja unazaa na mwingine na mwingine
 
Hahahaha,Ntahahakisha kila kile nnchostahili kukufanyia kama mwanamke unafanyiwa.Hamna muda wa kupumua.Na mengine meengi.Ukitoka unakua tu skio la kufa.

Aisee ....
Hapa namuomba King'asti aje anisaidie analysis

Khaaaaa!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom