Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Habari za weekend wakuu

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.

Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.

Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.

Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."

Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.

Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.

Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri, nifanyeje?



Sent using Jamii Forums mobile app
Contradiction ya hali ya juu. Kati ya hayo mawili kuna kimoja sio kweli..and I suspect huna hofu ya Mungu kivile na mumeo humpendi kivile..mapenzi yapo Muhezaa..sad.

Cc Daby, chunga sana

Bcc Asprin kwa taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeolewa nikiwa na miaka 22
Tumepishana na Mr, miaka8
Sijwah kuishi na mwanaume tofauti na Mr,
Uchumba wetu umedumu mwaka mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe tatizo lako ni kuruka steji ya ujana kabla huja experience matatizo ya mahusiano. Hapo ulipo huoni thamani ya ndoa maana kwako ilikuja kirahisi tu. Inaelekea hujawahi kutendwa, kuumizwa, kunyanyaswa, kuchitiwa nk ili uone faida ya kua na mume alietulia.

Kwavile wanawake mkishapenda hua hamshauriki, we nenda Muheza ukatimize haja za moyo wako. Mkishaanza, wewe hutamtamani tena mumeo, utabadilika, ndoa yako itavunjika, familia itafarakana, watoto watateseka, na huyo jamaa wa Muheza atakuacha pia ili alinde ndoa yake. Utarudi kwenu kwa aibu ukaanze maisha upya. Hapo ndio akili itakukaa sawa. Maisha yako chaguo lako..
 
Habari za weekend wakuu

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.

Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.

Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.

Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."

Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.

Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.

Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri, nifanyeje?



Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pm kuna ushauri nitakupa
 
Contradiction ya hali ya juu. Kati ya hayo mawili kuna kimoja sio kweli..and I suspect huna hofu ya Mungu kivile na mumeo humpendi kivile..mapenzi yapo Muhezaa..sad.

Cc Daby, chunga sana

Bcc Asprin kwa taarifa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu, hawa ni wale wadada ambao anamaliza tu shule jamaa kamdaka juu juu na kumuweka ndani. Hana experience yoyote ya mapenzi.
Naunga mkono kwamba huyu hakuwahi kumpenda mume wake ni kwavile tu jamaa alikuja na proposal ya ndoa na kama alivyosema jamaa ana vihela basi dada akaona asiache hii fursa. Hili ni funzo pia kwetu wanaume..
 
Wewe wala huna pepo wala nini ni katabia tu ambako kalikuwa introduced sasa kamekuwa ni mazoea sasa ndo yanakutesa, katika jamii yetu ya kimahusiano kitu kinachoitwa chatting ni kibaya sana sana yaani kinapenya mpka uvunguni mwa moyo, mahusiano yanajengwa sana kwa asilimia kubwa na mawasiliano, na hasa sisi wanawake ugonjwa wetu upo hapo kwenye mawasiliano,the more mtu anavyokuweka karibu sana unajikuta unampenda unampenda mpka basi,unapigwa upofu haswaa mpka yule aliyekaribu nawe unamuona si lolote na utaanza kuona madhaifu yake kama wewe hapo ushaanza kuona kama hulizishwi,Mara kama mrefu utamuona mrefu sana,kama mfupi utamuona mfupi Sana yaani utatafuta vitu kibao vya kukupa uhalali wa wewe utoke nje. Dhambi huanza mawazoni kama tamaa,kisha wazo lile ukiendelea kulilisha linakupa nguvu ya kusema,nguvu ya kuongea inaenda kuzaa tendo.

Huyo jamaa kiukweli humpendi kabisa basi tu mawasiliano yamekufanya udate na inavyoonekana jamaa ana maneno matamu kama asali,mpaka hapa ulipofika uko kwenye mstari wa 0.9999 Kuanguka,so unanafasi ya 0.1 tu kujiokoa, kama kweli jamaa kakushauri hivyo ujue amesoma kitu kwako kashindwa kukuambia ukweli wako kwamba hufai akaona tu akwambie kwa uzuri stick na mume wako.

Cha kufanya kama kweli unataka kujiokoa na una hofu ya Mungu kweli na unampenda Mume wako kidhati na unajipenda mwenyewe na unawapenda watoto wako,fanya yafuatayo block jamaa huyo katika njia zote mnazowasiliana,Utateseka wiki moja tu baada ya hapo utakaa sawa. ule muda uliokuwa unatumia kuchat na huyo jamaa utumie kuchat na mumeo na Ibada,yale maneno matamu uliyokuwa unamwambia jamaa yako mwambie Mume wako na Mungu wako. kama mume mzito kujibu mwambie tu vile unavyojiskia ukiwa unachat naye. Jikite zaidi kwenye ibada na ujipe ubize haswaaa jitahidi usiwe idle,kila wakati uwe na jambo la kukupa ubize,tumia muda wako zaidi na Mungu na familia yako na kazi zako, mwili usipoupa kazi wenyewe utakupa kazi,wazo chafu likiingia akilini mwako la kumkumbuka jamaa crash hilo wazo haraka Sana waza vitu vingine,anza kuliona hilo lijamaa libayaaaa likosoe uwezavyo,lina mke,limekutumia dudu fake,yaani tafuta yote mabaya vile utakavyoilisha akili yako juu yake ndivyo itakuwa ni wiki 2 tu utakuwa sawa hadi utajiona jinsi gani ulivyokuwa mjinga ukataka kujiangamiza. Mwisho jikite kwenye ibada kama wewe ni Mkristo soma zaidi Biblia,nenda kanisani,kaa na wanao wape story za Biblia na fanya nao ibada na ufatilie mambo yao ya shule,nenda kafanye huduma kanisani,toka out na mumeo si unafanya kazi bana siku moja msuprize,tafuta marafiki wapya wazuri wakukujenga kiroho, Hayo mawazo machafu yote yanayokunyemelea utayashinda. Kila la heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ah kumbe huwa una nondo hivi....hongera aisee
 

Hii ni chai kama chai nyingine,hujawahi sex naye hilo dudu uliliona wapi?

Afu ukubwa wadudu sio ndo ujuzi wa kumlidhisha mwanamke unaweza kuwa na kibamia ukajua kumuhendo vizuri tu mwanamke

Ulikubali vipi kuolewa na asiyekufikisha?!,kama kweli ulimpenda huyo jamaa kwann usikae bila kuolewa umsubiri waachane na mke wake hata kama itachukua miaka 50,hapo kweli tungekubali huo ni upendo kuna watu wanaupendo wewe acha kuext

We ibrahimu àlivyompenda Mungu kapewa mtoto uzeeni lakini akaambiwa amtoe sadaka amchinje mwanaye wa pekee akakubali we unahisi unaweza fikia huo upendo

Acha upuuzi eti hakuyoshelezi nonsense,hujiulizi kwanini unapewa cheti kabla ya mtihani wa ndoa,mitihani unaenda kukutana nayo huko huko

Hapo ni wewe ungekuwa na busara na akili ungekaa na mumeo umuambie ukweli kwa staha
"Mume wangu mi mwenzio ukifanya hivi silidhiki mfundishe kama unajua,au kama tatizo nguvu za kiume mshauri kwa upendo atumie dawa,kama shida yako dudu kubwa mwambie Mr aongeze saizi yani hapo umeniaminisha huyo Mr hata atumie siku nzima kusex na tatizo wewe hauwezi ridhika sababu mapenzi hisia na wewe hisia zako umezipeleka tangaa

Omba talaka tu bhas,usimpotezee mwenzio muda wa kujua anaishi na mke kumbe mpenda mishedede,si ungeenda olewa kwa kabira lenye mitalimbo aiseeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
I lov u

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hii ni chai kama chai nyingine,hujawahi sex naye hilo dudu uliliona wapi?

Afu ukubwa wadudu sio ndo ujuzi wa kumlidhisha mwanamke unaweza kuwa na kibamia ukajua kumuhendo vizuri tu mwanamke

Ulikubali vipi kuolewa na asiyekufikisha?!,kama kweli ulimpenda huyo jamaa kwann usikae bila kuolewa umsubiri waachane na mke wake hata kama itachukua miaka 50,hapo kweli tungekubali huo ni upendo kuna watu wanaupendo wewe acha kuext

We ibrahimu àlivyompenda Mungu kapewa mtoto uzeeni lakini akaambiwa amtoe sadaka amchinje mwanaye wa pekee akakubali we unahisi unaweza fikia huo upendo

Acha upuuzi eti hakuyoshelezi nonsense,hujiulizi kwanini unapewa cheti kabla ya mtihani wa ndoa,mitihani unaenda kukutana nayo huko huko

Hapo ni wewe ungekuwa na busara na akili ungekaa na mumeo umuambie ukweli kwa staha
"Mume wangu mi mwenzio ukifanya hivi silidhiki mfundishe kama unajua,au kama tatizo nguvu za kiume mshauri kwa upendo atumie dawa,kama shida yako dudu kubwa mwambie Mr aongeze saizi yani hapo umeniaminisha huyo Mr hata atumie siku nzima kusex na tatizo wewe hauwezi ridhika sababu mapenzi hisia na wewe hisia zako umezipeleka tangaa

Omba talaka tu bhas,usimpotezee mwenzio muda wa kujua anaishi na mke kumbe mpenda mishedede,si ungeenda olewa kwa kabira lenye mitalimbo aiseeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika msing wa yote ni kua hakuna upendo kati yao.
kama utasex na mumeo na humpend hatakama mumeo anaweza vp bado hataridhika sabab humpendi.
my dear maisha mafupi oho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, hawa ni wale wadada ambao anamaliza tu shule jamaa kamdaka juu juu na kumuweka ndani. Hana experience yoyote ya mapenzi.
Naunga mkono kwamba huyu hakuwahi kumpenda mume wake ni kwavile tu jamaa alikuja na proposal ya ndoa na kama alivyosema jamaa ana vihela basi dada akaona asiache hii fursa. Hili ni funzo pia kwetu wanaume..
Funzo kubwa kabisa mkuu Choji. Ilivyo wadada wengi wanadhani ndoa ndio kilele cha kila kitu kwenye maisha hivyo wanaingia hata bila kujiuliza mara mbili mbili. Matokeo yake ndio kama haya sasa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penye miti hapana wajenzi!
Dunia hii kila mwanamke analilia mwanaume alotulia, anayependa na kujali! Wewe unaye unahangaika na mwanaume mwenye mke wake?!
Anakupotezea muda wako na mwisho atavunja ndoa yako!

Tulia tena umuombe Mungu akusamehe!
Jamaniiiii acheni atafunwe, mtu gani huyu kila ushauri anaupanguamtu, mzima huyu mnamuelekeza nini achane akatafunwe moyo wake ufurahie
 
Wewe wala huna pepo wala nini ni katabia tu ambako kalikuwa introduced sasa kamekuwa ni mazoea sasa ndo yanakutesa, katika jamii yetu ya kimahusiano kitu kinachoitwa chatting ni kibaya sana sana yaani kinapenya mpka uvunguni mwa moyo, mahusiano yanajengwa sana kwa asilimia kubwa na mawasiliano, na hasa sisi wanawake ugonjwa wetu upo hapo kwenye mawasiliano,the more mtu anavyokuweka karibu sana unajikuta unampenda unampenda mpka basi,unapigwa upofu haswaa mpka yule aliyekaribu nawe unamuona si lolote na utaanza kuona madhaifu yake kama wewe hapo ushaanza kuona kama hulizishwi,Mara kama mrefu utamuona mrefu sana,kama mfupi utamuona mfupi Sana yaani utatafuta vitu kibao vya kukupa uhalali wa wewe utoke nje. Dhambi huanza mawazoni kama tamaa,kisha wazo lile ukiendelea kulilisha linakupa nguvu ya kusema,nguvu ya kuongea inaenda kuzaa tendo.

Huyo jamaa kiukweli humpendi kabisa basi tu mawasiliano yamekufanya udate na inavyoonekana jamaa ana maneno matamu kama asali,mpaka hapa ulipofika uko kwenye mstari wa 0.9999 Kuanguka,so unanafasi ya 0.1 tu kujiokoa, kama kweli jamaa kakushauri hivyo ujue amesoma kitu kwako kashindwa kukuambia ukweli wako kwamba hufai akaona tu akwambie kwa uzuri stick na mume wako.

Cha kufanya kama kweli unataka kujiokoa na una hofu ya Mungu kweli na unampenda Mume wako kidhati na unajipenda mwenyewe na unawapenda watoto wako,fanya yafuatayo block jamaa huyo katika njia zote mnazowasiliana,Utateseka wiki moja tu baada ya hapo utakaa sawa. ule muda uliokuwa unatumia kuchat na huyo jamaa utumie kuchat na mumeo na Ibada,yale maneno matamu uliyokuwa unamwambia jamaa yako mwambie Mume wako na Mungu wako. kama mume mzito kujibu mwambie tu vile unavyojiskia ukiwa unachat naye. Jikite zaidi kwenye ibada na ujipe ubize haswaaa jitahidi usiwe idle,kila wakati uwe na jambo la kukupa ubize,tumia muda wako zaidi na Mungu na familia yako na kazi zako, mwili usipoupa kazi wenyewe utakupa kazi,wazo chafu likiingia akilini mwako la kumkumbuka jamaa crash hilo wazo haraka Sana waza vitu vingine,anza kuliona hilo lijamaa libayaaaa likosoe uwezavyo,lina mke,limekutumia dudu fake,yaani tafuta yote mabaya vile utakavyoilisha akili yako juu yake ndivyo itakuwa ni wiki 2 tu utakuwa sawa hadi utajiona jinsi gani ulivyokuwa mjinga ukataka kujiangamiza. Mwisho jikite kwenye ibada kama wewe ni Mkristo soma zaidi Biblia,nenda kanisani,kaa na wanao wape story za Biblia na fanya nao ibada na ufatilie mambo yao ya shule,nenda kafanye huduma kanisani,toka out na mumeo si unafanya kazi bana siku moja msuprize,tafuta marafiki wapya wazuri wakukujenga kiroho, Hayo mawazo machafu yote yanayokunyemelea utayashinda. Kila la heri.

Sent using Jamii Forums mobile app
@everlenk nimekumiss sana ulipotelea wapi lejendari?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Funzo kubwa kabisa mkuu Choji. Ilivyo wadada wengi wanadhani ndoa ndio kilele cha kila kitu kwenye maisha hivyo wanaingia hata bila kujiuliza mara mbili mbili. Matokeo yake ndio kama haya sasa....

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana,ni ninyi wanaume pamoja na jamii mmeaminisha mabinti na wanawake,kuwa ndoa ndio kilele cha kila kitu kwenye maisha.

Hivyo bila ndoa msichana ama mwanamke si lolote,hana thamani ni rejected material, hata thread nyingi zinazoanzishwa MMU zinareflect hilo .

Hivyo kuepuka kuwa labed as a rejected material, wasichana na wanawake wengi wanaingia ndoani especially wakitz bila kufikiri Mara mbili,bila kupima kiwango cha upendo na bila kujuwa maana halisi ya ndoa.So tusiwalaumu,to every action there is an equal and opposite reaction, haya ni matokeo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom